Gogo la choo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 708
- 293
Si bora huyo kuna Maboya flani wanakaa kulee ukiwa unakaribia Mizani mpya kuna kama kamlima hivi....huwa wanafanyaga kurukia njiani kama maninja..huwa nawapa pesa za bandia
Ahahahahahahaaaa....!!!njaa zitawaua hawa watu..hela yenyewe ikizidi sn buku 5 halafu fake..duuh..!!