Mrejesho

Mrejesho

Huu ni upuuzi, mm Nina convincing power, unajileta pm nakushawishi unaweka picha yako pm kumbuka mm sina mpango wa kukupa hata no ya bajaji.mbona tunatunza moyoni hizo sura mbaya tunazoziona.

Dogo unajipa taabu mwenyewe nenda Uzi wa mshana kule chit chat uone wadada wa Jf walivyo wazuri. Mm sikuweka yangu ila wengine waliwakilisha vizuri.

Yaan mm sipendi mtu kuja hapa na Ku generalize as if kakutana na wadada wote.nanina😂😂
 
Habari za mchana!
Naomba nikuulize, ulikuwa unafanya utafiti, unatafuta mke, au unatafuta rafiki?!

Kama jibu lako ni mojawapo, tambua jambo moja, hakuna kitu muhimu kama kuwa na kifua. Hukumpata uliyekuwa unamtarajia basi baki nalo. Hakuna mtu mbaya, awe mwanamke au mwanaume! Kila mmoja ako na uzuri wake!

Hii ni jamii, kuna watu wa kila aina! Wenye maumbo tofauti, wenye kimo tofauti na wenye rangi tofauti!

Weekend njema.
Alikuwa anatafuta mwanamke mzuri dada
 
Huu ni upuuzi, mm Nina convincing power, unajileta pm nakushawishi unaweka picha yako pm kumbuka mm sina mpango wa kukupa hata no ya bajaji.mbona tunatunza moyoni hizo sura mbaya tunazoziona.

Dogo unajipa taabu mwenyewe nenda Uzi wa mshana kule chit chat uone wadada wa Jf walivyo wazuri. Mm sikuweka yangu ila wengine waliwakilisha vizuri.

Yaan mm sipendi mtu kuja hapa na Ku generalize as if kakutana na wadada wote.nanina
We utakuwa mzuri sana, hebu nitumie picha yako pm
 
Ndo maana juzi kuna uzi ulianzishwa eti tutaje namba za tulowalala/walowalala,!!
Nkatoa povu kweli kweli.

Utoto toto tu umejaa humu kwa sasa tena tuvulana vulana.
Ebu angalia huyu nae leo kaja na lake kuwa jf kuna wanawake wabaya(damn)!!!
Kwanza anatuaibisha wanaume.
Pili anatengeneza mipaka ya kutokuaminiana baina ya members humu.

Narudia kwa mara ya pili mods ebu muwa mnaangalia post za kuruhusu basi.
Sawa pengine alokutana nae kwa uoni wake ni mbaya asa ndo mpaka uje useme jukwaani!!! Unawajengea khofu.
Habari za mchana!
Naomba nikuulize, ulikuwa unafanya utafiti, unatafuta mke, au unatafuta rafiki?!

Kama jibu lako ni mojawapo, tambua jambo moja, hakuna kitu muhimu kama kuwa na kifua. Hukumpata uliyekuwa unamtarajia basi baki nalo. Hakuna mtu mbaya, awe mwanamke au mwanaume! Kila mmoja ako na uzuri wake!

Hii ni jamii, kuna watu wa kila aina! Wenye maumbo tofauti, wenye kimo tofauti na wenye rangi tofauti!

Weekend njema.
 
Hiki ni kivulana kilichokosa mada ya kuandika

Tafadhali msitumie nguvu kumwelimisha
 
Ndo maana juzi kuna uzi ulianzishwa eti tutaje namba za tulowalala/walowalala,!!
Nkatoa povu kweli kweli.

Utoto toto tu umejaa humu kwa sasa tena tuvulana vulana.
Ebu angalia huyu nae leo kaja na lake kuwa jf kuna wanawake wabaya(damn)!!!
Kwanza anatuaibisha wanaume.
Pili anatengeneza mipaka ya kutokuaminiana baina ya members humu.

Narudia kwa mara ya pili mods ebu muwa mnaangalia post za kuruhusu basi.
Sawa pengine alokutana nae kwa uoni wake ni mbaya asa ndo mpaka uje useme jukwaani!!! Unawajengea khofu.
Nakazia
 
Mtoa mada umeonyesha utoto wa hali ya juu..binadamu yoyote..uzuri wake haupo machoni mwa mtu bali moyoni mwa mtu, umewakosea sana hao wanawake ambao ni kama mama zetu ukiacha binadamu waombe msamaha hawawezi kujisikia vizuri uko walipo kwa kauli hizi,..namuonea huruma sana ataekuja kuwa mpenzi wako,
 
Kweli penye miti hakunaga wajenzi, maana wengine hizi nafasi tunazitafuta kwa udi na uvumba hata hatupati walahi.....
Yaani sijawahi kubahatika kumtumia mwanamke wa humu PM, wala hata kupata namba zao hata kuonana walahi...
 
Back
Top Bottom