Mrundikano kitaa: Kozi hizi zipigwe stop miaka mitatu, kazi zinatoka taratibu kwa wahitimu

MUHIMU: MAADA INALENGA KUTEGEMEA KOZI ILI KUAJIRIWA (SIO KUJIAJIRI)

Kozi hizi ni
-ualimu (education)
-Procurement na Logistics
-Marketing
-Petroleum Chemistry
-Business Administration
- Marketing

Vyuo vinapodahili wanafunzi wawe wanaangalia hali ya idadi za ajira na wahitimu wa hizi fani, Kozi tajwa hapo juu ni nadra sana kutangazwa ajira na hapo hapo kuna wahitimu wengi ambao bado wanasubiri ajira zinazotoka chache kwa spidi ya kobe.

Kwa mfano, Kozi ya procurement kila mwaka wahitimu wanaweza kufikia elfu 5 ila ni ajira 10 tu mwaka mzima hutolwa na serikali. Kutoka mwaka 2015 hadi sasa panaweza kuwa na wahitimu wa fani hii elfu 15 ambao bado hawajapata ajira hizi chache zinaotoka taratibu.

Ningependa serikali iwe na mkakati mzuri wa kuvielekeza chuo kwamba idadi Fulani ya wahitimu ikifikia basi kozi inabidi zisimame kwa kipindi Fulani hivi.
Mim nimekuja kugundua kumbe mambo mazuri yamejificha VETA hukooo! Madegree haya ya UDSM, SAUT, MZUMBE kilio kitupuuuu. But it too late to catch the morning bus.

Hakika ukisoma VETA Ni wazi utakuwa na ARI na position nzuri ya kujiajiri.
 
Biashara hizo zinafanyika juu ya ardhi, kariakoo ndiyo eneo ambalo kuna utumizi wa kiwango cha juu kabisa cha ardhi, hivi unajua ukitaka kuendeleza ardhi kwa baadhi ya vitu kwenye jengo lako ni lazima upate planning consent kutoka kwa mipango miji, wale wanaopandisha majengo juu kabisa, mambo ya Partition zile zote ni sehemu za land savey,
Umezungumzia kuhusu fidia kwenye ardhi swali linakuja anayefanya Valuation ni nani? Jibu ni A registered valuer
Umezungumzia kuhusu kufanya kwa valuation miaka mingi iliyopita, what if kama walikosea? Kama walikosea kupima mkaambiwa hapo hapafai ni eneo lisiloruhusiwa hivyo ondokeni hivyo hilo litaathiri biashara
Kuhusu firms kufanya biashara nilisha kujibu hapo awali kwamba ardhi ni biashara, ndiyo maana nikagusia masuala ya kukopea ardhi, upangishaji,au ulikuwa huelewi mkuu?
Kuhusu kulipwa mshahara/pesa na mtu aliyesomea biashara hiyo siyo hoja kwa sababu hiyo ni kazi yake.
Siyo lazima kuwe na department za ardhi, masaveya wana uwezo wa kujiajiri hawategemei kuajiriwa hivyo uwepo au kutokuwepo kwa Idara ya Davey siyo hoja, na Kingine kampuni hizo za Tigo zinategemea pia firms za ardhi kwa sababu hayo makampuni yanamiliki Mali na Mali zenyewe mfano ni Ardhi ardhi ni mali, wakitaka kuweka mnara wa simu ni lazima Land saveya apime kama eneo linafaa mambo ya elevation, heights,distance na baada ya hapo aandae drawings
Umezungumzia kuhusu uwepo wa watu wa fedha makanisani, lakini kumbuka hapo lilipojengwa kanisa ni kwa mujibu wa sheria za mipango miji,na kanisa hilo pia linalindwa na sheria ya ardhi ambayo masaveya yunasimamia, kama issue ni watu wa fedha mbona huzungumzii mwanasheria bila mwanasheria kutoa ushauri wa jinsi ya kusajili kanisa kanisa lingesajiliwa?
Kanisa hilo linaweza kumiliki Mali kwa sababu lina board of trustees na moja ya Mali zenyewe ni ardhi
Huu mdahalo mumechanganya mambo mpaka imegeuka kuwa Debate ya 'Je Ardhi na Biashara bora nini' kumbe mlipotokea ni 'je elimu ya ardhi na ya biashara yepi inayofaa kwasasa' hapo ukihusisha zile Degree/Diploma/Programs zote zinazotolewa vyuoni based kwenye Ardhi na zote zinazotolea vyuoni based kwenye Biashara.

Kila kimoja kina potential yake ila zinatofautiana sehemu kadhaa

Ajira
Kwa watoto wa masikini Katika suala la ajira na kukiajiri taaluma ya Ardhi ni nzuri zaidi unakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata ajira na hata kupata tender nzuri bila kusota sana mtaani...kwa wanaotaka kukamata pesa za haraka Ardhi ni njia sahihi.

