Lalalalalalalalallalalala[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu umewazaHuyo jamaa humu JFyumo kwahiyo umeshamkoroga tena kusema huyo ndiyo alikuwa wa ndoto zako
Lalalalalalalalallalalala[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu umewazaHuyo jamaa humu JFyumo kwahiyo umeshamkoroga tena kusema huyo ndiyo alikuwa wa ndoto zako
Ulisema kikao jmosi.
Wewe, mrembo na mchumba mnakaa mkoa tofauti na kwao binti.
Mchumba Kakukuta kwa mrembo saa 4 usiku kachukua tu vitu vyake kasepa na kusema neno halafu kasepa.
Mwendo wa masaa manne.
Jamaa kaenda kuomba kurudushiwa mahari Juzi leo tena yupo kwenye kikao.
Halafu kakusamehe na wewe kwa moyo mkunjufu. Na una ujasiri wa kupokea simu zao bila kuogopa.
Hii chai
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
😂😂😂Ulisema kikao jmosi.
Wewe, mrembo na mchumba mnakaa mkoa tofauti na kwao binti.
Mchumba Kakukuta kwa mrembo saa 4 usiku kachukua tu vitu vyake kasepa na kusema neno halafu kasepa.
Mwendo wa masaa manne.
Jamaa kaenda kuomba kurudushiwa mahari Juzi leo tena yupo kwenye kikao.
Halafu kakusamehe na wewe kwa moyo mkunjufu. Na una ujasiri wa kupokea simu zao bila kuogopa.
Hii chai
We endelea kujisifu tu ujinga, umewaumiza sana ndugu wa mwanamke na mwanaume pia, familia ya mwanaume ilishaanza vikao muda tu na miezi miwili ijayo harusi ilikuwa inafanyika mkoa S. Umevunja vikao mpuuzi wewe kwa tamaa zako za ngono! Unajua umempa mwenzio stress zisizokuwa za kawaida. Unajua ni mipango mingapi umemharibia, unajua gharama na muda aliotumia kutembea mikoa tofauti kuwataarifu ndugu? Unajua gharama za awali za maandalizi alizokuwa ametumia? Unawezaje kwenda Arusha saa 4 za usiku kwa mchumba wa mtu.Habari za leo wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kusheherekea vyema Sikukuu ya EID, japo kwangu haikuwa njema sana kutokana na shida nilizopitia.
Juzi nilikuja na Uzi nikiomba msaada nifanye nini juu ya majanga yaliyonikuta
Rejea:-
![]()
Nimevunja uchumba wa watu
Habari za eid Kuna binti niponae kwenye mahusiano kwa miezi kadhaa toka mwaka huu uanze. Nimekuwa nikimpenda sana kiasi cha kujitoa sana kifedha na ki hali kwa muda wote huu. Lakini binti amekuwa akinisisitiza kuwa yeye ni mchumba wa jamaa fulani na wanasubiri ndoa tuu. Hiyo hali...www.jamiiforums.com
Leo nimeona Nilete mrejesho wa nini kimefanyika juu ya hili tukio.
Kikao cha Familia ya binti kimekaa leo Saa 4 asubuhi juu ya shauri la jamaa kudai mahari yake.
Watu wenye busara wamekaa na kuongea na kijana kuwa arudishe Moyo na waendelee na Process zao za uchumba kuelekea Ndoa.
Lakini kijana Amekuwa na Roho ngumu ssna kiasi cha kuto kusamehe. Hii ni kwasababu ameniona mara nyingi kwenye simu ya Mchumba wake na amesha muonya mara nyingi lakini binti amekuwa kiziwi, hivyo basi jamaa hawezi kuendelea na huo uchumba hivyo arudishiwe Mahari yake ajue nini cha kufanya.
Pia akaomba kama familia haina uwezo kwa wakati huo watoe chochote Tu hata elfu 10, ili mradi mahari imerudishwa.
Icho kikao mara kikageuga msiba watu karibia wote wakawa wanalia kwa kinachoenda kutokea.
Binti akaitwa kwenye kikao. Nae akawa analia. Akaulizwa kama anampenda jamaa, akasema anampenda sana kwani jamaa hakumpa muda wa kumsikiliza laa sivyo wangeyamaliza. Pia binti akaomba msamaha kwa kuiingiza familia kwenye matatizo.
Jamaa amepigiwa Magoti na mama yake na mama wa binti, ndio amekubali kuendelea na uchumba.
Mida ya saa 8 nimepigiwa simu na Deligation ya kikao nimepewa Onyo kubwa sana juu ya mahusiano yangu na binti. Nimekili sitarudiana naye tena na nimekata mawasiliano naye..
