Mrema lyatonga hawezi ubunge

Status
Not open for further replies.

Mateso

JF-Expert Member
Aug 6, 2008
259
19
Wana JF waliokwishatembelea Moshi au wanaotokea Moshi wanakumbuka ama wameambiwa mengi kuhusu maendeleo ya Jimbo la Vunjo tangu Mrema alipohama CCM na kuingia upinzani. Kwa wale wasiojua naona niwajuze kidogo. Mrema alipokuwa Waziri wa mambo ya Ndani alikuwa mbunge wa jimbo la Moshi Vijijini. Kwa wakati huo alijitahidi sana kulitetea jimbo lake na wapiga kura walifurahia na kupenda jitihada zake kiasi cha kuamini kuwa angekuwa mbunge wao wa kudumu. Mapipa mengi ya lami yalinunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kutoka marangu mtoni kwenda kilema na kiraracha kwake.

Wakati uongozi wa awamu ya pili unajianda kumaliza kipindi chake Mrema akaanza kufichua mambo ya ufisadi likiwemo la mashamba ya mkonge akashindwa kutunza siri za Baraza la mawaziri na hivi akawajibishwa na kujiuzulu. Baada ya hapo akaingia NCCR na akaleta upinzani mkubwa sana kwa CCM mwaka 1995.

Wananchi wengi wa Kilimanjaro walijiunga na NCCR na jimbo la Moshi Vijijini likachukuliwa na NCCR. Baada ya hapo mipango yote ya maendeleo kwa jimbo hilo ilisimama na Serikali ya BM haikutupia jicho jimbo hilo kabisa kwa sababu lilikuwa chini ya upinzani. Kwa hali hiyo ile barabara ya marangu kilema haikujengwa tena na mapipa yote ya lami yaliibiwa.

Barabara hiyo kwa sasa hivi ni mbovu sana ijapokuwa inapitisha magari mengi sana, Yaani magari ya abiria toka kilema kwenda moshi mjini yanapita kila baada ya dk 5-10. Sasa hivi baada ya CCM kuchukua jimbo la Vunjo kuna mpango wa kujenga barabara kutoka marangu mtoni kwenda kilema hadi mlima kilimanjaro na kupitia kirua hadi kawawa road.

Kwa hali hiyo basi nasema Mrema hana tena nafasi ya kupewa ubunge kwenye jimbo la Vunjo kwani anaweza kuja kuharibu mpango ulioko wa kujenga barabara zilizotajwa. Ni kwa hali hiyo basi namshauri Mrema aache tamaa zake za Ubunge apumzike kama Mwenyekiti.

Nasema hivyo kwa sababu yeye sasa hivi hawezi tena mikikimiki ya ubunge kwani amezeeka na anasumbuliwa sana na Kisukari. Kwa ujumla wake nisingependa wanajimbo wa Vunjo kudanganyika na kumwendekeza Mrema ambaye sasa hivi ameshahamasisha vijana wake kufanya fujo hata kwenye mikutano ya hadhara ya Mbunge wa sasa hivi.

Je kama anafanya hivyo sasa hivi mwakani iwakati wa kampeni takuwaje? TAHADHARI CHUKUENI HATUA.
 
