Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,992
Kinara wa magori katika timu ya taifa Mrisho halfan Ngasa ambaye ana magori 25 katika timu ya taifa(taifa stars).
amesema anatamani kupewa thamani ya kustaafu soka la kimataifa kutokana na makubwa aliyoyafanya akiwa na timu ya taifa stars ikiwemo kuagwa kwa heshima.
amesema anatamani kupewa thamani ya kustaafu soka la kimataifa kutokana na makubwa aliyoyafanya akiwa na timu ya taifa stars ikiwemo kuagwa kwa heshima.