Koffi Yardley
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 620
- 495
Ukiwa mbobezi wa kuchanganya karata za siasa na kibongo na ushushushu humo humo unafuzu kua mzamivu wa usanii. Yawezekana na uzamivu wa unafki umo pia humo humo. Sihitaji kutaja majina ila tu bado natafakari usanii wa kaka yetu BCM unampeleka wapi, unless kuna jambo siku ile ya kuhitimiza kampeni. Isipotimia basi ntaendelea kupiga ramli za ki-Xhosa, Kisandawi kikwetu kule Ziwa Eyasi.