pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 516
- 815
Wakuu habari za weekend!
Siku za hivi karibuni nilipata bahati ya kuwapm mademu wanne hapa JF.
Kwa bahati mbaya sikutegemea kile nilichokiona na kile nilichokuwa nafikia kinaweza kuwa sio sawa.
Nimeendelea kuchati na hao mademu kwa muda mpaka tukafikia hatua ya kupeana namba kwa mawasiliano zaidi.
Tuliendelea kuchati mpaka tukafikia hatua ya kutumiana picha ili tujilidhishe kwa kila mmoja wetu.
Hakika nimeamini mwanamke mzuri ni yule unaeonana nae USO kwa USO na sio kwenye mitandao.
Kuanzia Leo nimekoma kupm mademu wa mitandaoni,
Kwa hao mademu wanne wote ni wabaya sana tena sana.
Kwa wenye uzoefu na PM za watu watadhibitisha hapa.
NIMEKOMA,SITAKI TENA MADEMU WA MITANDAONI.
Siku za hivi karibuni nilipata bahati ya kuwapm mademu wanne hapa JF.
Kwa bahati mbaya sikutegemea kile nilichokiona na kile nilichokuwa nafikia kinaweza kuwa sio sawa.
Nimeendelea kuchati na hao mademu kwa muda mpaka tukafikia hatua ya kupeana namba kwa mawasiliano zaidi.
Tuliendelea kuchati mpaka tukafikia hatua ya kutumiana picha ili tujilidhishe kwa kila mmoja wetu.
Hakika nimeamini mwanamke mzuri ni yule unaeonana nae USO kwa USO na sio kwenye mitandao.
Kuanzia Leo nimekoma kupm mademu wa mitandaoni,
Kwa hao mademu wanne wote ni wabaya sana tena sana.
Kwa wenye uzoefu na PM za watu watadhibitisha hapa.
NIMEKOMA,SITAKI TENA MADEMU WA MITANDAONI.