Nikaomba pia niongee na jamaa, nikaongea nae nimemuomba msamaha yeye kama mwanaume mwenzangu. Na jamaa amenisamehe kwa moyo mkunjufu kabisa.
Leo ndio nimeamini kuwa nimeachachana na huyu binti. Roho imeniuma sana maana yeye ndio mwanamke wa Ndoto yangu
Najiona kama nimeanza upya maisha bila huyu binti. Japo sikuwa na nafasi nae sana lakini nilikuwa nina amani.
Napenda kuwashukuru Nyote kwa michango yenu hadi kufikia kulimaliza Suala hili.
Daaa kama unasikiaga comment chonganishi ndio hizi sasa.Huyo jamaa humu JFyumo kwahiyo umeshamkoroga tena kusema huyo ndiyo alikuwa wa ndoto zako
Nimekuwekea na meseji ya mwanaume mwenzio ili ujue ni kwa namna gani umemuumiza. Ila hiyo laana haita kuucha hata kama sio kwako itakula watoto wako mpaka vitukuuHabari za leo wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kusheherekea vyema Sikukuu ya EID, japo kwangu haikuwa njema sana kutokana na shida nilizopitia.
Juzi nilikuja na Uzi nikiomba msaada nifanye nini juu ya majanga yaliyonikuta
Rejea:-
![]()
Nimevunja uchumba wa watu
Habari za eid Kuna binti niponae kwenye mahusiano kwa miezi kadhaa toka mwaka huu uanze. Nimekuwa nikimpenda sana kiasi cha kujitoa sana kifedha na ki hali kwa muda wote huu. Lakini binti amekuwa akinisisitiza kuwa yeye ni mchumba wa jamaa fulani na wanasubiri ndoa tuu. Hiyo hali...www.jamiiforums.com
Leo nimeona Nilete mrejesho wa nini kimefanyika juu ya hili tukio.
Kikao cha Familia ya binti kimekaa leo Saa 4 asubuhi juu ya shauri la jamaa kudai mahari yake.
Watu wenye busara wamekaa na kuongea na kijana kuwa arudishe Moyo na waendelee na Process zao za uchumba kuelekea Ndoa.
Lakini kijana Amekuwa na Roho ngumu ssna kiasi cha kuto kusamehe. Hii ni kwasababu ameniona mara nyingi kwenye simu ya Mchumba wake na amesha muonya mara nyingi lakini binti amekuwa kiziwi, hivyo basi jamaa hawezi kuendelea na huo uchumba hivyo arudishiwe Mahari yake ajue nini cha kufanya.
Pia akaomba kama familia haina uwezo kwa wakati huo watoe chochote Tu hata elfu 10, ili mradi mahari imerudishwa.
Icho kikao mara kikageuga msiba watu karibia wote wakawa wanalia kwa kinachoenda kutokea.
Binti akaitwa kwenye kikao. Nae akawa analia. Akaulizwa kama anampenda jamaa, akasema anampenda sana kwani jamaa hakumpa muda wa kumsikiliza laa sivyo wangeyamaliza. Pia binti akaomba msamaha kwa kuiingiza familia kwenye matatizo.
Jamaa amepigiwa Magoti na mama yake na mama wa binti, ndio amekubali kuendelea na uchumba.
Mida ya saa 8 nimepigiwa simu na Deligation ya kikao nimepewa Onyo kubwa sana juu ya mahusiano yangu na binti. Nimekili sitarudiana naye tena na nimekata mawasiliano naye..
Nikaomba pia niongee na jamaa, nikaongea nae nimemuomba msamaha yeye kama mwanaume mwenzangu. Na jamaa amenisamehe kwa moyo mkunjufu kabisa.
Leo ndio nimeamini kuwa nimeachachana na huyu binti. Roho imeniuma sana maana yeye ndio mwanamke wa Ndoto yangu
Najiona kama nimeanza upya maisha bila huyu binti. Japo sikuwa na nafasi nae sana lakini nilikuwa nina amani.
Napenda kuwashukuru Nyote kwa michango yenu hadi kufikia kulimaliza Suala hili.
Ulisema kikao jmosi.
Wewe, mrembo na mchumba mnakaa mkoa tofauti na kwao binti.
Mchumba Kakukuta kwa mrembo saa 4 usiku kachukua tu vitu vyake kasepa na kusema neno halafu kasepa.
Mwendo wa masaa manne.
Jamaa kaenda kuomba kurudushiwa mahari Juzi leo tena yupo kwenye kikao.
