Msaada: Aliyewahi kufikia hatua hii- Alitokaje?

Msaada: Aliyewahi kufikia hatua hii- Alitokaje?

Mkuu pole sana. Kwa maisha ya sasa yalivyo ni shida kwa kweli. Hiyo mwanhuzi ni ya meatu au kuna nyingine shinyanga? Kama ni meatu ebu weka namba yako nikucheki
 
Pole sana, ila usisahau kuwa no condition is permanent, hicho kipindi utavuka tu usikate tamaa
 
pole sana mkuu, naelewa sana unalozungumza hapa amini haupo peke yako,tuko wengi tulio na matatizo aina hiyo cha msingi tusikate tamaa kwa maana wakati mwingine ukimweleza ambae hajayapitia hayo anakuona kama mzembe,amini wakati wako utafika na utafanikiwa tu.
 
Najua wengine wanaweza kuwa na mawazo tofauti sana na kunichukulia kama mzembe flani ivi au mtu niliyekata tamaa. La hasha!



Mimi ni fighter sana....na najikubali sana kwa hilo. Na hua sichagui kazi hata kidogo. Najua issue zote ndogondogo you name.

Kubeba zege...tofali...kumenya viazi vya chips ili upate kula...kupiga mnada wa nguo mpaka koo linakauka....ukonda...kuosha masufuria kwa mama ntilie na kupewa ukoko.


Hizo ni issue nilizofanya bila kujali elimu yangu ya Degree ya BA. Lengo lilikua kupata pesa ya nauli wakati nikiwa dar na ya kununulia bahasha kwa ajili ya job applications.


Kwa yeyote unayesoma huu uzi. Nakuomba sana...unapokula chakula hapo kwako...au hotel..jitahidi kula kwa kiasi chako.....usimwage chakula. Kama upo nyumbani...pika cha kutosha na pakua cha kukutosha. Usimwage chakula pls.

Kuna watu hawajala 3days....kuna watu wananjaaa za sana. Ukiwa unataka kutupa chakula..vaa viatu vyao and feel the pains.
 
Ntuzu. ..ushauri wako ni mzuri. Ila dar sio kwepesi namna hiyo. Nimekaa huko kwa mwaka mzima...mpaka nikaamua kubeba tofali ili niwe napata pesa ya kula na nauli. Maisha yalikua magumu sana. Ndugu wa Dar wengi ni wachoyo....vyakula wanaona kama unamaliza. Ndugu wa Dar hawapendi wageni kama mimi tegemezi. Wanataka ukienda kwao...ufanye shughuli na ue unarudi usiku sio kukaa kaa tu ovyo. Na ue na uwezo wa kula mtaani.

Unachosema ni kweli lkn Kikubwa Mkuu ni uvumilivu na uaminifu! Na njia rahisi ya kupata kz kwa huko Dar ni kujitolea. Km unapata makazi ya kukaa ata Km yanakua na ugumu ni kutafuta kz ujitolee bila mshahara na wakiona jinsi unavyo wajibika lazima wakupe kz. Alafu Dar maofisini watu ni waelewa sn! Wakijua kua wewe unajitolea na Hali ni Ngumu lazima wakulinde nauli na vi hela vya hapa na pale!

Naelewa watu Dar hawana upendo na ukarimu lkn bado fulsa ziko nyingi tofauti na huku kwetu mikoani!
 
Hahahaha, GAZETI naona hataki kufunguka kwa faida ya wengi, labda ni moja ya masharti!

Mkuu Tiba za asili hazina masharti, masharti yapo kwenye TIBA za kienyeji
nilikuwa natazama changamoto ya maswali kutoka kwa mlengwa lakini
naona kanielewa tofauti tena si yeye tu wengi hapa jukwaani hamjanielewa
ni mkakati kabambe ambao nikiumwaga hapa hadharani ndani ya miezi
kumi tu unapata usafiri wako.

