Msaada ameyakanyaga Bank ya ABC

Kwa maelezo leo asubuhi aliwafuata kuwaelezea kufuta huo mkopo wakamueleza aendelee kusubilia maana hawana namna ya kumsaidia kufuta.
 
Kwa USHAURI wangu NINAONA aende kwenye Ofisi za mawakili walio karibu yake watamsaidia. Suala hilo ni jepesi sana. Terms zimevunjwa na mkopeshaji mwenyewe Kwahiyo the payments are time barred. Kuna sheria inayoregulate hayo maswala.
Amuone wakili amsaidie chap.
 
Kwa maelezo leo asubuhi aliwafuata kuwaelezea kufuta huo mkopo wakamueleza aendelee kusubilia maana hawana namna ya kumsaidia kufuta.
Ili BOT kukusaidia, maandishi ya mdomo hayasaidii.

Aandike barua, apeleke. Kisha asubiri majibu..

Ukienda Benki, (sina hakika sana siku hizi) kuna karatasi kubwa lenye taratibu za kufile changamoto yako.

Linaeleza vizuri sana na muda ambao changamoto yako inapaswa kutatuliwa.

Cha kufanya kesho arudi tena na barua kutoka kwa afisa utumishi. Awapelekee hicho kitengo. Pia apange foleni ya kuonana na Manager Customer Experience. Kama hayupo basi Bank Meneja wa tawi husika.

Atoe na kuwakabidhi barua. Atulie kwa muda huo.

Kisha baada ta hapo aendelee na utaratibu uliopo kwenye maelekezo.
 
Vipi gharama za uwakili?
 
sawa nitamfikishia hili
 
Wahenga nao...!

Sometimes Wanatuchuuzaga..... !

Umeshawahi kusikia huu msemo Wao 'Eti Marehemu Tajiri'...! Huwa wanamalizia..kuchwe kusikuchwe Atazikwa tu..!

Sasa Wewe ndg Yangu...Mtu tajiri kwenda Kumsainia Mkopo Kbs...Hizo guts Umezitoa Wapi...?
 
Wahenga nao...!

Sometimes Wanatuchuuzaga..... !

Umeshawahi kusikia huu msemo Wao 'Eti Marehemu Tajiri'...! Huwa wanamalizia..kuchwe kusikuchwe Atazikwa tu..!

Sasa Wewe ndg Yangu...Mtu tajiri kwenda Kumsainia Mkopo Kbs...Hizo guts Umezitoa Wapi...?
Sijakuelewa kidogo, una maanisha nini?
 
Hapa ndo umeandika jambo la msingi.
 
Ongea na HR mpe rushwa awaandikie bank umepata shida kazini huwezi kurejesha makato ya mwezi.
Bank wakiona hasara hii watakunyima wenyewe mkopo
 
Tena wanatakiwa wamlipe fidia kwa kuchelewesha huo mkopo.anaweza lipwa ata 100M .akiwa na mwanasheria mzuri
 
...Kama hajaanza kukatwa aachane nao. Haina Kazi Tena....!

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…