Mrejesho: Nimevunja uchumba wa watu

Mrejesho: Nimevunja uchumba wa watu

Ngoja niagize. Vyapati
Ulisema kikao jmosi.

Wewe, mrembo na mchumba mnakaa mkoa tofauti na kwao binti.

Mchumba Kakukuta kwa mrembo saa 4 usiku kachukua tu vitu vyake kasepa na kusema neno halafu kasepa.

Mwendo wa masaa manne.

Jamaa kaenda kuomba kurudushiwa mahari Juzi leo tena yupo kwenye kikao.

Halafu kakusamehe na wewe kwa moyo mkunjufu. Na una ujasiri wa kupokea simu zao bila kuogopa.

Hii chai
 
Ulisema kikao jmosi.

Wewe, mrembo na mchumba mnakaa mkoa tofauti na kwao binti.

Mchumba Kakukuta kwa mrembo saa 4 usiku kachukua tu vitu vyake kasepa na kusema neno halafu kasepa.

Mwendo wa masaa manne.

Jamaa kaenda kuomba kurudushiwa mahari Juzi leo tena yupo kwenye kikao.

Halafu kakusamehe na wewe kwa moyo mkunjufu. Na una ujasiri wa kupokea simu zao bila kuogopa.

Hii chai
😂😂😂
 
Habari za leo wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kusheherekea vyema Sikukuu ya EID, japo kwangu haikuwa njema sana kutokana na shida nilizopitia.

Juzi nilikuja na Uzi nikiomba msaada nifanye nini juu ya majanga yaliyonikuta
Rejea:-

Leo nimeona Nilete mrejesho wa nini kimefanyika juu ya hili tukio.

Kikao cha Familia ya binti kimekaa leo Saa 4 asubuhi juu ya shauri la jamaa kudai mahari yake.

Watu wenye busara wamekaa na kuongea na kijana kuwa arudishe Moyo na waendelee na Process zao za uchumba kuelekea Ndoa.

Lakini kijana Amekuwa na Roho ngumu ssna kiasi cha kuto kusamehe. Hii ni kwasababu ameniona mara nyingi kwenye simu ya Mchumba wake na amesha muonya mara nyingi lakini binti amekuwa kiziwi, hivyo basi jamaa hawezi kuendelea na huo uchumba hivyo arudishiwe Mahari yake ajue nini cha kufanya.

Pia akaomba kama familia haina uwezo kwa wakati huo watoe chochote Tu hata elfu 10, ili mradi mahari imerudishwa.

Icho kikao mara kikageuga msiba watu karibia wote wakawa wanalia kwa kinachoenda kutokea.

Binti akaitwa kwenye kikao. Nae akawa analia. Akaulizwa kama anampenda jamaa, akasema anampenda sana kwani jamaa hakumpa muda wa kumsikiliza laa sivyo wangeyamaliza. Pia binti akaomba msamaha kwa kuiingiza familia kwenye matatizo.

Jamaa amepigiwa Magoti na mama yake na mama wa binti, ndio amekubali kuendelea na uchumba.

Mida ya saa 8 nimepigiwa simu na Deligation ya kikao nimepewa Onyo kubwa sana juu ya mahusiano yangu na binti. Nimekili sitarudiana naye tena na nimekata mawasiliano naye..

Nikaomba pia niongee na jamaa, nikaongea nae nimemuomba msamaha yeye kama mwanaume mwenzangu. Na jamaa amenisamehe kwa moyo mkunjufu kabisa.

Leo ndio nimeamini kuwa nimeachachana na huyu binti. Roho imeniuma sana maana yeye ndio mwanamke wa Ndoto yangu

Najiona kama nimeanza upya maisha bila huyu binti. Japo sikuwa na nafasi nae sana lakini nilikuwa nina amani.

Napenda kuwashukuru Nyote kwa michango yenu hadi kufikia kulimaliza Suala hili.
We endelea kujisifu tu ujinga, umewaumiza sana ndugu wa mwanamke na mwanaume pia, familia ya mwanaume ilishaanza vikao muda tu na miezi miwili ijayo harusi ilikuwa inafanyika mkoa S. Umevunja vikao mpuuzi wewe kwa tamaa zako za ngono! Unajua umempa mwenzio stress zisizokuwa za kawaida. Unajua ni mipango mingapi umemharibia, unajua gharama na muda aliotumia kutembea mikoa tofauti kuwataarifu ndugu? Unajua gharama za awali za maandalizi alizokuwa ametumia? Unawezaje kwenda Arusha saa 4 za usiku kwa mchumba wa mtu.
Usifikiri wewe ndo wa kwanza kupenda hata sisi kabla tulishakuwa na mademu ilipotokea wameolewa tuliwaacha waendelee na maisha yao. Lakini kwa maelezo yako unajiona kidume kwamba hata akiolewa utaendelea. Ipo siku utakuja kulia kilio kisicho na jina.
 
