Msaada: Biashara ya Nyumba ya Wageni (Guest House) imekaaje?

Kuna vitu humu duniani vinashangaza, we unafanya biashara ya kulaza wageni, wateja wamekuja unataka kuwalazimisha watende unayofikiri wewe kitiu ambacho si sahihi kama issue ni kwenda mbinguni basi tusiburuzane mwache mtu ajipeleke akotaka kwa raha zake.....
 
wakuu hali zenu.
Nipo kwenye mchakato wa kumalizia ujenzi ambao ni nyumba ya kulala wageni. mimi ni muumini wa dini mzuri ambaye singependa hii business iishie kwenye dangulo.
Naomba mnishauri kama inawezekana ukawa na halali business ambayo watu hawataitumia kwa short times pia kuja kujivinjari. ningependa walalao wawili wawe married but singependa kuwalazimisha waje na vyeti vya ndoa. pliz help if it is feasible and how can it be done?

nangu mahwelu

Kwa hiyo tendo la ndoa ni halali kwa waliooana tu?
Kama iko hivyo basi uko kwenye wrong business na badala ya kuifanya gesti house/hotel uiifanye iwevyumba vya kuishi wapangaji wa kawaida na unaweza kuweka hiyo sharti la walio kwenye ndoa tu.
 
Hahaaaaaa Umeni furahisha hiyo per diem.

Mkuu hiyo kuzuia ni all most impossible.Utajuaje watu kama wana ndoa bila cheti? Na hawawezi kutembea na cheti.wewe bwana fanya biashara,kama umeingiza maswala ya dini then usifanye hiyo biashara.

Njia unayoweza kuzuia mfanyakazi asiibe hizo hela za short time ni kuweka CCTV cameras kwenye corridor then kila siku unaangalia muda mtu alioingia na kutoka.

Inategemea na hadhi ya hiyo guest house, kuna nyingine hadi hao short timers wanaogopa kuingia
 
thanks wakuu, nimeelewa ya kwamba impossible and not fair kuwazuia wagegedaji. Je kwa wale watu wa mungu hivi mtu akija akagegeda wakati wewe hujui utakuwa unahusika kwamba umefacilitate?
 
thanks wakuu, nimeelewa ya kwamba impossible and not fair kuwazuia wagegedaji. Je kwa wale watu wa mungu hivi mtu akija akagegeda wakati wewe hujui utakuwa unahusika kwamba umefacilitate?

HAPANA.
...ya Caesar mpe Caesar.
 
thanks wakuu, nimeelewa ya kwamba impossible and not fair kuwazuia wagegedaji. Je kwa wale watu wa mungu hivi mtu akija akagegeda wakati wewe hujui utakuwa unahusika kwamba umefacilitate?

It's obvious kuwa haikuhusu hiyo,wewe mfanya biashara bwana sio mfanya operation fichua maovu.So atakaye Sema kuwa ume facilitate atakuwa hazimtoshi
 
Sasa unataka ushauri gani wakati umeishajenga.
Hii biashara kama ni muumini wa mungu kivile bora uiache.
We utajuaje kama wanaokuja ni mke na mume.
Kwani Hotel unavyojua wewe inatafsiri ya short time na long time?unampangia mtu muda wa kutoka au?
Kwa taarifa yako Pale Serena Hotel au Kempinski kuna watu wanaenda kwa short time na wala hawaoni hatari ya kulipia pesa ya normal room rate.
Yaani we hata upewe ushauri gani hii haikufai,we jiji la Dar au mkoani nani hana kwake,sehem hizo nyingi ni watu kulana mambo tu.
Kuna wakati niliishi Mabibo kuna mama mmoja mtu wa mungu sana alikuwa na Guest,sasa jpili inakuwa imejaa sana,siku moja alitoka kanisani akanikuta nipo nje na mtoto akasema vipi pamejaa?tukamjibu ndio akasema basi vumilieni wanatoka wengine muda huu huu,kisha akamuuliza mfanyakazi wake kuhusu biashara.
Sasa we niambie Guest house mabibo unategemea mgeni atoke Arusha au Kenya aje kulala hapo.Wengi ni watu wa kuja kuuwa.Na wengine wamepinda wanaweza kuwalamba hata hao wafanyakazi wako.
 
Nimeipenda hii mkuu bila shaka ni senior expert kitaa hichi

sasa unataka ushauri gani wakati umeishajenga.
Hii biashara kama ni muumini wa mungu kivile bora uiache.
We utajuaje kama wanaokuja ni mke na mume.
Kwani hotel unavyojua wewe inatafsiri ya short time na long time?unampangia mtu muda wa kutoka au?
Kwa taarifa yako pale serena hotel au kempinski kuna watu wanaenda kwa short time na wala hawaoni hatari ya kulipia pesa ya normal room rate.
Yaani we hata upewe ushauri gani hii haikufai,we jiji la dar au mkoani nani hana kwake,sehem hizo nyingi ni watu kulana mambo tu.
Kuna wakati niliishi mabibo kuna mama mmoja mtu wa mungu sana alikuwa na guest,sasa jpili inakuwa imejaa sana,siku moja alitoka kanisani akanikuta nipo nje na mtoto akasema vipi pamejaa?tukamjibu ndio akasema basi vumilieni wanatoka wengine muda huu huu,kisha akamuuliza mfanyakazi wake kuhusu biashara.
Sasa we niambie guest house mabibo unategemea mgeni atoke arusha au kenya aje kulala hapo.wengi ni watu wa kuja kuuwa.na wengine wamepinda wanaweza kuwalamba hata hao wafanyakazi wako.
 
Jamani hii makitu ni ngumu sana. Ila kama dhamira yako inakusuta iache tu ndugu maana hutaifanya kwa amani..
 
wakuu hali zenu.
Nipo kwenye mchakato wa kumalizia ujenzi ambao ni nyumba ya kulala wageni. mimi ni muumini wa dini mzuri ambaye singependa hii business iishie kwenye dangulo.
Naomba mnishauri kama inawezekana ukawa na halali business ambayo watu hawataitumia kwa short times pia kuja kujivinjari. ningependa walalao wawili wawe married but singependa kuwalazimisha waje na vyeti vya ndoa. pliz help if it is feasible and how can it be done?

nangu mahwelu

lazima itanuka mbegu tu
 
Biashara zipo nyingi,hii madhali umeshaitilia shaka basi achana nayo.
Nalog off
 
Uzinzi ndio unaojaza wateja kwenye hoteli na gesti, sasa kama dhamira inakusuta ushauri wangu fanya biashara nyingine! La sivyo ukiweka hizo restriction ni hasara
 
Jamani kama una ndugu yako ambae anataka kuwekeza hapa Tanzania na ana capital ya kutosha, for sure inatakiwa awekeze kwenye biashara ya hotel ama guest house maeneo ya Morogoro road maana nakuhakikishia hatapata hasara. Jumamosi nilipata mgeni wangu classmate alikuja semina kutokea mkoani,alikuwa amepewa hela ya hoteli ambayo walimwambia asizidishe elfu 85 kwa ajili ya accomodation tu. Kwa kuwa atakuwepo hapa Dar kwa wiki tatu nikamshauri kuwa kama vipi tutafute hotel ya kawaida ya elfu 30 mpaka 40 then hizo nyingine aweze kusevu.

Alifika Jumamosi alasiri nikampokea, tukaanza kutafuta hotel maeneo ya Manzese, Mabibo na Magomeni nakuambieni tulikosa vyumba. Anzia Ubungo hakuna kitu, tukatelemka pale BM Hotel Mabibo hakuna kitu tukaja Password na JM hotel wapi kote vyumba vimejaa.Tulizunguka mpaka saa moja jioni mwishowe tulikosa wengi wa wahudumu wakasema vyumba vitakuwa available kuanzia Jtatu yaani leo.Sasa mimi nikajiuliza hivi kweli Dar es salaam tunapata wageni wengi kiasi hiki kweli jamani? Na je hoteli hizi zinazojaa zinalipa kodi? Ama wageni tunaowapokea tunajihakikishia kuwa hawana madhara kwa usalama wetu wa nchi?Nasema hivo maana siamini kama wageni tu wa kawaida wanashuka na mabasi na treni zetu kama wanaweza wakajaza hoteli zote za along Morogoro road.All in all nimekuja kugundua kuwa biashara za hotel na lodge zinalipa sana
 
Wewe unafiriri wanaojaza hotel zile ni wageni wa kutokea mbali?Kama unadhani ni wageni wa kutokea mbali kwa nini aliambiwa kuwa Jtatu aende vyumba vitakuwa tayari.Ina maana wageni wote wa hoteli hizo ni wa weekend tu.Karibu sana Dar inaonekana wewe ni mgeni
 
Wakubwa nisaidie mimi nataka kujikita kwenye biashara ya guest je? BIASHARA HII IMEKAAJE kwa wale wazoefu plani zangu ni kwamba iwe ya kisasa kama chakula,vinywaji,malazi bila kukosa M-pesa .

Kwasasa hela ambayo nimeisha kukusanya haizidi Tsh. 50ml kiwanja kipo tayari.
 
Kwa zama hizi hiyo biashara ina changamoto nyingi,wezi,majambazi na mafuska ndio wateja wakubwa. Inabidi uwe na walinzi wasio na utani na mtu,unaweza kuvamiwa na majambazi wakati wowote na hatimaye uwe tayari kuwalipisha wateja wengine mashuka mapya kwa sababu ule mchezo mchafu umeshamiri sana katika jamii na kupelekea kuchafua mashuka kwa ki...si!
 
Back
Top Bottom