Wana JF waliokwishatembelea Moshi au wanaotokea Moshi wanakumbuka ama wameambiwa mengi kuhusu maendeleo ya Jimbo la Vunjo tangu Mrema alipohama CCM na kuingia upinzani. Kwa wale wasiojua naona niwajuze kidogo. Mrema alipokuwa Waziri wa mambo ya Ndani alikuwa mbunge wa jimbo la Moshi Vijijini. Kwa wakati huo alijitahidi sana kulitetea jimbo lake na wapiga kura walifurahia na kupenda jitihada zake kiasi cha kuamini kuwa angekuwa mbunge wao wa kudumu. Mapipa mengi ya lami yalinunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kutoka marangu mtoni kwenda kilema na kiraracha kwake. Wakati uongozi wa awamu ya pili unajianda kumaliza kipindi chake Mrema akaanza kufichua mambo ya ufisadi likiwemo la mashamba ya mkonge akashindwa kutunza siri za Baraza la mawaziri na hivi akawajibishwa na kujiuzulu. Baada ya hapo akaingia NCCR na akaleta upinzani mkubwa sana kwa CCM mwaka 1995. Wananchi wengi wa Kilimanjaro walijiunga na NCCR na jimbo la Moshi Vijijini likachukuliwa na NCCR. Baada ya hapo mipango yote ya maendeleo kwa jimbo hilo ilisimama na Serikali ya BM haikutupia jicho jimbo hilo kabisa kwa sababu lilikuwa chini ya upinzani. Kwa hali hiyo ile barabara ya marangu kilema haikujengwa tena na mapipa yote ya lami yaliibiwa. Barabara hiyo kwa sasa hivi ni mbovu sana ijapokuwa inapitisha magari mengi sana, Yaani magari ya abiria toka kilema kwenda moshi mjini yanapita kila baada ya dk 5-10. Sasa hivi baada ya CCM kuchukua jimbo la Vunjo kuna mpango wa kujenga barabara kutoka marangu mtoni kwenda kilema hadi mlima kilimanjaro na kupitia kirua hadi kawawa road.
Kwa hali hiyo basi nasema Mrema hana tena nafasi ya kupewa ubunge kwenye jimbo la Vunjo kwani anaweza kuja kuharibu mpango ulioko wa kujenga barabara zilizotajwa. Ni kwa hali hiyo basi namshauri Mrema aache tamaa zake za Ubunge apumzike kama Mwenyekiti. Nasema hivyo kwa sababu yeye sasa hivi hawezi tena mikikimiki ya ubunge kwani amezeeka na anasumbuliwa sana na Kisukari. Kwa ujumla wake nisingependa wanajimbo wa Vunjo kudanganyika na kumwendekeza Mrema ambaye sasa hivi ameshahamasisha vijana wake kufanya fujo hata kwenye mikutano ya hadhara ya Mbunge wa sasa hivi. Je kama anafanya hivyo sasa hivi mwakani iwakati wa kampeni takuwaje? TAHADHARI CHUKUENI HATUA.

Huo ni uongo, muulize Chami mbunge wa Moshi vijijini atakwambaia mapipa ya lami yameshapelekwa kujenga barabara ya kibosho yenye urefu wa KM 14, sasa wewe unazusha kuwa yaliibiwa .
Halimashauri ya manispaa ya Moshi waliyachukua mapipa hayo ya lami na ndio yanajenga barabara ya kibosho, na kama unasema CCM wanampango wa kujenga hiyo barabara si wangeyaacha hayo mapipa ya lami yaliyokuwa tayari pale na wangeanza na hiyo barabara?
CCM wamefulia, ndio maana leo wanawanunua wenyeviti wa vijiji wa TLP bila hata aibu na zoezi hili linaongozwa na Kimaro mwenyewe.
 
Kwa hali hiyo ile barabara ya marangu kilema haikujengwa tena na mapipa yote ya lami yaliibiwa. Barabara hiyo kwa sasa hivi ni mbovu sana ijapokuwa inapitisha magari mengi sana, Yaani magari ya abiria toka kilema kwenda moshi mjini yanapita kila baada ya dk 5-10. Sasa hivi baada ya CCM kuchukua jimbo la Vunjo kuna mpango wa kujenga barabara kutoka marangu mtoni kwenda kilema hadi mlima kilimanjaro na kupitia kirua hadi kawawa road.
Kwa hali hiyo basi nasema Mrema hana tena nafasi ya kupewa ubunge kwenye jimbo la Vunjo kwani anaweza kuja kuharibu mpango ulioko wa kujenga barabara zilizotajwa. Ni kwa hali hiyo basi namshauri Mrema aache tamaa zake za Ubunge apumzike kama Mwenyekiti. Nasema hivyo kwa sababu yeye sasa hivi hawezi tena mikikimiki ya ubunge kwani amezeeka na anasumbuliwa sana na Kisukari. Kwa ujumla wake nisingependa wanajimbo wa Vunjo kudanganyika na kumwendekeza Mrema ambaye sasa hivi ameshahamasisha vijana wake kufanya fujo hata kwenye mikutano ya hadhara ya Mbunge wa sasa hivi. Je kama anafanya hivyo sasa hivi mwakani iwakati wa kampeni takuwaje? TAHADHARI CHUKUENI HATUA.

