mkandumbwe
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 424
- 371
- Thread starter
- #21
Asante mkuu...Pole sana mkuu.
Umenikumbusha nilivyokuwa kijana. Nilikuwa napata hela naitumia bila mpangilio.
Ikiisha tu, napigiwa simu na ndugu akiomba msaada wa kiasi fulani cha hela. Matokeo yake najutia sana matumizi niliyofanya.
Ila kwa sisi tunaofanya kazi za kijungu jiko kuweka akiba bado ni kusadikika.