grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 4,014
- 5,655
Cc: ikwapi?Noumaaa nanusuuuu
Cc: ikwapi?Noumaaa nanusuuuu
apo nmekupataa zaid 🙏🙏Mambo madogo hayo, kikubwa ukifika hatua hii na change yani mpunga usikupige chenga. Kwa kufanya hivyo utafaidi sana mkuu.
Duuh shangazi una moto ila nadhani unatania tu,,,,We nae hutaki dem tu unatafuta visingizio....eti huna muda wa kutongoza utadhani unatongoza kama babu yako hadi kwamba bibi anachuma majani karibia adondoshe mti.
Emoji tano tu unapata dem, kama hata emoji hauwezi sema mi nijitoe muhanga nikuchukue.
😂 unajidanganya sanaleo hii pia nitatizama mara ya mwisho then nitaamua kujipumzisha
Anko nimesahau hapa ndio nashtuka usingizini😂 unajidanganya sana
Punguza hiyo addiction itakugharimu zaidi.Anko nimesahau hapa ndio nashtuka usingizini
Serious kabisaDuuh shangazi una moto ila nadhani unatania tu,,,,
Au upo serious 🙂