Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
155
Habari zenu wanajamvi,

Pole na uchovu wa leo nimekuwa na mahusiano na huyu mwanaume zaidi ya miezi kumi sasa ananipa kila kitu na mapenzi yote.

Tatizo lilianza pale nilipomuuliza yeye nikisema nikamsalimie kwake anakataa Mmh yani ajabu zaidi siku ya leo ameniweka wazi kuwa yeye ni Frateri.

Anasomea Upadri na anaishi Seminary anaposoma. Kweli nampenda sana kumuacha sio kirahisi na yeye hataki mwingine.

Nifanyeje jamani? Ushauri tafadhali
 
Endellea tu anaweza kuhamia k...t! Akaendelea kukuchunga mwanakondoo
 
Nyie ndio mnawatia majaribuni hatimaye kuwateka watumishi wa Mungu.
 
Ni heri umekumbana na huyo anapenda wanawake kwani huko nasikia mambo ni ile ile al maarufu kulawitiana wenyewe kwa wenyewe tu.
 
Kamuombe mama au shangazi yako ushauri atakushauri vyema sana!
 
Nyie ndio mnawatia majaribuni hatimaye kuwateka watumishi wa Mungu.

Hapana tatizo alinipenda mwenyewe nikamuuliza ulinionea wapi akasema alinionaga kanisani kila siku ya jumamosi na jumapili akavutiwa namimi nikamuuliza anafanya kazi wapi akasema mkoa flan (cwez usema)
 
Hapo pagumu aisee.ni kuchagua kuwa padre(na hivyo kuachan na wewe) au kuendelea na wewe na kuuacha upadre.ni option mbili tu mkuu.
 
huyo sio mwaminifu kwanini asikuambie kila kitu tangu awali???
 
na kibuti cha namna hii hakiumizi sana kwani anakumegea kidogo kidogo
kesho ataambiwa nimeamishwa nipo kigangwe cha MATOMBO
game is over
jamaa kaogopa kumwambia live kwamba tuachane,mwanaume anayekupenda hawezi akaficha anakoishi,michepuko ndo huwa hawaonyeshi na hawaambii siri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom