Uchaguzi 2020 Mrema na wanachama wa TLP wamlaki Magufuli Himo, awaombea kura wagombea wa CCM na kumzawadia Magufuli Mbuzi

Ukiwa mbobezi wa kuchanganya karata za siasa na kibongo na ushushushu humo humo unafuzu kua mzamivu wa usanii. Yawezekana na uzamivu wa unafki umo pia humo humo. Sihitaji kutaja majina ila tu bado natafakari usanii wa kaka yetu BCM unampeleka wapi, unless kuna jambo siku ile ya kuhitimiza kampeni. Isipotimia basi ntaendelea kupiga ramli za ki-Xhosa, Kisandawi kikwetu kule Ziwa Eyasi.
 
TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.

View attachment 1607792

View attachment 1607797
View attachment 1607796
View attachment 1607799
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema

Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.

View attachment 1607798View attachment 1607794
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.
Ndo maana ccm na NECcm hawaeleweki. Ngoja tuone Kama Mahela, jaji Kaijage au Mutungi watatoa karipio au tamko la kulaani hiko kitendo
 
TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.

View attachment 1607792

View attachment 1607797
View attachment 1607796
View attachment 1607799
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema

Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.

View attachment 1607798View attachment 1607794
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.

Hakuna lugha nyingine ya kumwita Mrema wa TLP zaidi ya KIBARAKA&KIKARAGOSI Cha CCM!
 
Hakika Magufuli anapendwa sana hadi wapinzani kama Mrema na ubishi wake wote amevua kofia

Hivi Mrema unaweza kusema naye ni MPINZANI kweli zaidi ya bonge la comedian....???!!
Mrema ni KIBARAKA wa CCM tu anayeramba miguu ya Magufuli ndo maana kapewa Uenyekiti wa PAROLE...!!
 
Mrema alimuombea kura Mh.Magufuli pia akajipigia debe

huyu mleta thread anamfanyia Mh.Mrema 'unaa'
 
Back
Top Bottom