KIMARA BRIDGE
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 262
- 270
why don't you prove him wrong... wapi nursery yako ilipo? na kama ni mafinga , toa physical address kama wengine wananvyofanya na siyo kujibu kwa nyodo. Naomba uwasiliane na Lily Tony akupe tips za hii biasharaWewe Kama unahitaji Miche sema, sio kuongea mengine changamkia fursa. Unajua Mimi nimeanza kufuatilia zao la macadamia nuts tangu lini? Acha kuongea mengine yasio na staha. Wenzako wanachangamkia fursa wewe unvyo zidi kuongea pumba. Piga namba hiyo hapo juu upate maelezo sahihi.