Mimi sio mtaalamu wa uchumi but namshukuru Mungu hata baadhi ya hao
wataalamu wengine huja kwangu kwa kutaka msaada wa mawazo. Narudia tena
kuna utofauti mkubwa sana kati ya Tiba ya asili na zile za kienyeji yaani mizimu n.k

Sidhani kama ni dhambi mtu kutumia asali kama dawa ya mtu aliyeungua moto, huu ndio
mfano wa TIBA YA ASILI. Tatizo kiswahili bado kinatusumbua.
 
Mkuu Tiba za asili hazina masharti, masharti yapo kwenye TIBA za kienyeji
nilikuwa natazama changamoto ya maswali kutoka kwa mlengwa lakini
naona kanielewa tofauti tena si yeye tu wengi hapa jukwaani hamjanielewa
ni mkakati kabambe ambao nikiumwaga hapa hadharani ndani ya miezi
kumi tu unapata usafiri wako.

Mimi sio mtaalamu wa uchumi but namshukuru Mungu hata baadhi ya hao
wataalamu wengine huja kwangu kwa kutaka msaada wa mawazo. Narudia tena
kuna utofauti mkubwa sana kati ya Tiba ya asili na zile za kienyeji yaani mizimu n.k

Sidhani kama ni dhambi mtu kutumia asali kama dawa ya mtu aliyeungua moto, huu ndio
mfano wa TIBA YA ASILI. Tatizo kiswahili bado kinatusumbua.

Nimekusoma mkuu, lakini unajua tatizo la jamaa ni la kiuchumi si la kiafya, sasa unaposema "mtaalam" tu tayari akili za watu zinajua ni kulekule. BTW, usafiri ni nyenzo tu mkuu sidhani kama ni alama ya mafanikio! Vipi unaweza kumwaga kidogo hiyo elimu ya upande wa pili na sisi tukafaidika, au unaweza kuniinbox kama hautakuwa na tatizo na hilo.
 
Nimekusoma mkuu, lakini unajua tatizo la jamaa ni la kiuchumi si la kiafya, sasa unaposema "mtaalam" tu tayari akili za watu zinajua ni kulekule. BTW, usafiri ni nyenzo tu mkuu sidhani kama ni alama ya mafanikio! Vipi unaweza kumwaga kidogo hiyo elimu ya upande wa pili na sisi tukafaidika, au unaweza kuniinbox kama hautakuwa na tatizo na hilo.
Si tatizo, niliangalia matatizo ambayo wengi wanayo yaani nilitumia changamoto
kama daraja hapo nikalazimika kupita kwa waganga kama kumi hivi nikitafuta dawa
ya nguvu za kiume, nililazimika kufanya kazi ya ziada kwa kuzitest wengi walikuwa
waongo lakini hizi za wawili zilikuwa kiboko.
Kwa kifupi....... Nikabandika lebo na kuzipa jina lenye hisia kali.... yaani mfano
Kifaru, Kombora, masafa marefu..... Yaani nilipotia miguu tu hapa Dar... usifanye Mchezo
Mpaka wahindi walikuwa wananifahamu kwa dawa hizo. Nilikuja kununua kiwanja miezi
miwili baadae na nikapata pesa ambayo ilinipeleka DSA sasa hivi inajulikana kama T.I.A
Kwa kifupi ni hivyo. Lakini kwa sasa nimeachana na biashara hiyo niko na mambo mengine
kabisa.
 
Si tatizo, niliangalia matatizo ambayo wengi wanayo yaani nilitumia changamoto
kama daraja hapo nikalazimika kupita kwa waganga kama kumi hivi nikitafuta dawa
ya nguvu za kiume, nililazimika kufanya kazi ya ziada kwa kuzitest wengi walikuwa
waongo lakini hizi za wawili zilikuwa kiboko.
Kwa kifupi....... Nikabandika lebo na kuzipa jina lenye hisia kali.... yaani mfano
Kifaru, Kombora, masafa marefu..... Yaani nilipotia miguu tu hapa Dar... usifanye Mchezo
Mpaka wahindi walikuwa wananifahamu kwa dawa hizo. Nilikuja kununua kiwanja miezi
miwili baadae na nikapata pesa ambayo ilinipeleka DSA sasa hivi inajulikana kama T.I.A
Kwa kifupi ni hivyo. Lakini kwa sasa nimeachana na biashara hiyo niko na mambo mengine
kabisa.

