Hilo maarufu linajulikana Mungu ndo wakukibiliwa..... Lakini mchongo wako utumike !!Kwanza wamuombe Mungu kwani ndiye aliyenipa njia ya kutafuta huku JF na kumpata aliyesahihi
Asante,namwamini Mungu nanitamtanguliza kwa kila jambo
Nawiwa kuuliza maswali mengi sana kama upo tayari kujibu,, je mlipokutana mara ya kwanza mwisho wa mongezi yenu ilikuwa ni kuoana??je kwa mda gani??je ilibidi mshake well before use??kabla ya kushake well milipia taratibu za kiafya?? bado namaswali mingi mingi usinichoke shemeji yangumke mmoja tena mke mwema
Nawiwa kuuliza maswali mengi sana kama upo tayari kujibu,, je mlipokutana mara ya kwanza mwisho wa mongezi yenu ilikuwa ni kuoana??je kwa mda gani??je ilibidi mshake well before use??kabla ya kushake well milipia taratibu za kiafya?? bado namaswali mingi mingi usinichoke shemeji yangu