Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Mrembo aikosoa Serikali ya Awamu ya Tano

Ah! Man, usiniambie na wewe umekuja juzi kutoka Kolomije manake vijana wa mjini, husuani wapenda mambo ya mjini na walimbwende, sote wanamfahamu Tausi!!! Au unajifanya humjui kwa vile amepiga Magogoni?!

Sema dah, kitambo sana...
Ili siku nyingine asishangae naongeza majina ya warembo wa enzi hizo-
1.Tabasamu Ngongoseko
2.Miriam Ikoa
3.Mbiki Msumi
4.Rosemary Mlekwa
wapo na wadada wanajiheshimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante sana LadyAJ wale wenye akili finyu hili la kupambana na huyu dikteta uchwara wanadhani ni la Chadema tu kumbe ni la Watanzania wote bila kujali rangi zetu, itikadi au dini.

Hili si jambo la chadema ni jambo la watanzania wote,bahati nzuri vinara wa kushikiwa bastora ni ma ccm wenyewe Adam Malima + nape hao ukiondoa ukijani wao wanabaki kua watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
image.jpeg
 
Ili siku nyingine asishangae naongeza majina ya warembo wa enzi hizo-
1.Tabasamu Ngongoseko
2.Miriam Ikoa
3.Mbiki Msumi
4.Rosemary Mlekwa
wapo na wadada wanajiheshimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Huyo Mbiki huyo!! Bila kuwasahau wakina Basila Mwanukuzi, Emily Adolf, Aina Maeda, sorry for Shose... nakumbuka enzi zile ndo anatoka Harare kama sikosei, nilikuwa nam-feel hadi naumwa 😀😀bila kumsahau Mercy na Madam Wema Sepetu 😀😀!!

Tena huyo Tabasamu labda umtaje kwa jina la Lucy Kiwele ndo kidogo wengine wanaweza kumfahamu kwavile ndo jina alilokuja kutumia sana ukubwani!!!!
 
Hili linaweza lisiwapendeze watu lakini ukweli ni kwamba idadi kubwa ya diaspora inakubali kazi ya Magufuli kunyoosha nchi, tatizo ni economic na social policy. Ata ivyo wengi wanaamini hayo yatafuata muhimu ni watu wanyooke.

Sasa uelewi kwanini polisi wanatumia nguvu nyingi penur mapungufu akosolewe ndio demokrasia.

This is lopsided. Sidhani kama kuna diaspora yoyote aliyesawa atakubali ku trade off level ys democracy tuliyofikia na what ever promises tunapewa leo. Democracy ya kikwete ndio ina msaidia Magu leo. Isingekuwepo asingefanya anachofanya sasa. Anachofanya yeye ni kumzuia anayefuate kufanya kazi kwa kuleta giza.
 
Ndiyo akili zako zilipoishia hapo! Na huyu naye anatafuta kiki kwa kumkosoa dikteta uchwara ili iweje?



Anatafuta Kiki na Ubunge wa Viti Maalum kupitia Uchagani Political Party (UPOPA).
 
Back
Top Bottom