Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Mpaka akawa mwana mitindo nadhani shule ya maana ilimshinda.Ila sawa,tumemsikia.
Mmmh! kwa akili yako mtu kuwa mwanamitindo hana akili eeh! sasa chukua hii, unamfahamu Faraja Nyarandu mke wa mb. amewahi kuwa kwenye top 5 kwa wasichana TZ matokeo form six, pia ndo mwanzilishi wa mtandao wa SHULE DIRECT haya ww ambaye sio mwana mitindo una cv zipi?
 
Hata rushwa bado hakuna mapambano yoyote yale ni usanii tu hasa ukitilia maanani Wabunge wa MACCM walihongwa milioni 10 kila mmoja pale Lumumba October 2016 ili wapitishe muswaada wa kuminya uhuru wa habari nchini. Na juhudi za upinzani kutaka kujua KULIKONI kuhusu hiyo rushwa imepotezewa Bungeni.


Umetumia nafasi ya Joseverest. [emoji23] [emoji6]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeishiwa hoja umebaki na matusi tu mpuuzi wewe
Ni vema ukamuacha alivyo huyo mkuu. Sasa anataka amchagulie Mbowe mwanamke wa kuwa naye! Anaonekana ni binti mwenye wivu sana hadi jasho la pua humtoka. Hivi usikute ulivyomjibu kwa upole yeye huko kavimbisha tu-shavu twake kama kanyimwa "u-house"!
 
Mmmh! kwa akili yako mtu kuwa mwanamitindo hana akili eeh! sasa chukua hii, unamfahamu Faraja Nyarandu mke wa mb. amewahi kuwa kwenye top 5 kwa wasichana TZ matokeo form six, pia ndo mwanzilishi wa mtandao wa SHULE DIRECT haya ww ambaye sio mwana mitindo una cv zipi?
Kuna shida kichwani ndio,hizo sio fani za watu makini.Call a spade a spade.
 
Hata rushwa bado hakuna mapambano yoyote yale ni usanii tu hasa ukitilia maanani Wabunge wa MACCM walihongwa milioni 10 kila mmoja pale Lumumba October 2016 ili wapitishe muswaada wa kuminya uhuru wa habari nchini. Na juhudi za upinzani kutaka kujua KULIKONI kuhusu hiyo rushwa imepotezewa Bungeni.


Kwenye rushwa bado kabisa... Awamu hii ukiwa msukuma unapona kwa mfano sijategemea mtu kama Chenge kila ufisadi yupo ila anapeta. kisa msukuma
 
Mpaka akawa mwana mitindo nadhani shule ya maana ilimshinda.Ila sawa,tumemsikia.
ELIMU INAUA KIPAJI NDG ENDELEA KUSOMA UTAKUJA KUNIELEWA SIKU UKIKOSA KAZI ...NA UKARUDI KUPIGA JEMBE NA UKATOKA KIMAISHA ......

Fursa2017
 
ELIMU INAUA KIPAJI NDG ENDELEA KUSOMA UTAKUJA KUNIELEWA SIKU UKIKOSA KAZI ...NA UKARUDI KUPIGA JEMBE NA UKATOKA KIMAISHA ......

Fursa2017
Mambo ya vipaji ni kelele za mtaani za kuwapumbaza watu ambazo huwa sitaki kuzisikia.Mungu kila mtu kampa kipaji,hakuna ambae hana.
The Bible says, "Mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huru." Usipoijua kweli utadanganywa hata katika vitu vya kipuuzi kabisa.
 
Hili linalofanyika ubaya wake wanaona watajibiwa tuu na matendo yao.

Mwisho wao ni kuogopeka kama ukoma walioko nyuma ya haya ya kuwatisha wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I agree ndio maana nimesema kuna mapungufu but then 70% job well done Mr President.
sometime kazi nzuri inaharibiwa na mambo tunayo ya dharau kuwa hayana msingi,mfano asilimia mia Gadaf alikuwa kiongozi bora sana pale Libya lakini vijimambo vidogo tu viliondoa uzuri na wema wake katika uso wa walibya
 
sometime kazi nzuri inaharibiwa na mambo tunayo ya dharau kuwa hayana msingi,mfano asilimia mia Gadaf alikuwa kiongozi bora sana pale Libya lakini vijimambo vidogo tu viliondoa uzuri na wema wake katika uso wa walibya
Kabisa
 
MMEANZA KUOKOTEZA KITU IPO SIKU MTAKUJA KUSEMA HAMORAPA ANAMKUBALI LISU
 
Mtaangaika sana lakini kipindi iki hakuna kukodishiwa
Nyumba au kuongwa magari na fedha za kifisadi!
Hiki ndio kinawauma. Walidhani wanaweza kuishi kwa kuzugia kwenye viNGO kwa utawala huu!!! Au walijua wataendelea kuitwa Ikulu kama wakati 'ule'. Magufuli kanyaga twende baba.. wavivu wavivu wote na waliozoea dezo wataendelea kubwabwaja tu..
 
Back
Top Bottom