Tetesi: Mrisho Gambo kuhamia ACT Wazalendo?

Tetesi: Mrisho Gambo kuhamia ACT Wazalendo?

Ule ujinga wa cdm kuokota wanaccm kama Lowassa hauwezi kurudiwa tena.
Zile sarakasi za mbowe na lisu zilikua drama tu ila wataalam wa kuchungulia wameshajua game ilivyo......kama simba walivyochugulia leo wakaona mambo magumu watu wakajikata ......hao wachunguliaji wanachungulia hadi huko kwenye vyama
 
Zile sarakasi za mbowe na lisu zilikua drama tu ila wataalam wa kuchungulia wameshajua game ilivyo......kama simba walivyochugulia leo wakaona mambo magumu watu wakajikata ......hao wachunguliaji wanachungulia hadi huko kwenye vyama
Acha kucheza mindgame za kitoto.
 
Acha kucheza mindgame za kitoto.
We cheza za kikubwa ....kwani na nyie hamchezi zenu?
images-439.jpeg
 
Kuna habari za chini chini kwamba Mrisho Gambo yuko katika maongezi ya ngazi ya juu ili kuona uwezekano wa kuhamia ACT Wazalendo.

Tetesi hizo zinatokana na upepo mbaya kisiasa jimboni ambao unachochewa na mahusiano mabaya aliyonayo na viongozi wote wa mkoa mzima wa Arusha katika chama na serikali. Gambo amekuwa akituhumiwa kuwachongea maneno ya uongo viongozi wenzake Mkoa wa Arusha na kuendesha siasa za fitna na majungu
Kachelewa mbona
 
Kuna habari za chini chini kwamba Mrisho Gambo yuko katika maongezi ya ngazi ya juu ili kuona uwezekano wa kuhamia ACT Wazalendo.

Tetesi hizo zinatokana na upepo mbaya kisiasa jimboni ambao unachochewa na mahusiano mabaya aliyonayo na viongozi wote wa mkoa mzima wa Arusha katika chama na serikali. Gambo amekuwa akituhumiwa kuwachongea maneno ya uongo viongozi wenzake Mkoa wa Arusha na kuendesha siasa za fitna na majungu
Sasa hata akihamia huko atapata nini?
 
A
Kuna habari za chini chini kwamba Mrisho Gambo yuko katika maongezi ya ngazi ya juu ili kuona uwezekano wa kuhamia ACT Wazalendo.

Tetesi hizo zinatokana na upepo mbaya kisiasa jimboni ambao unachochewa na mahusiano mabaya aliyonayo na viongozi wote wa mkoa mzima wa Arusha katika chama na serikali. Gambo amekuwa akituhumiwa kuwachongea maneno ya uongo viongozi wenzake Mkoa wa Arusha na kuendesha siasa za fitna na majungu
Anafiti kabisa, uha+dini
 
Kuna habari za chini chini kwamba Mrisho Gambo yuko katika maongezi ya ngazi ya juu ili kuona uwezekano wa kuhamia ACT Wazalendo.

Tetesi hizo zinatokana na upepo mbaya kisiasa jimboni ambao unachochewa na mahusiano mabaya aliyonayo na viongozi wote wa mkoa mzima wa Arusha katika chama na serikali. Gambo amekuwa akituhumiwa kuwachongea maneno ya uongo viongozi wenzake Mkoa wa Arusha na kuendesha siasa za fitna na majungu
Kwani kuna tofauti gani baina ya chawa na kunguni?
 
Back
Top Bottom