majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 813
bado haujakishughulisha vizuri kichwa!
mpe ushauri wako kafikia mwisho wa uwezo wake!
bado haujakishughulisha vizuri kichwa!
hapo kwenye blue..ilianza uza dawa ama walikufanyia dawa sijakupata mkuuMkuu nimepitia hicho kipindi, kuna wakati nikashawishiwa na mama mmoja ambaye ni marehemu
kwa sasa niende nchi fulani kufuata mzigo (unga) kwa ahadi ya kitita cha tsh milioni 11, nilikuwa
nakaribia kukubali lakini wakati nikitafakari yule mama akakumbwa na umauti.
Nilitamani kuuza maji barabarani lakini aibu kilikuwa kikwazo kwangu, hatimaye nikapata mbinu
ambayo namshukuru Mungu ilinitoa sana, tena sana. Nilirudi kijijini nikaonana na wataalamu wa
tiba za asili..... naomba unielewe hapa ili kuweka mambo sawa sio waganga wa kienyeji ni wataalamu
wa tiba za asili. Ndiyo.... nikajikuta mpango wangu huo ukiniwezesha kununua kiwanja hapa Dar.. hadi
kufanikiwa kujenga.
Utumie vizuri muda wa asubuhi kwa kutafakari nini cha kufanya..... usichoke kila kitu kinaanzia
kwenye fikra hata ukiiona ghorofa kubwa vipi lazima itakuwa imetoka kwenye fikra za mtu mmoja kwanza
hata kama ni ghorofa ya serikali, jumuiya n.k.
mpe ushauri wako kafikia mwisho wa uwezo wake!
Pole sana Mkuu hasa hapo kwenye suala la ndugu kushangilia problems zako. Nakushauri uongee na Headmasters wa shule za private unaweza pata dili ndogo ya kupiga chaki (kufundisha) huku ukiangalia ustaarabu mwingine kuliko kuendelea kujifungia ndani. Hiyo itakukeep bize maana ukikaa sehemu moja lonely halafu una mawazo ya maisha magumu unaweza fika hatua ya kuchukua maamuzi magumu.
Amina. Barikiwa
Nipo Ng'wanuzi, Shinyanga
Mkuu nimepitia hicho kipindi, kuna wakati nikashawishiwa na mama mmoja ambaye ni marehemu
kwa sasa niende nchi fulani kufuata mzigo (unga) kwa ahadi ya kitita cha tsh milioni 11, nilikuwa
nakaribia kukubali lakini wakati nikitafakari yule mama akakumbwa na umauti.
Nilitamani kuuza maji barabarani lakini aibu kilikuwa kikwazo kwangu, hatimaye nikapata mbinu
ambayo namshukuru Mungu ilinitoa sana, tena sana. Nilirudi kijijini nikaonana na wataalamu wa
tiba za asili..... naomba unielewe hapa ili kuweka mambo sawa sio waganga wa kienyeji ni wataalamu
wa tiba za asili. Ndiyo.... nikajikuta mpango wangu huo ukiniwezesha kununua kiwanja hapa Dar.. hadi
kufanikiwa kujenga.
Utumie vizuri muda wa asubuhi kwa kutafakari nini cha kufanya..... usichoke kila kitu kinaanzia
kwenye fikra hata ukiiona ghorofa kubwa vipi lazima itakuwa imetoka kwenye fikra za mtu mmoja kwanza
hata kama ni ghorofa ya serikali, jumuiya n.k.
Nipo Ng'wanuzi, Shinyanga