Habari za leo wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kusheherekea vyema Sikukuu ya EID, japo kwangu haikuwa njema sana kutokana na shida nilizopitia.

Juzi nilikuja na Uzi nikiomba msaada nifanye nini juu ya majanga yaliyonikuta
Rejea:-

Leo nimeona Nilete mrejesho wa nini kimefanyika juu ya hili tukio.

Kikao cha Familia ya binti kimekaa leo Saa 4 asubuhi juu ya shauri la jamaa kudai mahari yake.

Watu wenye busara wamekaa na kuongea na kijana kuwa arudishe Moyo na waendelee na Process zao za uchumba kuelekea Ndoa.

Lakini kijana Amekuwa na Roho ngumu ssna kiasi cha kuto kusamehe. Hii ni kwasababu ameniona mara nyingi kwenye simu ya Mchumba wake na amesha muonya mara nyingi lakini binti amekuwa kiziwi, hivyo basi jamaa hawezi kuendelea na huo uchumba hivyo arudishiwe Mahari yake ajue nini cha kufanya.

Pia akaomba kama familia haina uwezo kwa wakati huo watoe chochote Tu hata elfu 10, ili mradi mahari imerudishwa.

Icho kikao mara kikageuga msiba watu karibia wote wakawa wanalia kwa kinachoenda kutokea.

Binti akaitwa kwenye kikao. Nae akawa analia. Akaulizwa kama anampenda jamaa, akasema anampenda sana kwani jamaa hakumpa muda wa kumsikiliza laa sivyo wangeyamaliza. Pia binti akaomba msamaha kwa kuiingiza familia kwenye matatizo.

Jamaa amepigiwa Magoti na mama yake na mama wa binti, ndio amekubali kuendelea na uchumba.

Mida ya saa 8 nimepigiwa simu na Deligation ya kikao nimepewa Onyo kubwa sana juu ya mahusiano yangu na binti. Nimekili sitarudiana naye tena na nimekata mawasiliano naye..

Nikaomba pia niongee na jamaa, nikaongea nae nimemuomba msamaha yeye kama mwanaume mwenzangu. Na jamaa amenisamehe kwa moyo mkunjufu kabisa.

Leo ndio nimeamini kuwa nimeachachana na huyu binti. Roho imeniuma sana maana yeye ndio mwanamke wa Ndoto yangu

Najiona kama nimeanza upya maisha bila huyu binti. Japo sikuwa na nafasi nae sana lakini nilikuwa nina amani.

Napenda kuwashukuru Nyote kwa michango yenu hadi kufikia kulimaliza Suala hili.
Nimekuwekea na meseji ya mwanaume mwenzio ili ujue ni kwa namna gani umemuumiza. Ila hiyo laana haita kuucha hata kama sio kwako itakula watoto wako mpaka vitukuu
Screenshot_2019-06-07-17-44-30.jpg
 
Ulisema kikao jmosi.

Wewe, mrembo na mchumba mnakaa mkoa tofauti na kwao binti.

Mchumba Kakukuta kwa mrembo saa 4 usiku kachukua tu vitu vyake kasepa na kusema neno halafu kasepa.

Mwendo wa masaa manne.

Jamaa kaenda kuomba kurudushiwa mahari Juzi leo tena yupo kwenye kikao.

Halafu kakusamehe na wewe kwa moyo mkunjufu. Na una ujasiri wa kupokea simu zao bila kuogopa.

Hii chai

Huyu jamaa ni muongo, anatunga storry tu, jf kwa sasa kuna watu..... acha niishie hapa nisije pigwa ban
 
Habari za leo wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kusheherekea vyema Sikukuu ya EID, japo kwangu haikuwa njema sana kutokana na shida nilizopitia.

Juzi nilikuja na Uzi nikiomba msaada nifanye nini juu ya majanga yaliyonikuta
Rejea:-

Leo nimeona Nilete mrejesho wa nini kimefanyika juu ya hili tukio.

