70m ya mkopo benki nimetaja hapo juu itafanya yote hayo
unatafuta watu wagombanewakubwa nisaidie mimi nataka kujikita kwenye biashara ya gest je? Biashara hii imekaaje kwa wale wazoefu
plani zangu ni kwamba iwe ya kisasa kama chakula,vinywaji,malazi bila kukosa m-pesa .
Kwasasa hela ambayo nimeisha kukusanya haizidi tsh. 50.ml
kiwanja kipotayari.
tofali elf 10=10m
nondo pc 200=3m
mchanga lori 15=1.5m
kokoto lori 5=1m
cement mifuko 500=6m
mbao pc 1000= 7m
bati pc 400=6m
fundi hadi kupaua na plasta =10m
haya ni makadirio ya dsm, pwani na tanga mm cjui uko wapi. jumla ni 45m. hapo ni guest ya vyumba 10. nenda benk kachukue mkopo wa 70m umalizie kila k2 na baadh ya vyumba unaweka AC. Marejesho approx 6.5m kwa mwezi kwa mwaka 1. hakikisha kila cku unapata takriban laki 2.5 ili upate 7.5m kwa mwezi. jitahd wafanyakaz wawe wanalipwa kwa pesa itakayotokana na biashara ndogondogo za hapo kv vinywaj na misosi ili na ww ubaki na angalao 1m ya kukupoza ktk huo mwaka mmoja wa maumivu ya marejesho. angalizo: inatakiwa eneo lako liwe na mzunguko wa wasafiri na wachepukaji
short sasa ndio hela yenyewe ktk lodge!Ifanye iwe classical kwa gud finishing, avoid short time, kua na walau pair tatu za shuka