Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,862
Mtoa fomu alivyonuna sasaAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mtoa fomu alivyonuna sasaAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
hapana aisee,Hajapoteza muda chief.....
Kilicho fanyika kule Arusha ni kucheza na akili zetu tu.
Ebu tusubiri hatua ya pili kabla ya kuingia kwenye kinyang'anyiro cha sanduku la kura.
Napita hapo hapo....Mama Tibaijuka kashasema hachukui fomu
hapana aisee,
jamaa katimuliwa kazi kwasababu ya migogoro kazini full stop
Tutaanza kukufatilia kila kitu chako unachofanya tunaomba tafadhali kitamburisho chako kama wewe ni raia wa TanzaniaChato
Labda alien Taifa, not this one! ana sifa zipi unazompamba nazo extra ordinary ones ambazo wengine hawana , maana siyo kumpamba huko!!Ni kijana na mchapakazi haswaa, Ni Kati ya vijana wazuri na wenye sifa ya kiutendaji ktk Taifa hili,
Anashangaa sana kwa sababu huyu hafurukuti kwa kamanda lema! huyu ni Ubwete tuMtoa fomu alivyonuna sasa
Mimi sikujui wewe, namjua Gambo Kwa sabb ya position yake, je wewe ni Nani?Labda alien Taifa, not this one! ana sifa zipi unazompamba nazo extra ordinary ones ambazo wengine hawana , maana siyo kumpamba huko!!
Obvious una hasira na mwenyikiti wako wa CCM ndiyomaana unamuaita Layman kwasababu amemtimua kazi huyu kibaka.😂😂😂😂
Haya mawazo yako ni yaki layman..
Siasa Haichezwi kwa Akili hizii unazoLazimishaa
Tulizana Kwanza kama Mjumbe hapo juu alivyo shaurii
Nenda Mtera kule yupo kibajaji ambaye ana ishu TAKUKURU na mwingine ni AmbarutyHv jimbo gani limekaa kizembe zembe na mie nikachukue form hata vijijini ha haaa
dhubutuMuleba Kusini
Wewe hata mashoga wanakabidhiwa tu mikoa na wilaya. Nyumba ndogo ya kisarawe na ile ya dar unawafahamu vile vile!Mimi sikujui wewe, namjua Gambo Kwa sabb ya position yake, je wewe ni Nani?
Na ndiyo maana nimeeleza kile nachokijua kwake, wewe nitaanzia wapi kusema sifa zako na hufahamiki?
Acha wivu mkuu, kuongoza mkoa si kitu kidogo ati
Huyu Mboga anajiaminisha nini hasa?Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).