Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 7,490
- 12,173
Niliwahi Kufanya Kazi Guest Moja Hapa Dar Kabla Sijajishikiza Huju Mkoani:
Yule Mama Alikuwa Anatubana Hivi.
1. Asubuhi Saa 12 Kamiki Anataka Umtumie Report Yenye IDADI YA VYUMBA NA NAMBA ZAKE, IDADI YA MASHUKA MACHAFU, IDADI YA SABUNI ZIKIZOBAKI NA UNIT ZA UMEME ZILIZOBAKI.
2. Anampigia Mlinzi Akitoka Anamuuliza Kama Kuna Mtu Aliingia Usiku.
3. Anampigia Mfua Mashuka Anamuulza Kafua Mangapi
4. Anapiga Surprise Kama Zote, Unashangaa Anakupigia Mchana Anakuuliza Umeuza Vyumba Vingapi.
5. Anamtuma Snitch Aje Apange Chumba Then Anakuulizia Kama Hicho Chumba Kilitoka.
ALL IN ALL NILIKUWA NAMPIGA VIZURI, YEYE AKIPATA 150K MIMI NINA 50K
Baadae Ndio Akapata Mbinu Ambayo Ilimsaidia Kuziba Kabisa Mianya Ya Sisi Kupiga Ndio Nikaamua Kusepa Pale
Aliweka CCTV Camera Milango Yote Na Kwenye Korrido, Halafu Zikawa Connected Kwenye Router So Zipo Live Moja Moja Kwenye Screen Take, So Hakuna Tena Utapeli, Yaani Yupo Live Masaa 24 Anaona Guest Yake Kutokea Nyumban Kwake Gomz.
NA HII NDIO NJIA PEKEE YA KUZUIA KUPIGWA KWENYE BIASHARA YA GUEST.
Kwa uzoefu wako,watumiaji wengi wako interested na aina gani ya vyumba (self au vya kawaida) au mradi chumba kipo basi.
Nafikiria kuinvest uswahilini ambako hakuna wageni bali wachepukaji tu,self or vya kawaida ndo vitafaa?