DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Mh. Mrisho Gambo, amewasili kwenye msiba wa marehemu Mzee Edwin Mtei, mmoja wa waasisi wa CHADEMA, huko Arusha.
Hii ni mara ya kwanza kwa Gambo kuonekana hadharani baada ya kutoonekana kwa kipindi kirefu
Gambo alihudhuria msiba huo kwa lengo la kutoa heshima na rambirambi kwa familia ya marehemu, akionyesha mshikamano na wananchi waliokusanyika katika sherehe za kuaga mwili wa marehemu.
Hii ni mara ya kwanza kwa Gambo kuonekana hadharani baada ya kutoonekana kwa kipindi kirefu
Gambo alihudhuria msiba huo kwa lengo la kutoa heshima na rambirambi kwa familia ya marehemu, akionyesha mshikamano na wananchi waliokusanyika katika sherehe za kuaga mwili wa marehemu.