Kwa watoto wanaotoka kwenye fedha(wafanya biashara) au hata kama maskini ila una Malengo makubwa miaka 10..20 mbele taaluma ya Biashara ni kilakitu kwako hii taaluma inabeba kilakitu hapa duniani ukiitumia ipasavyo ila kuhusu kukupa faida ya haraka kama ajira sinzuri.

Mwisho
Huwezi kuifananisha taaluma ya Biashara na hiyo ya ardhi, Ardhi ni taaluma ndogo sana Biashara inaendesha Dunia ndio maana Harvard Business School ni Dream ya wasomi au vijana wengi duniani kote wenye akiri na uwono...ma Billionaire wengi Duniani ni zao la taaluma za biashara.
 
Huu mdahalo mumechanganya mambo mpaka imegeuka kuwa Debate ya 'Je Ardhi na Biashara bora nini' kumbe mlipotokea ni 'je elimu ya ardhi na ya biashara yepi inayofaa kwasasa' hapo ukihusisha zile Degree/Diploma/Programs zote zinazotolewa vyuoni based kwenye Ardhi na zote zinazotolea vyuoni based kwenye Biashara.

Kila kimoja kina potential yake ila zinatofautiana sehemu kadhaa

Ajira
Kwa watoto wa masikini Katika suala la ajira na kukiajiri taaluma ya Ardhi ni nzuri zaidi unakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata ajira na hata kupata tender nzuri bila kusota sana mtaani...kwa wanaotaka kukamata pesa za haraka Ardhi ni njia sahihi.

Kwa watoto wanaotoka kwenye fedha(wafanya biashara) au hata kama maskini ila una Malengo makubwa miaka 10..20 mbele taaluma ya Biashara ni kilakitu kwako hii taaluma inabeba kilakitu hapa duniani ukiitumia ipasavyo ila kuhusu kukupa faida ya haraka kama ajira sinzuri.

Mwisho
Huwezi kuifananisha taaluma ya Biashara na hiyo ya ardhi, Ardhi ni taaluma ndogo sana Biashara inaendesha Dunia ndio maana Harvard Business School ni Dream ya wasomi au vijana wengi duniani kote wenye akiri na uwono...ma Billionaire wengi Duniani ni zao la taaluma za biashara.
Hiyo biashara inafanyika juu ya nini?
 
Hiyo biashara inafanyika juu ya nini?
Aisee wewe sio muelewa umesoma andiko langu kwenye INTRODUCTION kweli ndicho nilichozungumzia hiki STILL unarudia yaleyale.

Mdahalo sio 'Ardhi na Biashara kipi bora' ni 'Elimu ya biashara na Elimu ya Ardhi yepi ina potential'

Sasa swali unalouliza wewe linalenga nini "Biashara inafanyika juu ya nini" non sense.
 
Aisee wewe sio muelewa umesoma andiko langu kwenye INTRODUCTION kweli ndicho nilichozungumzia hiki STILL unarudia yaleyale.

Mdahalo sio 'Ardhi na Biashara kipi bora' ni 'Elimu ya biashara na Elimu ya Ardhi yepi ina potential'

Sasa swali unalouliza wewe linalenga nini "Biashara inafanyika juu ya nini" non sense.
Ni non sense kwa sababu hujaelewa dhana pana ya ardhi, huko huko harvad unakosemea wanajifunza masuala ya Real Estate na real Estate inahusisha hadi mabenki na pia ni biashara, watu wana mortgage mali zao kwenye financial markets ili kupata pesa za kuongeza biashara zao 'dhamana kuu hapo ni Ardhi au nyumba' na hapo lazima wadau wa Land valuation wahusike kuandaa valuation report itakayotoa thamani halisi ya hiyo ardhi(including nyumba), masuala ya Upangishaji yote hayo ni sehemu ya real Estate na pia ni sehemu ya biashara yaani unapata pesa kwa biashara ya kupangisha nyumba,
 
Ni non sense kwa sababu hujaelewa dhana pana ya ardhi, huko huko harvad unakosemea wanajifunza masuala ya Real Estate na real Estate inahusisha hadi mabenki na pia ni biashara, watu wana mortgage mali zao kwenye financial markets ili kupata pesa za kuongeza biashara zao 'dhamana kuu hapo ni Ardhi au nyumba' na hapo lazima wadau wa Land valuation wahusike kuandaa valuation report itakayotoa thamani halisi ya hiyo ardhi(including nyumba), masuala ya Upangishaji yote hayo ni sehemu ya real Estate na pia ni sehemu ya biashara yaani unapata pesa kwa biashara ya kupangisha nyumba,
Hivi Mkuu unadhani umeitaja malangapi BIASHARA kwenye hili andiko lako ukitaja Real Estate umetaja Biashara, Mortgage umetaja Biashara, Bank umetaja Biashara.

