Nyani usitetee ujinga, ile nguo ni fupi, i wish huyo angekuwa dadako uso wako ungekushupaa kama muuza mkaa ila kwa sababu humjui you can comment whatever.
jamani wadada tujiheshimu, kwenda sehemu za starehe umevaa upupu ni kujidhalilisha wewe mwenyewe, siyo familia wala wanaokuzunguka.