Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
Dah! Watu tuna viburi vya uzima! Huyo Yehodaya amefanya mambo ya ajabu sana.Mmmh aiseee . Hope umefurahi sana muda huu
Tuna watendaji wa serikali wasengee sana nekasirika sana, hii serikali ina watendaji wasenge na mbwa sana angalieni mumeondoa uhai wa huyu kijanaAkaunt ya chuo ipo,je mtu akilipa moja kwa moja account ya chuo mimi nitawapa udhibitisho gani wa malipo hayo.
Hii ni kwa sababu utaratibu ni ule wa kupeleka payslip pekee.
Serikali nimehangaika nao kwa muda mrefu miezi zaidi ya nane mwisho wa siku wakaniandikia tu hicho kibali.
Nimepita kwa afisa elimu,idara ya afya,mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa,halmashauri na mbunge kote hakuna manufaa.
Haitoshi nimejaribu kwa mh.possi na mh. Mavinde hakuna ushirikiano pia.
Halmashauri walijaribu kuwasiliana na chuo kikagoma katakata ndipo wakanirudisha kwa mkuu wa wilaya,ofisi yake ikaniandikia hocho kibali na haikichangia hata shilingi.
Yani kujikuta anajua Sana yeye kila akimuona Mwenye uhitaji Ni kumcharukia ilhali yeye sio mchangiaji..Dah! Watu tuna viburi vya uzima! Huyo Yehodaya amefanya mambo ya ajabu sana.
Raia wema walimsaidia na akapata cheti chakeTuna watendaji wa serikali wasengee sana nekasirika sana, hii serikali ina watendaji wasenge na mbwa sana angalieni mumeondoa uhai wa huyu kijana
Hicho chuo kilicho kataa kutoa hicho cheti kisusiwe mbwa kabisa
Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
UNAONGOZA KWA DHIHAKI JF NZIMA TENA KILA UZI WAKE LAZIMA UNYEMBOVUHivi Bodi ya mikopo kazi yake nn
Unachosema ni kweli hawa wanaojifanya kushika ibada ni washenzi sanaHuyu ndugu anajikutaga mlokole sana sijui kwanin church niggers are so fake kuliko hata wana wanaoshinda bar wanakuaga real sana
Wewe dada nakuapia utakufa kwa tabu Sana , nakumbuka yule member aliefia Muhimbili kwa kuomba msaada wa Tina ya TB ulikuwa unatoa kashfa zako Kama kawaidaUmpe namba ya principal kweli Sio kishoka.Sielewi kwa Nini huweki public hiyo namba unaficha Nini? Mkuu wa chuo Ni official figure weka namba zake za kiofisi hapa hakuna Cha PM .
Daaah naumia Sana wewe YEHODAYA utakufaKaka sijui nimekukosea nini mimi.
Nimeeleza vizuri kuhusu mfumo wa ulipaji ada nikiweka namba ya akaunti ukajitolea kulipa labda 10,000 je mimi nitawapa udhibitisho gani kwamba nimelipa na utaratibu wap ni kupeleka payslip.
Namba ya mkuu wa chuo,nisamehe siwezi kuiweka hapa nakutumia PM.
Mkuu huyu sio mtu wa kwanza kufa kwa kuzihakiwa , tangu mwaka Jana huyu ni wa tano kwa kumbukumbu zanguNajisikia Uchungu Sana kuchelewa kuona hii thread..
Hakuna faraja inayofikia kumsaidia binadamu mwenzako kuvuka kigingi anachopitia.
Mwenyeenzi Mungu Akulaze Pema Peponi..
JF tumekuwa sehemu ya depression ya marehemu Robin. Hembu tujifunze katika hili member wenzangu..
Sent using Jamii Forums mobile app