Inaonyesha jinsi ulivyotekwa nyara na mfumo wa kinyonyaji. Nani alikuambia kuwa kumchagua mwakilishi kutoka upinza ni Jinai? Nani alikuambia kuwa mipango ya maendeleo iliyopangwa katika sehemu fulani ya nchi itasita kutekelezwa kwa kuwa wananchi wamechagua mwakilishi kutoka chama kisichoshika serikali?
Nakuhurumia sana. Basi vyama vyote vya upinzani vifutwe kwa mtizamo wako. Poor man from Chaga land! Nadhani wewe umepumbazika, wala sio kudanganyika.
 
1.Mbowe at work.

2.Tatizo ni kafulila kuhamia NCCR?si mlimfukuza?

3.vijana acheni siasa za kuchafuana!


4.Mwacheni Mzee wa kilaracha arudi madarakani ili tupate ladha kamili bungeni!

5.Unalitaka hilo Jimbo?
 
1.Mbowe at work.

2.Tatizo ni kafulila kuhamia NCCR?si mlimfukuza?

3.vijana acheni siasa za kuchafuana!

4.Mwacheni Mzee wa kilaracha arudi madarakani ili tupate ladha kamili bungeni!

5.Unalitaka hilo Jimbo?
Inaonyesha Mbowe anawanyima sana usingizi .
Duh, kafulila kwenda NCCR na Vunjo na Lyatonga wapi na wapi?
 
Huo ni uongo, muulize Chami mbunge wa Moshi vijijini atakwambaia mapipa ya lami yameshapelekwa kujenga barabara ya kibosho yenye urefu wa KM 14, sasa wewe unazusha kuwa yaliibiwa .
Halimashauri ya manispaa ya Moshi waliyachukua mapipa hayo ya lami na ndio yanajenga barabara ya kibosho, na kama unasema CCM wanampango wa kujenga hiyo barabara si wangeyaacha hayo mapipa ya lami yaliyokuwa tayari pale na wangeanza na hiyo barabara?
CCM wamefulia, ndio maana leo wanawanunua wenyeviti wa vijiji wa TLP bila hata aibu na zoezi hili linaongozwa na Kimaro mwenyewe.


Hiyo siyo kweli kwani Chami amepata ubunge wakati mapipa hayo yalishatoweka na yaliuzwa Kenya. Ya kibosho ni mengine hivyo usibahatishe habari zako.
 
Hiyo siyo kweli kwani Chami amepata ubunge wakati mapipa hayo yalishatoweka na yaliuzwa Kenya. Ya kibosho ni mengine hivyo usibahatishe habari zako.
Mengine yapi? yalichukuliwa Kilema mwaka jana , yaliyouzwa Kenya sijui ila najua kuwa yale mapipa ambayo Mrema alitaka kujenga barabara ya kiraracha na kuendelea mpaka kilema yamehamishiwa kujenga barabara ya kibosho tena kwa azimio la Halimashauri ya Manispaa ya Moshi Vijijini, ntajaribu kukutafutia minutes za kikao husika.
 
