N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Mkuu naomba unitumie miwili kesho kwa abood najaribu Dar nione.Miche yenye urefu huu huwa hatuuzi,ipo kwa ajili ya kuwaonyesha wateja wetu wanaofika bustanini.
Miche tunayouza ina urefu wa cm 30, bei yake ni sh 9000..Ila ukihitaji miche ya eka moja tunakufanyia discount mkuu