Hi,
Naombeni msaada,
mimi nina uso naturally una mafuta kweli na huwa sipaki mafuta kabisa
also poda huwa sipaki cause after few minutes inakuwa imeyeyuka sababu ya mafuta.
Pia nadhani sababu ya mafuta uso hauko smooth una pimples kiasi.
Naogopa kutumia chemicals.
kuna yeyote anayejua natural things i can use to cure my face anisaidie.
Natanguliza shukrani.
Naombeni msaada,
mimi nina uso naturally una mafuta kweli na huwa sipaki mafuta kabisa
also poda huwa sipaki cause after few minutes inakuwa imeyeyuka sababu ya mafuta.
Pia nadhani sababu ya mafuta uso hauko smooth una pimples kiasi.
Naogopa kutumia chemicals.
kuna yeyote anayejua natural things i can use to cure my face anisaidie.
Natanguliza shukrani.