Huyo ni chaguo lako, huyo ni chaguo lako,huyo ni chaguo lako...hata kama ni mfupi,Mnene...huyo ni chaguo lako......
Siku zote umlindee,siku zote muombee ,Nyumba yenu iwe baraka,muwatunze watoto wenu.......Alulululululu......duhh!!! Nilikuwa nimenogewa na wimbo ile mbaya...
Hongera sana Reveland patterson kila la heri, nawatakia ndoa njema yenye furaha, amani na Upendo Tele.......siku zote usisahau haya maneno kwa mkeo NAKUPENDA, ASANTE na NISAMEHE.