Kuna mdau kaandika humu, MAISHA YAKIKULETEA LIMAU TENGENEZA LEMONADE! Nakupa saluti kaka, heshima yako.
 
Si tatizo, niliangalia matatizo ambayo wengi wanayo yaani nilitumia changamoto
kama daraja hapo nikalazimika kupita kwa waganga kama kumi hivi nikitafuta dawa
ya nguvu za kiume, nililazimika kufanya kazi ya ziada kwa kuzitest wengi walikuwa
waongo lakini hizi za wawili zilikuwa kiboko.
Kwa kifupi....... Nikabandika lebo na kuzipa jina lenye hisia kali.... yaani mfano
Kifaru, Kombora, masafa marefu..... Yaani nilipotia miguu tu hapa Dar... usifanye Mchezo
Mpaka wahindi walikuwa wananifahamu kwa dawa hizo. Nilikuja kununua kiwanja miezi
miwili baadae na nikapata pesa ambayo ilinipeleka DSA sasa hivi inajulikana kama T.I.A
Kwa kifupi ni hivyo. Lakini kwa sasa nimeachana na biashara hiyo niko na mambo mengine
kabisa.

Mkuu haya mambo yapo na pia wengi wamefanikiwa kwa njia Km Hii!
 
Mkuu Tiba za asili hazina masharti, masharti yapo kwenye TIBA za kienyeji
nilikuwa natazama changamoto ya maswali kutoka kwa mlengwa lakini
naona kanielewa tofauti tena si yeye tu wengi hapa jukwaani hamjanielewa
ni mkakati kabambe ambao nikiumwaga hapa hadharani ndani ya miezi
kumi tu unapata usafiri wako.

Mimi sio mtaalamu wa uchumi but namshukuru Mungu hata baadhi ya hao
wataalamu wengine huja kwangu kwa kutaka msaada wa mawazo. Narudia tena
kuna utofauti mkubwa sana kati ya Tiba ya asili na zile za kienyeji yaani mizimu n.k

Sidhani kama ni dhambi mtu kutumia asali kama dawa ya mtu aliyeungua moto, huu ndio
mfano wa TIBA YA ASILI. Tatizo kiswahili bado kinatusumbua.
Muhimu sana naomba Tuwasiliane no yangu nitakuPM
 
Si tatizo, niliangalia matatizo ambayo wengi wanayo yaani nilitumia changamoto
kama daraja hapo nikalazimika kupita kwa waganga kama kumi hivi nikitafuta dawa
ya nguvu za kiume, nililazimika kufanya kazi ya ziada kwa kuzitest wengi walikuwa
waongo lakini hizi za wawili zilikuwa kiboko.
Kwa kifupi....... Nikabandika lebo na kuzipa jina lenye hisia kali.... yaani mfano
Kifaru, Kombora, masafa marefu..... Yaani nilipotia miguu tu hapa Dar... usifanye Mchezo
Mpaka wahindi walikuwa wananifahamu kwa dawa hizo. Nilikuja kununua kiwanja miezi
miwili baadae na nikapata pesa ambayo ilinipeleka DSA sasa hivi inajulikana kama T.I.A
Kwa kifupi ni hivyo. Lakini kwa sasa nimeachana na biashara hiyo niko na mambo mengine
kabisa.
Mkuu naomba namba tafadhali unajua kwenye ile TOPIC ya unataka
kuwa tajiri kwenye Ujasiriamali umenisaidia sana na hapa naona
kama nataka kupata msaada mwingine hasa hiyo MASAFA MAREFU.
 
me sielewi iyo degree yako inakusaidiaje kupambana na hali ya maisha tofauti na wasio na elimu!
 
