Mrejesho: Sijui atamwambia wife?

Mrejesho: Sijui atamwambia wife?

Napiga beer, lakini hizi tabia za kijinga jinga hizi sina msijaribu kutushushia hadhi ya kinywaji chetu pendwa na mitabia yenu ya kizinzi sh*nzitaipuu.
 
Akija na mama mkwe umfanyie hivyohivyo.

Huyo binti ngoja afike Moshi ndiyo utajua, sasa hivi yupo ugenini lazima atulie kimya...

Ila we Jamaa noma. Dah!
 
Hata waifu wako huwa anafanya hivi hivi, wakija ndugu zako wa kiume nyumbani huwa analiwa nyapu kisirisiri...
 
Unafikiri unaweza kukiri kuwa nduguzo wa kiume huja kwako...

Sasa wewe ndo unanisemea?
Kwani hizi taarifa zingine nimeshikiwa bunduki ndo nikasema?
Nimesema kwa hiyari yangu.
Upande Wa ndugu zangu hawana time ya kuja kulala kwangu
Wengi wapo hapa hapa town na wakijijini wakija wanafikia kwa wakubwa zangu kimila
 
Mr nyatu nyatu endelea tu hako katabia ni kazuri tu

Nimecheka kweli you made my day.

Nawazia hivyo anavyonyata kujaribu kuingia chumbani kwa mgeni, nyatu nyatu nyatu........... Ngo! Ngo! Ngo! Anagonga pooole pole ili wife asisikie.
 
Wewe uko addicted na kununua CHIU! Siku ukikosa huko nje unarudi home na Ku apply addiction yako ndio maana unatanguliza hela! Ni kama mwizi fulani akikosa cha kuiba ataanika nguo zake na kuzivizia na kuziiba!
 
Huyo shetani na pombe waendekeze hivyo hivyo siku yako haiko mbali swatan wee.
 
Subiri siku na wewe uende ugenini halafu unyatiwe na baba mwenye nyumba.. Nakuapia siku hiyo utaacha
 
Umehakikisha kuwa wote ni kaka zake, wapo binamu, mjomba na wengine mtoto wa baba yake na mjomba wake na mama yake na bibi yake na rafiki yake na mdogo wangu--hao nao wanaingia na pengine kama unavyomfanyia mkeo nao hufanya hovyo hivyo...
Bahati mbaya wageni Wa kiume pia ni kaka zake
 
Umehakikisha kuwa wote ni kaka zake, wapo binamu, mjomba na wengine mtoto wa baba yake na mjomba wake na mama yake na bibi yake na rafiki yake na mdogo wangu--hao nao wanaingia na pengine kama unavyomfanyia mkeo nao hufanya hovyo hivyo...

Huwa wanakuja wadogo zake wawili Wa kiume tumbo moja wanachuo huja kwetu kila wakifunga chuo
Labda kama unawazungumzia hao
 
Brother wewe ni Nouma .....umejipigia hadi shangaz MTU?
wife wako hana makalio ya haja nini?
 
Back
Top Bottom