Kikao cha Familia ya binti kimekaa leo Saa 4 asubuhi juu ya shauri la jamaa kudai mahari yake.

Watu wenye busara wamekaa na kuongea na kijana kuwa arudishe Moyo na waendelee na Process zao za uchumba kuelekea Ndoa.

Lakini kijana Amekuwa na Roho ngumu ssna kiasi cha kuto kusamehe. Hii ni kwasababu ameniona mara nyingi kwenye simu ya Mchumba wake na amesha muonya mara nyingi lakini binti amekuwa kiziwi, hivyo basi jamaa hawezi kuendelea na huo uchumba hivyo arudishiwe Mahari yake ajue nini cha kufanya.

Pia akaomba kama familia haina uwezo kwa wakati huo watoe chochote Tu hata elfu 10, ili mradi mahari imerudishwa.

Icho kikao mara kikageuga msiba watu karibia wote wakawa wanalia kwa kinachoenda kutokea.

Binti akaitwa kwenye kikao. Nae akawa analia. Akaulizwa kama anampenda jamaa, akasema anampenda sana kwani jamaa hakumpa muda wa kumsikiliza laa sivyo wangeyamaliza. Pia binti akaomba msamaha kwa kuiingiza familia kwenye matatizo.

Jamaa amepigiwa Magoti na mama yake na mama wa binti, ndio amekubali kuendelea na uchumba.

Mida ya saa 8 nimepigiwa simu na Deligation ya kikao nimepewa Onyo kubwa sana juu ya mahusiano yangu na binti. Nimekili sitarudiana naye tena na nimekata mawasiliano naye..

Nikaomba pia niongee na jamaa, nikaongea nae nimemuomba msamaha yeye kama mwanaume mwenzangu. Na jamaa amenisamehe kwa moyo mkunjufu kabisa.

Leo ndio nimeamini kuwa nimeachachana na huyu binti. Roho imeniuma sana maana yeye ndio mwanamke wa Ndoto yangu

Najiona kama nimeanza upya maisha bila huyu binti. Japo sikuwa na nafasi nae sana lakini nilikuwa nina amani.

Napenda kuwashukuru Nyote kwa michango yenu hadi kufikia kulimaliza Suala hili.

Si wakwako huyo, utakuja uwawa
 
Huenda jamaa ameamua tu kukubali kwa kuwa had alipigiwa magoti na mama mzazi wa binti
Kiuhalisia n ngumu kiukweli kukataa kuona mama anakupigia magoti huku analia.
Ila mbeleni hayo mahusiano hayatadumu
Huyo jamaa mwenye mchumba ana roho ngumu aisee....

Hivi unapata Wapi ujasiri wa kuendelea na ndoa na huyo Kahaba?

Kunguru ni kunguru tu.. Huyo mwanamke anatendelea kutoombwa hata ndani ya ndoa.

Namsikitikia sana jamaa aliyemsamehe na kukubali kumuoa huyo malaya.
 
we jamaa ni mpumbavu sana! ingekuwa mimi ndugu wa huyo dada kiingeeleweka-sasa kiherere cha kuwa na mahusiano na binti ambaye unajua ni mchumba wa mtu kisha ulikuwa huna future naye maana yake ni nini.Ingawa hata huyo aliyemuoa huyo binti naye hajielewi.
 
Huyo jamaa mwenye mchumba ana roho ngumu aisee....

Hivi unapata Wapi ujasiri wa kuendelea na ndoa na huyo Kahaba?

Kunguru ni kunguru tu.. Huyo mwanamke anatendelea kutoombwa hata ndani ya ndoa.

Namsikitikia sana jamaa aliyemsamehe na kukubali kumuoa huyo malaya.
Na huyu huyu jamaa anaweza akarudi muda wowote akala,

au itapita miaka miwili hivi, kimnya, wakikutana anapiga

jamaa kakosea kinoma, ishu ikifika levo hiyo,ni kuondoka tu, ratio ya wanawake kwa wanaume ni 3/1 halafu bado unang'ang'ania kukaa na mtu ambae kwanza ulishamkataza juu ya huyo mtu na ameendelea kuwa nae? Afu ukoo mzima unajua kuwa umechapiwa? Kuchapiwa kunasameheka kama ni siri ya ndani walau, sio kwa levo hiyo
 
Wote hamna akili, hv familia wanakupigia mchepuko uliyesababisha matatizo na aibu kubwa kwao, kukuomba uachane na binti yao??.
 
Back
Top Bottom