Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Nilizileta ili kuja kuku jibu ulichoandika. Sikuwa na sababu yoyote ya kuziweka hapa zaidi ya kukujibu wewe. Jadili habari husika vinginevyo kafungue uzi wa models kule kwa celebrities.

Mkuu,
Wewe ndio uliyeleta haya modelling hapa.
Wewe ndio aliyeleta clips za Milard Ayo hapa za huyo model.
Wewe ndiye uliyeleta ya kipato chao hapa!

Mimi nilichofanya hapa ni kuweka ukweli kuhusu modelling mambo huko sio hunky dory!
 
Nimekwambia jadili habari husika sikuanzisha uzi huu tujadili mambo ya models mbona unakuwa mgumu kuelewa? KULIKONI? Duh!

Wewe mbona topics unazozianzisha watu waki question unakuwa mkali!
 
Nimekwambia jadili habari husika sikuanzisha uzi huu tujadili mambo ya models mbona unakuwa mgumu kuelewa? KULIKONI? Duh!
Wewe ndio anzisha hapa hayo ya models na sio mimi!

Are you in early-onset of Alzheimer's?
 
Nilizileta ili kuja kuku jibu ulichoandika. Sikuwa na sababu yoyote ya kuziweka hapa zaidi ya kukujibu wewe. Jadili habari husika vinginevyo kafungue uzi wa models kule kwa celebrities.
Wewe ndio una haki ya kuweka hapa chochote Mimi sina haki ya kukujibu wewe ulichoweka hapa!
 
Umeshindwa kujenga hoja kuhusiana na habari husika sasa umeamua kuandika pumba zako humu.

Ndiyo wapumbavu kama wewe ambao ni mtaji mkubwa wa chama chenu cha wahuni na mafisadi. Shule za kata zimedumaza akili yako uzi unahusu hali ya sasa nchini wewe unatokwa na povu zito kuhusu Tausi!

Wewe ndio anzisha hapa hayo ya models na sio mimi!

Are you in early-onset of Alzheimer's?
 
Hata rushwa bado hakuna mapambano yoyote yale ni usanii tu hasa ukitilia maanani Wabunge wa MACCM walihongwa milioni 10 kila mmoja pale Lumumba October 2016 ili wapitishe muswaada wa kuminya uhuru wa habari nchini. Na juhudi za upinzani kutaka kujua KULIKONI kuhusu hiyo rushwa imepotezewa Bungeni.


Kiatu kimepwaya ....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi aliyemnyooshea nape bastola mwigulu alipotezea mpaka leo

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
tatizo kitu chochote wakiambiwa wao wanakimbilia siasa

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Siwezi jibu hoja za changudoa Mbowe kazaa na changudoa joyce mukya aliyempa ubunge viti maalumu na huyo tausi atakuwa viongozi wa chadema wameshamnanihii at a fee sina Muda wa kupoteza kuwajibu machangudua wa chadema
ukitaka makaburi yafukuliwe ndugu kwa kijani wanachofanya nadhani utaziba mdomo

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
huwezi kunyoosha nchi kwakukataa kuwepo kwa uhuru wa kutoa maoni,mfumo wa uwajibikaji unakwenda sambamba na ukosoaji tujenge tabia ya kuambiana ukweli hata kama unaudhi ndio utaleto vyote tunavyoviota
I agree ndio maana nimesema kuna mapungufu but then 70% job well done Mr President.
 
kwa hapa kwetu Tanzania ukishakua nje ya nchi basi unaakili kuwazidi uliowaacha nyumbani.
 
Back
Top Bottom