Halafu kakusamehe na wewe kwa moyo mkunjufu. Na una ujasiri wa kupokea simu zao bila kuogopa.
Hii chai
Habari za leo wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kusheherekea vyema Sikukuu ya EID, japo kwangu haikuwa njema sana kutokana na shida nilizopitia.
Juzi nilikuja na Uzi nikiomba msaada nifanye nini juu ya majanga yaliyonikuta
Rejea:-
![]()
Nimevunja uchumba wa watu
Habari za eid Kuna binti niponae kwenye mahusiano kwa miezi kadhaa toka mwaka huu uanze. Nimekuwa nikimpenda sana kiasi cha kujitoa sana kifedha na ki hali kwa muda wote huu. Lakini binti amekuwa akinisisitiza kuwa yeye ni mchumba wa jamaa fulani na wanasubiri ndoa tuu. Hiyo hali...www.jamiiforums.com
Leo nimeona Nilete mrejesho wa nini kimefanyika juu ya hili tukio.
Kikao cha Familia ya binti kimekaa leo Saa 4 asubuhi juu ya shauri la jamaa kudai mahari yake.
Watu wenye busara wamekaa na kuongea na kijana kuwa arudishe Moyo na waendelee na Process zao za uchumba kuelekea Ndoa.
Lakini kijana Amekuwa na Roho ngumu ssna kiasi cha kuto kusamehe. Hii ni kwasababu ameniona mara nyingi kwenye simu ya Mchumba wake na amesha muonya mara nyingi lakini binti amekuwa kiziwi, hivyo basi jamaa hawezi kuendelea na huo uchumba hivyo arudishiwe Mahari yake ajue nini cha kufanya.
Pia akaomba kama familia haina uwezo kwa wakati huo watoe chochote Tu hata elfu 10, ili mradi mahari imerudishwa.
Icho kikao mara kikageuga msiba watu karibia wote wakawa wanalia kwa kinachoenda kutokea.
Binti akaitwa kwenye kikao. Nae akawa analia. Akaulizwa kama anampenda jamaa, akasema anampenda sana kwani jamaa hakumpa muda wa kumsikiliza laa sivyo wangeyamaliza. Pia binti akaomba msamaha kwa kuiingiza familia kwenye matatizo.
Jamaa amepigiwa Magoti na mama yake na mama wa binti, ndio amekubali kuendelea na uchumba.
Mida ya saa 8 nimepigiwa simu na Deligation ya kikao nimepewa Onyo kubwa sana juu ya mahusiano yangu na binti. Nimekili sitarudiana naye tena na nimekata mawasiliano naye..
Nikaomba pia niongee na jamaa, nikaongea nae nimemuomba msamaha yeye kama mwanaume mwenzangu. Na jamaa amenisamehe kwa moyo mkunjufu kabisa.
Leo ndio nimeamini kuwa nimeachachana na huyu binti. Roho imeniuma sana maana yeye ndio mwanamke wa Ndoto yangu
Najiona kama nimeanza upya maisha bila huyu binti. Japo sikuwa na nafasi nae sana lakini nilikuwa nina amani.
Napenda kuwashukuru Nyote kwa michango yenu hadi kufikia kulimaliza Suala hili.
Huyo jamaa mwenye mchumba ana roho ngumu aisee....
Hivi unapata Wapi ujasiri wa kuendelea na ndoa na huyo Kahaba?
Kunguru ni kunguru tu.. Huyo mwanamke anatendelea kutoombwa hata ndani ya ndoa.
Namsikitikia sana jamaa aliyemsamehe na kukubali kumuoa huyo malaya.
Kuna kitu kimoja hujatuambia. Je binti alishawahi kukupa mzigo katika kuhonga kote kule?Leo ndio nimeamini kuwa nimeachachana na huyu binti
Na huyu huyu jamaa anaweza akarudi muda wowote akala,Huyo jamaa mwenye mchumba ana roho ngumu aisee....
Hivi unapata Wapi ujasiri wa kuendelea na ndoa na huyo Kahaba?
Kunguru ni kunguru tu.. Huyo mwanamke anatendelea kutoombwa hata ndani ya ndoa.
Namsikitikia sana jamaa aliyemsamehe na kukubali kumuoa huyo malaya.
Serious hii mkuu????Nimekuwekea na meseji ya mwanaume mwenzio ili ujue ni kwa namna gani umemuumiza. Ila hiyo laana haita kuucha hata kama sio kwako itakula watoto wako mpaka vitukuuView attachment 1120816
Ni serious kabisa mkt, nashangaa naingia jf nakuta hii mada.Serious hii mkuu????