Wana JF waliokwishatembelea Moshi au wanaotokea Moshi wanakumbuka ama wameambiwa mengi kuhusu maendeleo ya Jimbo la Vunjo tangu Mrema alipohama CCM na kuingia upinzani. Kwa wale wasiojua naona niwajuze kidogo. Mrema alipokuwa Waziri wa mambo ya Ndani alikuwa mbunge wa jimbo la Moshi Vijijini. Kwa wakati huo alijitahidi sana kulitetea jimbo lake na wapiga kura walifurahia na kupenda jitihada zake kiasi cha kuamini kuwa angekuwa mbunge wao wa kudumu. Mapipa mengi ya lami yalinunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kutoka marangu mtoni kwenda kilema na kiraracha kwake. Wakati uongozi wa awamu ya pili unajianda kumaliza kipindi chake Mrema akaanza kufichua mambo ya ufisadi likiwemo la mashamba ya mkonge akashindwa kutunza siri za Baraza la mawaziri na hivi akawajibishwa na kujiuzulu. Baada ya hapo akaingia NCCR na akaleta upinzani mkubwa sana kwa CCM mwaka 1995. Wananchi wengi wa Kilimanjaro walijiunga na NCCR na jimbo la Moshi Vijijini likachukuliwa na NCCR. Baada ya hapo mipango yote ya maendeleo kwa jimbo hilo ilisimama na Serikali ya BM haikutupia jicho jimbo hilo kabisa kwa sababu lilikuwa chini ya upinzani. Kwa hali hiyo ile barabara ya marangu kilema haikujengwa tena na mapipa yote ya lami yaliibiwa. Barabara hiyo kwa sasa hivi ni mbovu sana ijapokuwa inapitisha magari mengi sana, Yaani magari ya abiria toka kilema kwenda moshi mjini yanapita kila baada ya dk 5-10. Sasa hivi baada ya CCM kuchukua jimbo la Vunjo kuna mpango wa kujenga barabara kutoka marangu mtoni kwenda kilema hadi mlima kilimanjaro na kupitia kirua hadi kawawa road.
Kwa hali hiyo basi nasema Mrema hana tena nafasi ya kupewa ubunge kwenye jimbo la Vunjo kwani anaweza kuja kuharibu mpango ulioko wa kujenga barabara zilizotajwa. Ni kwa hali hiyo basi namshauri Mrema aache tamaa zake za Ubunge apumzike kama Mwenyekiti. Nasema hivyo kwa sababu yeye sasa hivi hawezi tena mikikimiki ya ubunge kwani amezeeka na anasumbuliwa sana na Kisukari. Kwa ujumla wake nisingependa wanajimbo wa Vunjo kudanganyika na kumwendekeza Mrema ambaye sasa hivi ameshahamasisha vijana wake kufanya fujo hata kwenye mikutano ya hadhara ya Mbunge wa sasa hivi. Je kama anafanya hivyo sasa hivi mwakani iwakati wa kampeni takuwaje? TAHADHARI CHUKUENI HATUA.

Mwanzo nilidhani Mheshimiwa Kimaro ni mbunge mpambanaji lakini kitendo chake cha kuongoza kampeni ya kununua wenyeviti wa TLP kimenifanya nimuone ni fisadi kama walivyo mafisadi wengine.

Siasa za kununua uongozi kwa njia ya rushwa zimechangia kurudisha nyuma maendeleo ya nchi nyingi za kiafrika.Tatizo la rushwa kwenye chaguzi zetu linatakiwa lipigiwe kelele kwa nguvu zetu zote kwasababu zifuatazo

kiongozi anayeshinda uchaguzi kwa njia za rushwa hawezi kuwa mwakilishi wa kweli wa sehemu anayoiwakilisha.Kimaro anaangukia katika kundi la viongozi wanafiki ambao wako tayari kufanya jambo lolote hata kama nila hovyo ili awe kiongozi.Mheshimiwa Kimaro nilimsifu sana alipomwanika hadharani rais wa awamu ya tatu Bwana B Mkapa kwa kujimilikisha mgodi wa Kiwira.
 
Jamani, pamoja na mema yote aliyoweza kufanya Mrema alipokuwa madarakani, nadhani wakati umefika wa kuwaachia wenye 'mapya' waweze kupata huo ubunge. Mrema atakuwa na lipi jipya? Alifanya yale aliyoweza kufanya akiwa Waziri kwa sababu ya wadhifa aliokuwanao. Sidhani kwamba anaweza kufanya lolote la maana katika mazingira ya sasa ya kisiasa na mbele ya uongozi unaopatikana kwa fedha!
 
Jamani, pamoja na mema yote aliyoweza kufanya Mrema alipokuwa madarakani, nadhani wakati umefika wa kuwaachia wenye 'mapya' waweze kupata huo ubunge. Mrema atakuwa na lipi jipya? Alifanya yale aliyoweza kufanya akiwa Waziri kwa sababu ya wadhifa aliokuwanao. Sidhani kwamba anaweza kufanya lolote la maana katika mazingira ya sasa ya kisiasa na mbele ya uongozi unaopatikana kwa fedha!

Heshima kwako Boramaisha.

