MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Baada ya habari za kuhamishwa Mwanasheria wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, aliyefungua kesi ya kudhalilishwa na mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mrisho Gambo, kuna taarifa kuwa Mkuu huyo wa Wilaya sasa anahamishwa kwenda katika Wilaya mojawapo katika Mkoa wa Mbeya. Ikumbukwe kuwa tayari Mkuu huyo amesababisha pia kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Korogwe-Vijijini.