Ufupi huwezi kutaja ARDHI bila kutaja BIASHARA ila unaweza kutaja BIASHARA bila kutaja ARDHI...ukithaminisha Ardhi teyari ni Biashara Saleaman atahisika Ila ukithaminisha Biashara si lazima Surveyor hausike.

Narsudia tena

HATUZUNGUMZII UMUHIMU WA ARDHI BALI UMUHIMU WA ELIMU YA ARDHI.

Imebidi nikufokee maana unabadili mdahalo.
 
Hivi Mkuu unadhani umeitaja malangapi BIASHARA kwenye hili andiko lako ukitaja Real Estate umetaja Biashara, Mortgage umetaja Biashara, Bank umetaja Biashara.

Ufupi huwezi kutaja ARDHI bila kutaja BIASHARA ila unaweza kutaja BIASHARA bila kutaja ARDHI...ukithaminisha Ardhi teyari ni Biashara Saleaman atahisika Ila ukithaminisha Biashara si lazima Surveyor hausike.

Narsudia tena

HATUZUNGUMZII UMUHIMU WA ARDHI BALI UMUHIMU WA ELIMU YA ARDHI.

Imebidi nikufokee maana unabadili mdahalo.
Ardhi ndiyo hiyo mali ya kuaminika na inayopanda thamani na mabenki wanaipenda sana mkuu,biashara ziko nyingi ni kweli kuna biashara ya magari,pikipiki,nguo,pombe,na Ardhi pia ni sehemu ya biashara
 
Kweli kuna biashara ya magari,pikipiki,nguo,pombe,na Ardhi pia ni sehemu ya biashara
Hatimaye umehitimisha vizuri maana sisi tulikuwa tunazungumzia UNIVERSE wewe u azungumzia SOLAR SYSTEM.
 
MUHIMU: MAADA INALENGA KUTEGEMEA KOZI ILI KUAJIRIWA (SIO KUJIAJIRI)

Kozi hizi ni
-ualimu (education)
-Procurement na Logistics
-Marketing
-Petroleum Chemistry
-Business Administration
- Marketing

Vyuo vinapodahili wanafunzi wawe wanaangalia hali ya idadi za ajira na wahitimu wa hizi fani, Kozi tajwa hapo juu ni nadra sana kutangazwa ajira na hapo hapo kuna wahitimu wengi ambao bado wanasubiri ajira zinazotoka chache kwa spidi ya kobe.

Kwa mfano, Kozi ya procurement kila mwaka wahitimu wanaweza kufikia elfu 5 ila ni ajira 10 tu mwaka mzima hutolwa na serikali. Kutoka mwaka 2015 hadi sasa panaweza kuwa na wahitimu wa fani hii elfu 15 ambao bado hawajapata ajira hizi chache zinaotoka taratibu.

Ningependa serikali iwe na mkakati mzuri wa kuvielekeza chuo kwamba idadi Fulani ya wahitimu ikifikia basi kozi inabidi zisimame kwa kipindi Fulani hivi.
pia IT na CS
 
Usifananishe MD na BA, MD ni wachache hivyo wana nafasi za kupata kazi even private sector
MD anaweza kufanya kazi ya kujiajiri kama physician wa familia Fulani, yaani unaweza ukaajiriwa kama daktari wa familia.
Unaongelea kwa hapa Tz ama?
 
Kwakweli umenivua nguo kwa hiyo kauli yako ya mwanzoni kabisa kuwa huenda mimi ni Form 6 au first year. Mkuu, nimemaliza chuo kitambo na hapa nina cheti changu maridhawa tu, holding bachelor degree. Niliyoyasema hapo ni kutokana na uzoefu wangu wa watu niliosoma nao na mpaka leo hii wanarandaranda tu, wengine hata whatsapp hawapatikani maana simu walishauza kwa ugumu wa maisha.

Wengine mpaka waliona wajirudi na kusoma ualimu (kipindi hiko ingali bado ina soko) ili wapate kujikomboana ajira. Kwa mtoto wa masikini ambaye wazazi wake wanamtarajia anatoka chuoni aje kuwasaidia kisha anakaa nyumbani tena miaka mitatu na kwenda mbele akibadili tu bahasha ya kubebea CV si kitu kidogo.

Kuna baadhi ya kazi kama hauna wa kumshika mkono kwa wewe kapuku, achana nazo mzee.
Sasa tusome kozi gani mzee?
 
Back
Top Bottom