anakipaji cha kughani mashairi tu mengine ni nyang'au kama manyang'au wengine wa taifa hili
Natazama TBC sasa hivi, huyu aitwae Mrisho Mpoto anahojiwa, jamani sijawahi kuona mtu anaongea mambo ya kijinga kama huyu kwenye TV.
Hivi ni nani huyu Mrisho Mpoto? Yaani anasema vijana wote Tanzania wanarudi kwenye utamaduni "kwa sababu yangu mimi".
Hivi huyu anajuwa maana ya utamaduni au anajisemea tu? Tanzania hii, ujisifu kuwa eti ni "ni kwa sababu yangu tu" vijana wanarudi kwenye utamaduni?
Pumba nyingine kibao, kichefuchefu.
Ni kweli ameongea. Amejitahidi sana kutrejesha utamaduni unaopotea hasa kwenye lugha na mavazi. Ninavyoangalia avatar yako naona na wewe u mkimbizi wa utamaduni hasa kwenye mavazi, umevaa UARABU wakati wewe ni Mtanzania
Natazama TBC sasa hivi, huyu aitwae Mrisho Mpoto anahojiwa, jamani sijawahi kuona mtu anaongea mambo ya kijinga kama huyu kwenye TV.
Hivi ni nani huyu Mrisho Mpoto? Yaani anasema vijana wote Tanzania wanarudi kwenye utamaduni "kwa sababu yangu mimi".
Hivi huyu anajuwa maana ya utamaduni au anajisemea tu? Tanzania hii, ujisifu kuwa eti ni "ni kwa sababu yangu tu" vijana wanarudi kwenye utamaduni?
Pumba nyingine kibao, kichefuchefu.
Huyu si ndo alitusaliti watanzania uko marekani na kujiita mkenya...hana tofauti na viongozi wetu wote ni wachumia tumbo tu..
Anajisifu sana huyu kenge....kuna mtu niliwahi kumwambia huyu jamaa haishi uhalisia wake,yaani anataka kuish maisha fulani,mwishowe anaishia kuishi fake life....
Kuna siku nilipanda nae ndege ya kampuni ya As Salaam kwenda Zenji,anatembea peku na mashuka ya ajabu anafikiri ndio utamaduni...huyu ni mchumia tumbo kama wengine,wale wanaofuga rasta ili wapate vizee vya.kizungu...he is not cultural in deeds
Mkuu mashairi unayo sikia akiimba anaandikiwa!Ninapendezewa na mashairi katika tungo za nyimbo zake, lakini katika kujieleza ni sifuri kabisa huwezi oanisha uzito wa mashairi yake na pumba alizokuwa anazitema! By the way alisema hana nauli ili akamweleze mjomba masahibu yetu sie wapembezoni, tulipovuna mazao na kumkabidhi nauli na posho ya njiani hajarudi huku kutupa majibu kutoka kwa mjomba, zaidi twamuona kideoni tu.
Faizafox = TBCCM = Mrisho Mpoto
Mrisho Mpoto si ndo alikuwa mmoja wapo wa wasanii waliopigia campain CCM?
Leo anapondwa tena???
Kama sielewi vile...........!!!
anyway asubuhi njema.
wabongo bana.,, stickin ur nose into others biz.
Fanyeni yenu...
Scums.
We FF..mnafik,,kada mwenzako huyo.