mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,962
- 9,870
Mimi nilikutana nae Mpanda mjini kwenye mgahaswa,alikuwa anahamasisha NYUMBA NI CHOO,alikuwa kavaa rabaHuyu sio mara zote anakuwa peku. Kuna sehemu nyingi na nina shuhuda nazo amefika na viatu. Huyu ana sharti la kutovaa viatu on some days.
Kuna tajiri mmoja alikua hivi, yeye ilikua kila alhamisi lazima awe peku. Kinachomcost Mpoto mpaka anabainika kirahisi ni kwa sababu ni mtu maarufu ambaye anaitwa huku na kule ama analazimika kwenda huku na kule.
Wapo matajiri wengi hukaa peki, lakinj unakuta siku yakukaa peku anashinda dukani kwake kutwa nzima inakuwa sio rahisi kumchunguza.