Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Wakuu naombeni kufahamishwa juu ya nauli ya basi kutoka Moshi-Dar na safari hii huchukua masaa mangapi kufika Dar?
Kwa sababu nimemtumia mpenzi wangu nauli mida ya saa sita na kanihakikishia atafika leoleo, hivyo basi mimi atanijulisha nikamsubirie Magufuli Terminal.
Je, kwa muda huo atapata usafiri?
Kwa sababu nimemtumia mpenzi wangu nauli mida ya saa sita na kanihakikishia atafika leoleo, hivyo basi mimi atanijulisha nikamsubirie Magufuli Terminal.
Je, kwa muda huo atapata usafiri?