Maisha kweli nikitu kingine kabisa wengine tuna lazimisha watoto wakazane kusoma nawanaenda vizur mpaka wanadaka na madegre lakini linapo kuja swala lawao kujiongeza sasa naelimu walio ipata mamiaka yote kujikwamua kimaisha hawa wezi kisa kazi hawana au mtajii hana sio wote wenye nazo wamezikuta kuna matajiri wengine au sijui tuseme kwa ajili ilikua ni zamani ndo wakapata mwanya wakufanikiwa kimaisha hatujajua lakini wapo ukisikiliza waliko toka we una afadhali but yote hayo maisha hutaka uvumilivu wa hali ya juu na pambana ivo ivo mkuu japo umri ndo huo ushakua nitole ukijapata hela ushazeaka nakama huna mtoto tena ndo ivo maisha yanakua mengine tena hapo zaidi ushauri ujitaidi tu kupigana uwezavo kaka kwelii yani?
NA USIKATE TAMA?.
akili yako tunaona ilikua ni yakujibu mitihani tu nauliweza pia sasa
jiongezee mkuu degree. Sio zakulala njaa. Akili yako ihamiee mitaani sasa ndo utapata pakutokea?.
 
Si tatizo, niliangalia matatizo ambayo wengi wanayo yaani nilitumia changamoto
kama daraja hapo nikalazimika kupita kwa waganga kama kumi hivi nikitafuta dawa
ya nguvu za kiume, nililazimika kufanya kazi ya ziada kwa kuzitest wengi walikuwa
waongo lakini hizi za wawili zilikuwa kiboko.
Kwa kifupi....... Nikabandika lebo na kuzipa jina lenye hisia kali.... yaani mfano
Kifaru, Kombora, masafa marefu..... Yaani nilipotia miguu tu hapa Dar... usifanye Mchezo
Mpaka wahindi walikuwa wananifahamu kwa dawa hizo. Nilikuja kununua kiwanja miezi
miwili baadae na nikapata pesa ambayo ilinipeleka DSA sasa hivi inajulikana kama T.I.A
Kwa kifupi ni hivyo. Lakini kwa sasa nimeachana na biashara hiyo niko na mambo mengine
kabisa.

Respect mkuu

Wewe ni jembe
 
Ndugu wanajf....nimejaribu kila mbinu za kupambana na maisha kasoro kuiba mpaka sasa sijafanikiwa...ndio kwanza naona maisha yanazidi kua magumu sana.


Anything u mention, nimejaribu bila mafanikio. Is like upo kwenye ulingo wa ngumi na unapigana na Mohamed Ally au Cheka. Kila ukirusha ngumi moja...unamiminiwa 30 za haraka haraka tena zenye maumivu mpaka unaanguka huku damu zikikutoka.


Sasa nimeamua kumuomba Mungu tu...naenda kwenye maombezi mbalimbali. Sometimes nafunga na kuomba...

Nimekua mtu wa kushinda ndani tu. Naona giza tu mbele yangu. Nipo lonely sana. Sina kazi wala kitu chochote cha kuniingizia kipato.


Kazi nimetafuta sana bila mafanikio. Biashara nimefanya pia.



Mpaka sasa sijakata tamaa kuomba ajira na kufikiria mbinu za kupata pesa. But nimekua wa kukaa tu sina uelekeo.


Kwa yeyote aliyewahi kua na hali hii...ilikuaje akajikuta anaanza kupata neema?

Kwanza hujajaribu kila mbinu. kuna mbinu nyingi tuu hujajaribu. maisha yanakuwa magumu kwa sababu unakaa tu. kukaa tuu bila shughuli yoyote kunakufanya kukosa uwezo wa kufikiri. Tena umesema unajifungia ndani alone. tatizo lako kubwa unachagua kazi. Wakati mwingine unawaza sana kuhusu mshahara mkubwa wakati wewe mwenyewe huna kazi. Hali kama hii ilishawahi kunikuta na nilipochukua hatua ya kufanya kazi iliyokuwa ya kipato kidogo ghafla nikajikuta napata mawazo ya kujitafutia kipato kizuri kutokana na kale kakipato kadogo. USHAURI: Hakikisha unajifautia shughuli inayokufanya uweze kufikiri huku ukiifanya. halafu endelea kutafuta namna ya kutoka hapo ulipo na kwenda mbele zaidi.
 
Back
Top Bottom