Mbona unamshupalia Mzee wa Kiraracha wacha wananchi wenyewe waamue.Wapo watu wa siku nyingi pale mjengoni mbona husemi lolote kuhusu
[1]Kingunge Ngombare mwiru
[2]Jackson Makweta
[3]Chritant Maji ya Tanga Mzindakaya
[4]John Cigweimisi Malecela
na wengineo kibao.
Unataka kutujazia bungeni wabunge wanao toa rushwa kununua wenyeviti ?.Unafiki wa kimaro umeonekana wazi kumbe kelele zote za kiwira zilikuwa ni kwaajili ya kujipatia sifa
 
1.Mbowe at work.

2.Tatizo ni kafulila kuhamia NCCR?si mlimfukuza?

3.vijana acheni siasa za kuchafuana!

4.Mwacheni Mzee wa kilaracha arudi madarakani ili tupate ladha kamili bungeni!

5.Unalitaka hilo Jimbo?
Mkuu wewe nawe wakati mwingine, mh! basi tu.
 
Mengine yapi? yalichukuliwa Kilema mwaka jana , yaliyouzwa Kenya sijui ila najua kuwa yale mapipa ambayo Mrema alitaka kujenga barabara ya kiraracha na kuendelea mpaka kilema yamehamishiwa kujenga barabara ya kibosho tena kwa azimio la Halimashauri ya Manispaa ya Moshi Vijijini, ntajaribu kukutafutia minutes za kikao husika.

Hayo mapipa yalitoweka mwanzoni mwa 2000 hivyo hayo ya kibosho yatakuwa yametoka sehemu nyingine.
 
Wana JF waliokwishatembelea Moshi au wanaotokea Moshi wanakumbuka ama wameambiwa mengi kuhusu maendeleo ya Jimbo la Vunjo tangu Mrema alipohama CCM na kuingia upinzani. Kwa wale wasiojua naona niwajuze kidogo. Mrema alipokuwa Waziri wa mambo ya Ndani alikuwa mbunge wa jimbo la Moshi Vijijini. Kwa wakati huo alijitahidi sana kulitetea jimbo lake na wapiga kura walifurahia na kupenda jitihada zake kiasi cha kuamini kuwa angekuwa mbunge wao wa kudumu. Mapipa mengi ya lami yalinunuliwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kutoka marangu mtoni kwenda kilema na kiraracha kwake. Wakati uongozi wa awamu ya pili unajianda kumaliza kipindi chake Mrema akaanza kufichua mambo ya ufisadi likiwemo la mashamba ya mkonge akashindwa kutunza siri za Baraza la mawaziri na hivi akawajibishwa na kujiuzulu. Baada ya hapo akaingia NCCR na akaleta upinzani mkubwa sana kwa CCM mwaka 1995. Wananchi wengi wa Kilimanjaro walijiunga na NCCR na jimbo la Moshi Vijijini likachukuliwa na NCCR. Baada ya hapo mipango yote ya maendeleo kwa jimbo hilo ilisimama na Serikali ya BM haikutupia jicho jimbo hilo kabisa kwa sababu lilikuwa chini ya upinzani. Kwa hali hiyo ile barabara ya marangu kilema haikujengwa tena na mapipa yote ya lami yaliibiwa. Barabara hiyo kwa sasa hivi ni mbovu sana ijapokuwa inapitisha magari mengi sana, Yaani magari ya abiria toka kilema kwenda moshi mjini yanapita kila baada ya dk 5-10. Sasa hivi baada ya CCM kuchukua jimbo la Vunjo kuna mpango wa kujenga barabara kutoka marangu mtoni kwenda kilema hadi mlima kilimanjaro na kupitia kirua hadi kawawa road.
Kwa hali hiyo basi nasema Mrema hana tena nafasi ya kupewa ubunge kwenye jimbo la Vunjo kwani anaweza kuja kuharibu mpango ulioko wa kujenga barabara zilizotajwa. Ni kwa hali hiyo basi namshauri Mrema aache tamaa zake za Ubunge apumzike kama Mwenyekiti. Nasema hivyo kwa sababu yeye sasa hivi hawezi tena mikikimiki ya ubunge kwani amezeeka na anasumbuliwa sana na Kisukari. Kwa ujumla wake nisingependa wanajimbo wa Vunjo kudanganyika na kumwendekeza Mrema ambaye sasa hivi ameshahamasisha vijana wake kufanya fujo hata kwenye mikutano ya hadhara ya Mbunge wa sasa hivi. Je kama anafanya hivyo sasa hivi mwakani iwakati wa kampeni takuwaje? TAHADHARI CHUKUENI HATUA.


