Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Anatafuta Kiki na Ubunge wa Viti Maalum kupitia Uchagani Political Party (UPOPA).
Mkuu walishazoea miteremko hao. Kutwa kushinda mahotelini. Sasa hivi ni kufanya kazi ndio ule, basi the so called 'warembo' full kelele kwa Magu. [emoji28]
 
Pascal amekuwa akifungua threads hapa za kuikosoa serikali kila kukicha na hakuna anaye msumbua!!
Alivyo wa ajabu haoni hata hicho alichokifanya yeye kwa kuongea hapo kuwa ni uhuru wa kujieleza. Sijui huwa wanaongelea uhuru gani wakija na haya maneno yao kuwa Tanzania hamna 'uhuru wa kujieleza'!!! Au wao uhuru ni watu wajimwage kumtusi Rais?!! Nimemdharau sana huyu dada, japo na mie simfahamu.
 
Uhuru wa kukosoa Serikali pale inapokosea, uhuru wa upinzani kufanya mambo yao bila kuingiliwa na yeyote yule, uhuru wa Watanzania kujadili chochote kile bila vitisho vya kushtakiwa na kufungwa kwa kujadili kwa mfano hata uwepo wa njaa tu nchini. Wapi aliposema uhuru wa kumtusi huyo dikteta uchwara? Kama anaendesha nchi kidikteta basi ni lazima aambiwe yeye si Mungu, Mungu tu ndiyo hakosolewi lakini huyu mwizi, fisadi, muongo na dikteta uchwara lazima akosolewe.

Hiyo ni roho mbaya yako tu kwa kushindwa kuelewa alichokisema na kupotosha utakavyo wewe. Dharau yako kwake haimpunguzii chochote kile kwenye maisha yake.

Alivyo wa ajabu haoni hata hicho alichokifanya yeye kwa kuongea hapo kuwa ni uhuru wa kujieleza. Sijui huwa wanaongelea uhuru gani wakija na haya maneno yao kuwa Tanzania hamna 'uhuru wa kujieleza'!!! Au wao uhuru ni watu wajimwage kumtusi Rais?!! Nimemdharau sana huyu dada, japo na mie simfahamu.
 
Ww unae jiita BAK ww ni mjinga usiye jitambua, unayo Ya post ni upumbavu, mwache afanye kazi zake umeshindwa Maisha yako leo una taka kutuonesha na ww umo tuna kujua vinzuri sana
 
Siwezi jibu hoja za changudoa Mbowe kazaa na changudoa joyce mukya aliyempa ubunge viti maalumu na huyo tausi atakuwa viongozi wa chadema wameshamnanihii at a fee sina Muda wa kupoteza kuwajibu machangudua wa chadema
Jibu hoja Wewe! Mbona mkubwa wenu anao akina Kabula na unajua kabisaa kuwa hanaga ushemeji anakulaga tu!! Usijitoe ufahamu...
 
Back
Top Bottom