Narudia kusema kwa mara nyingine- binafsi simuoni Gambo kama mtu atakayekuja kuwa na long political career kama akina January Makamba. Gambo sio mpole, Sio mtulivu, sio mwadilifu, sio msikivu, hana busara na ana mori na munkari. Kikubwa zaidi Gambo hayuko strategic na hajui how to take calculated political risks. Watu walioko strategic huwa wakipewa nafasi wanatulia kwanza kuijua kazi, kujizatiti na kujenga mtandao. Yeye ana tabia ya kudandia gari kwa mbele. I repeat Mrisho Gambo is not going to have a long polical career
Lakini tuseme ukweli Gambo anachapa kazi na ni mkweli
Kwa udhalilishaji alioufanya alistahili kufukuzwa kazi na sio kuhamishwa.
Sitaki kuamini kuwa ofisi ya waziri mkuu haijui kuwa kitendo alichofanya ni udhalilishaji.
See sections 138 A and 138 of the Penal Code Cap 16 RE 2002.
Waziri, take action, TAMWA TAWLA where are you???????????
Unless you tell us the guy is above the law!!!!!!!!!
Nilisema atahamishwa watu wakanisakama sana hapa
Mrisho gambo nenda pole pole kaka, una uwezo wa kazi ila punguza mbwe mbwe usipokuwa makini mwisho wa siku hata hao unaotaka waone unafanya kazi watakutema tu.
Kesi iko mahakamani, wao wafanyaje sasa? Si watakuwa wanaingilia uhuru wa mahakama?
Safi sana Mrisho Gamba!!! Ngoja wakuhamishe ili angalao upate Gharama za kufuatilia kesi yako Korogwe!! Ila isiwe na yule mwanasheria akahamishwa ili kuhakikisha kesi inakuwa ngumu kwake!! Utasikia Katavi!!! Ha ha ha !!! SSM kila kitu kinawezekana!!