Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,446
- 7,817
Suala la Machinga si jambo jepesi hata kidogo. Hakuna mtu anayependa kuwa mmachinga bali maisha ndio yamewafikisha hapo. Hakuna anayependa kupanga vitu vyake barabarani apigwe na jua au anyeshewe na mvua au agongwe na gari.
Changamoto kubwa ni ukosefu wa ajira na Kazi ya Machinga imekuwa ni sehemu ya kupumulia.
Hili si suala la mchezo ni kuhusu maisha ya watu tena watu wanyonge kabisa. Hapa tusisukumwe na Wafanyabiasha Wakubwa wakati tunashughulikia suala la MACHINGA.
Ni jambo linalohitaji utulivu na kuangalia mustakabali wa maisha ya watu.
Mrisho Gambo
Mbunge-Arusha Mjini
Changamoto kubwa ni ukosefu wa ajira na Kazi ya Machinga imekuwa ni sehemu ya kupumulia.
Hili si suala la mchezo ni kuhusu maisha ya watu tena watu wanyonge kabisa. Hapa tusisukumwe na Wafanyabiasha Wakubwa wakati tunashughulikia suala la MACHINGA.
Ni jambo linalohitaji utulivu na kuangalia mustakabali wa maisha ya watu.
Mrisho Gambo
Mbunge-Arusha Mjini