Hapo kwenye red mmmh... tukianza kuhesabu wazee na wa wagonjwa ndani ya bunge watabaki wachache sana
 
Nani alikuambia Makweta bado mbunge? Hakuna mtu aliyenunuliwa ila Mwenyekiti TLP (Mrema) anawalazimisha viongozi wa chini waanza kumpigia ndogondogo za ubunge mwakani ingali walio chini yake wanajua wazi kuwa ameshaisha. Nguvu kitu cha kwisha ndugu yangu hata power mabula hawezi kunyanyua soda sasa hivi.
 
Mwanzo nilidhani Mheshimiwa Kimaro ni mbunge mpambanaji lakini kitendo chake cha kuongoza kampeni ya kununua wenyeviti wa TLP kimenifanya nimuone ni fisadi kama walivyo mafisadi wengine.

Siasa za kununua uongozi kwa njia ya rushwa zimechangia kurudisha nyuma maendeleo ya nchi nyingi za kiafrika.Tatizo la rushwa kwenye chaguzi zetu linatakiwa lipigiwe kelele kwa nguvu zetu zote kwasababu zifuatazo

kiongozi anayeshinda uchaguzi kwa njia za rushwa hawezi kuwa mwakilishi wa kweli wa sehemu anayoiwakilisha.Kimaro anaangukia katika kundi la viongozi wanafiki ambao wako tayari kufanya jambo lolote hata kama nila hovyo ili awe kiongozi.Mheshimiwa Kimaro nilimsifu sana alipomwanika hadharani rais wa awamu ya tatu Bwana B Mkapa kwa kujimilikisha mgodi wa Kiwira.

Hakuwahi kuwa mpiganaji hata siku moja. Uchaguzi unakaribia na mtaona mengi kutoka kwa wapiganaji
 
wanaweweseka, Mrema bado tishio. mwambie aliekutuma kua Mrema atashinda Ubunge hata angegombea wapi hapa Tanzania. kama haamini basi itakula kwake, akitaka aje Ubungo maana Keenja amechoka na Jimbo liko wazi ila akumbuke yupo John MNYIKA .
 
1.Mbowe at work.

2.Tatizo ni kafulila kuhamia NCCR?si mlimfukuza?

3.vijana acheni siasa za kuchafuana!

4.Mwacheni Mzee wa kilaracha arudi madarakani ili tupate ladha kamili bungeni!

5.Unalitaka hilo Jimbo?

Wewe kweli mvivu wa kufikiri,Mbowe na Vunjo wapi na wapi?huna lolote unataka kuhamisha mjadala. Hii ni CCm at work
 
Hakuwahi kuwa mpiganaji hata siku moja. Uchaguzi unakaribia na mtaona mengi kutoka kwa wapiganaji

Heshima kwako Zitto.

Ukilitazama kwa makini andiko langu nilisema wazi nilidhani Mheshimiwa Kimaro ni mpambanaji.
 
Bwana mateso, acha Mzee wa kararacha aje awatese kwa kipindi kingine. CCM wamezidi unafiki. After all Mrema ameonyesha uzalendo wa kweli kwa kukataa unafiki wa ccm hata kama imebidi ateseke. Well come back mh mrema.

Hayo mapipa yalitoweka mwanzoni mwa 2000 hivyo hayo ya kibosho yatakuwa yametoka sehemu nyingine.

Hiyo sio hoja. Unachotaka kuwaambia wapiga kura wa Vunjo ni kwamba wakichagua upinzani hawataletewa maendeleo na serikali ya ccm sio? Kama ni hilo ni uoga hata hivyo walishazoea na usiwatishe.
 
Nani alikuambia Makweta bado mbunge? Hakuna mtu aliyenunuliwa ila Mwenyekiti TLP (Mrema) anawalazimisha viongozi wa chini waanza kumpigia ndogondogo za ubunge mwakani ingali walio chini yake wanajua wazi kuwa ameshaisha. Nguvu kitu cha kwisha ndugu yangu hata power mabula hawezi kunyanyua soda sasa hivi.

Halafu unataka wana JF waamini ulichoandika mwanzo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom