Kwa wale ambao huwa mnasafiri mara kwa mara kati ya moshi/arusha - dar hebu nisaidieni ni basi gani zuri kwa sasa kusafiria? Nimesafiri safiri na kilimanjaro exp na dar exp naona kama yameanza kuchokachoka hivi.. Nategemea kusafiri wikiendi hii na familia yangu na nataka gari comfortable / luxury maana nimechoka kweli hapa nilipo. Ntashukuru wadau..