KAKA mpendwa, kiimani hao wageni wapo ktk himaya yako "sie tunawaita Muhsinati na watakiwa kuitwa Muhsin" sasa unapo wanyemelea na kutumia ufalme wako ktk uovu.....basi dhambi yake ni kubwa kuliko ungelisimama hadharani na kuvua nguo na kuvamia wapita njia!!!! DAWA YAKE :- Tafadhali hebu nenda Hospitali ukahudumie wagonjwa walo maututi...hapo akili itarudi!!Pamoja na kutubu bado mnanilaani tu? Badala mnisaidie dawa ya kuacha
Marhabaa kijana. Fanya hivyo basi,- Tumalize kesi.Hahaaa, dalali uko kazini hata huku???Shikamoo dalali
kwa jina la yesu, pepo wabaya waliokuvaa washindwe ktk jina la yesu. yakobo 4: 7-8 "7. Basi mtiini mungu. Mpingeni shetani, naye atawakimbia. 8. Mkaribieni mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili".