Reveland patterson
Member
- Jul 29, 2015
- 20
- 197
Wakuu amani iwe kwenu,
Kwa muktasari tu ni kwamba mimi na mke wangu tulikua na ugomvi kufikia hatua ya kutengana kwa karibu 2 month, hii ilitokana na wife kutojali familia na kushinda kanisani 24/7 ukatokea ugomvi mkubwa na hatimae tukatengana.
Mrejesho wenyewe:
Baada ya miezi miwili wife alinifuata kazini, ilikua siku ya Ijumaa iliyopita na kuniangukia akiomba msamaha kwamba arudi nyumbani kwangu, Hakusema kwamba ataacha matendo ya awali, bali aliniacha kwenye dilemma kwa kusema tu ananipenda hawezi kuishi bila mimi(wengi mnajua Maneno ya msamaha yanavyokua)
Nikamwambia sijaridhika maana """ umeomba msamaha ila hujatakamka how do we move on from here in relation to ur church which is the course of our problems """ Nikamwambia arudi atafakari upya aje tena na msimamo kuhusu suala hilo
Jumamosi nilipotoka kwenye mazoezi (bonanza la kila wiki) Mtaani, nilishangaa kumkuta wife Duka la Jirani karibu na Geti letu akiwa na mtoto na house girl wetu wakiwa na mabegi na mizigo yao, nikawapokea tukaingia ndani, nikamuuliza kulikoni umekuja wakati tulikua bado katika mashauriano, akasema yeye haitaji maongezi zaidi, ameshakata shauri kwamba anahitaji familia yake na mji wake na kwamba ameshakata shauri anaachana na kanisa hilo na tutaanza kuabudu wote kule nakoabudu mimi, hivyo nikawa sina budi kumsamehe.
Na kesho yake ilikua Jumapili alianza rasmi kuabudu nami katika kanisa letu ambalo lipo Jirani kabisa na tunapoishi, ni mwendo wa dakika 15 kwa kutembea na alipokelewa vizuri.
Shida iliyopo tu ni wazazi wake, maana hata hiyo Jumamosi aliyokuja, walikua wamemzuia kwa nguvu zote na Maneno ya laana juu akaamua kuondoka hivyo hivyo kuja, Sababu ya wao kumzuia ni kwamba hawataki ahame hilo kanisa na aliwaambia wazi kwamba kama atarudi kwangu atahama hilo kanisa ambalo ratiba zake ndio chanzo cha ugomvi wetu
wao wamemwambia hawaoni tatizo katka ratiba za hilo kanisa, maadam wanamwamini Mungu na wanakesha wakimuabudu Mungu hivyo hakuna binadam wa kuwazuia.
Nawashukuru wote ambao mlikuja inbox kwa ufumbuzi zaidi wa pamoja, hili tatizo limekwisha, nimeona ni jinsi gani Jf ikitumika vizuri inaweza kuwa na matokeo mazuri, na wengine wote nawashakuru pia.
Hata hivyo mwanzo Nilimruhusu wife kuendelea na kanisa lake ilimradi tu azingatie ratiba na muda, na kukesha kusiwepo kabisa isipokua mkesha wa Christmas, New year na Pasaka, lakini amekataa hilo kwa kuwa kwa vyovyote wazazi wake watakataa wazo hilo kwa sasa waumini wenzie wanamuona kama muasi, wametuma watu kuja kuzungumza nae, wamemwambia asimfuate mwanadam anavyotaka bali amfuate Mungu.
Kuhusu kurudi kwa Rachel, nimefuta mpango huo, nilipojaribu kumfuatilia nikaambiwa kuna jamaa moja limeshamuoa, hata hivyo nilitamka kwa hasira tamko hilo.
Nafuta kauli zote mbaya kuhusu ulokole, nilipotoka kutamka hivyo, ilikua ni hasira pia, nimegundua kumbe kuishi bila mke ni kazi nzito, ni miezi miwili tu lakini ni kama mwaka, pamoja na mapungufu yao kumbe umuhimu wa akina mama ni mkubwa mno, mnisamehe akina mama kwa kumpiga mwanamke mwenzenu, i had no choice, i was at a point of no return that's why i did it, i do apologize.
Mungu awabariki tuzidi kuombeana
Kwa muktasari tu ni kwamba mimi na mke wangu tulikua na ugomvi kufikia hatua ya kutengana kwa karibu 2 month, hii ilitokana na wife kutojali familia na kushinda kanisani 24/7 ukatokea ugomvi mkubwa na hatimae tukatengana.
Mrejesho wenyewe:
Baada ya miezi miwili wife alinifuata kazini, ilikua siku ya Ijumaa iliyopita na kuniangukia akiomba msamaha kwamba arudi nyumbani kwangu, Hakusema kwamba ataacha matendo ya awali, bali aliniacha kwenye dilemma kwa kusema tu ananipenda hawezi kuishi bila mimi(wengi mnajua Maneno ya msamaha yanavyokua)
Nikamwambia sijaridhika maana """ umeomba msamaha ila hujatakamka how do we move on from here in relation to ur church which is the course of our problems """ Nikamwambia arudi atafakari upya aje tena na msimamo kuhusu suala hilo
Jumamosi nilipotoka kwenye mazoezi (bonanza la kila wiki) Mtaani, nilishangaa kumkuta wife Duka la Jirani karibu na Geti letu akiwa na mtoto na house girl wetu wakiwa na mabegi na mizigo yao, nikawapokea tukaingia ndani, nikamuuliza kulikoni umekuja wakati tulikua bado katika mashauriano, akasema yeye haitaji maongezi zaidi, ameshakata shauri kwamba anahitaji familia yake na mji wake na kwamba ameshakata shauri anaachana na kanisa hilo na tutaanza kuabudu wote kule nakoabudu mimi, hivyo nikawa sina budi kumsamehe.
Na kesho yake ilikua Jumapili alianza rasmi kuabudu nami katika kanisa letu ambalo lipo Jirani kabisa na tunapoishi, ni mwendo wa dakika 15 kwa kutembea na alipokelewa vizuri.
Shida iliyopo tu ni wazazi wake, maana hata hiyo Jumamosi aliyokuja, walikua wamemzuia kwa nguvu zote na Maneno ya laana juu akaamua kuondoka hivyo hivyo kuja, Sababu ya wao kumzuia ni kwamba hawataki ahame hilo kanisa na aliwaambia wazi kwamba kama atarudi kwangu atahama hilo kanisa ambalo ratiba zake ndio chanzo cha ugomvi wetu
wao wamemwambia hawaoni tatizo katka ratiba za hilo kanisa, maadam wanamwamini Mungu na wanakesha wakimuabudu Mungu hivyo hakuna binadam wa kuwazuia.
Nawashukuru wote ambao mlikuja inbox kwa ufumbuzi zaidi wa pamoja, hili tatizo limekwisha, nimeona ni jinsi gani Jf ikitumika vizuri inaweza kuwa na matokeo mazuri, na wengine wote nawashakuru pia.
Hata hivyo mwanzo Nilimruhusu wife kuendelea na kanisa lake ilimradi tu azingatie ratiba na muda, na kukesha kusiwepo kabisa isipokua mkesha wa Christmas, New year na Pasaka, lakini amekataa hilo kwa kuwa kwa vyovyote wazazi wake watakataa wazo hilo kwa sasa waumini wenzie wanamuona kama muasi, wametuma watu kuja kuzungumza nae, wamemwambia asimfuate mwanadam anavyotaka bali amfuate Mungu.
Kuhusu kurudi kwa Rachel, nimefuta mpango huo, nilipojaribu kumfuatilia nikaambiwa kuna jamaa moja limeshamuoa, hata hivyo nilitamka kwa hasira tamko hilo.
Nafuta kauli zote mbaya kuhusu ulokole, nilipotoka kutamka hivyo, ilikua ni hasira pia, nimegundua kumbe kuishi bila mke ni kazi nzito, ni miezi miwili tu lakini ni kama mwaka, pamoja na mapungufu yao kumbe umuhimu wa akina mama ni mkubwa mno, mnisamehe akina mama kwa kumpiga mwanamke mwenzenu, i had no choice, i was at a point of no return that's why i did it, i do apologize.
Mungu awabariki tuzidi kuombeana