shukran mkuuIlboru sekondari Wana SoMo la kichina, bila shaka Wana walimu pia. Jaribu kuuliza hpo utapewa mwongozo mkuu
shukrani mkuu ngoja niangalie huo uzi.Miezi michache haisaidii kabisa kichina ni kigumu angalau mwaka sio rahisi kabisa inahitaji mtoto awe serious hasa miezi 4 ya mwanzo baada ya miezi 6 ndio ataanza kuelewa kuandika na kujielezea kiasi.
Kwa wiki angalau afundishwe jumla ya masaa 9 na nyumbani kila siku atumie walau saa 1 kufanya exercise za book 1 nimeweka material nyingi za chinese tafuta huo uzi utazipata
Kama ni mfatiliaji pia ubalozi wa china wanatoaga fursa na mafunzo baadae unapata udhamini wa kwenda kujifunza lugha vyuo vya China.