Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Okey lets assume anajiuza huko marekani.

Hebu jibu hoja zake kwa hoja tuone kama "changudoa" hajakuzidi kwa akili mara 8000.
Siwezi jibu hoja za changudoa Mbowe kazaa na changudoa joyce mukya aliyempa ubunge viti maalumu na huyo tausi atakuwa viongozi wa chadema wameshamnanihii at a fee sina Muda wa kupoteza kuwajibu machangudua wa chadema
 
Hawa Makinikia wa chama cha wahuni na mafisadi ndivyo walivyo Mkuu, Uwezo wao wa kujenga hoja ni SIFURI hivyo hubaki kuja na viroja na kurusha matusi kama walivyofundishwa pale mtaani kwao Lumumba.

Okey lets assume anajiuza huko marekani.

Hebu jibu hoja zake kwa hoja tuone kama "changudoa" hajakuzidi kwa akili mara 8000.
 
Huu utafiti uliufanya lini na katika nchi zipi duniani ambapo kuna Watanzania? Hebu tuwekee na ukubwa wa sample yako ukilinganisha na idadi ya Watanzania waishio nchi za nje?

Hebu tuambie na nchi inanyooshwaje? Au ni kupitia huu udikteta uchwara ndiyo wewe unaona nchi inanyooshwa!?
Mwanangu huwa nakukubali sana Jembe,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimfanyie promo ili iweje? Kama gazeti la Mwananchi lisingeandika hiyo habari leo kusingekuwa na sababu ya mimi kuja kuanzisha uzi unaomuhusu huyu binti.

Mbona wewe hujisemi kama unamfanyia Promo Mrembo Tausi.
 
Huyu ana pesa yake ndefu wewe, hahitaji kuhongwa na yoyote yule wala kukodishiwa gari. KAMWE usimfananishe na Warembo uchwara.
Kama pesa ndefu unasema anayo kwasababu ni model utakuwa unanidanganya. Models wanaotajirika kutoka na modelling ni asilimia ndogo.

Models wengi wana kazi mbili hata tatu ili maisha ya sogee. Ma waitress kwenye majiji makubwa kama New York au London asilimia kubwa pia wanamitindo na baadhi wameshafanya kazi za big designers.

Ku modelling Gucci hakukufanyi kuwa tajiri. Kuna wahudumu wengi wa baa New York did the same thing!
 
Inategemea na akili ya model husika, kama demand yake ni kubwa anatengeneza pesa ndefu sana na sina sababu ya kuja kukudanganya humu. Kuna mbongo mwana mitindo mbongo kwa mama na baba. December 2016 kwa show ya nusu saa tu ya Victoria Secrets alilipwa $500,000. Na huyu ana soko kubwa sana katika hiyo industry na pia magazeti mbali mbali duniani. Sasa tufanye huyu kwa mwaka anaingiza $3,000,000 tu najua huyu anaingiza zaidi ya hiyo. Unataka kuniambia hii kwa Tanzania si pesa ndefu? Anaweza kufanya mambo mangapi Tanzania huyu. Kwa taarifa yako huyo model kishawajengea Wazazi wake nyumba ya kufa mtu na yeye mwenyewe kanunua apartment New York huku akiendelea kukusanya hela ndefu nchi mbali mbali duniani. Hao models unaowasema wewe ni wale uchwara ambao demand yao si kubwa kihivyo.

Model kama huyu kama ana kili ya kushikiwa hawezi kufanya la maana.

Kama pesa ndefu unasema anayo kwasababu ni model utakuwa unanidanganya. Models wanaotajirika kutoka na modelling ni asilimia ndogo.

Models wengi wana kazi mbili hata tatu ili maisha ya sogee. Ma waitress kwenye majiji makubwa kama New York au London asilimia kubwa pia wanamitindo na baadhi wameshafanya kazi za big designers.

Ku modelling Gucci hakukufanyi kuwa tajiri. Kuna wahudumu wengi wa baa New York they had the same apportunity!
 
Umemuona Nape akiwatetea Chadema?

Anawakubali cdm kimoyomoyo, lakini hathubutu kuwatetea cdm kwani hata cdm hawahitaji kutetewa na Nape na hata akithubutu atakula jeuri yake chini ya uchwara.
 
Hata rushwa bado hakuna mapambano yoyote yale ni usanii tu hasa ukitilia maanani Wabunge wa MACCM walihongwa milioni 10 kila mmoja pale Lumumba October 2016 ili wapitishe muswaada wa kuminya uhuru wa habari nchini. Na juhudi za upinzani kutaka kujua KULIKONI kuhusu hiyo rushwa imepotezewa Bungeni.


Una ushahidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 




Kama pesa ndefu unasema anayo kwasababu ni model utakuwa unanidanganya. Models wanaotajirika kutoka na modelling ni asilimia ndogo.

Models wengi wana kazi mbili hata tatu ili maisha ya sogee. Ma waitress kwenye majiji makubwa kama New York au London asilimia kubwa pia wanamitindo na baadhi wameshafanya kazi za big designers.

Ku modelling Gucci hakukufanyi kuwa tajiri. Kuna wahudumu wengi wa baa New York did the same thing!
 
Hili linaweza lisiwapendeze watu lakini ukweli ni kwamba idadi kubwa ya diaspora inakubali kazi ya Magufuli kunyoosha nchi, tatizo ni economic na social policy. Ata ivyo wengi wanaamini hayo yatafuata muhimu ni watu wanyooke.

Sasa uelewi kwanini polisi wanatumia nguvu nyingi penye mapungufu akosolewe ndio demokrasia.
huwezi kunyoosha nchi kwakukataa kuwepo kwa uhuru wa kutoa maoni,mfumo wa uwajibikaji unakwenda sambamba na ukosoaji tujenge tabia ya kuambiana ukweli hata kama unaudhi ndio utaleto vyote tunavyoviota
 
Back
Top Bottom