Mrejesho: MwanaJF aliyeomba mtaji

Kwanza nakupongeza kwa kuwa mstaarabu!!! maana ingekuwa mie heading ya uzi huu ingesoma hivi "MWANA JF CHIKIRA MTABARI ALIYEOMBA MTAJI KUMBE NI TAPELI"
wewe ni muungwana kwa kweli barikiwa sana
 
Kwanza nakupongeza kwa kuwa mstaarabu!!! maana ingekuwa mie heading ya uzi huu ingesoma hivi "MWANA JF CHIKIRA MTABARI ALIYEOMBA MTAJI KUMBE NI TAPELI"
wewe ni muungwana kwa kweli barikiwa sana
Hahahah, chikira shigha ki vhi chike, hanini wechikira huvho[emoji14] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Sijui ni tusi lp lnamsatahl huyo mpumbavu maana lengo lako ni jema sana. Tatizo vijana wengi tumekua sio waaminifu, waadilifu na tumeweka upgaj mbele. Kumbe lengo lako lilikua jema tena umuongezee mtaji zaidi. Hl linauma ila lisikukatishe tamaa kusaidia walio tofauti na mpumbavu huyo. Pole sn ndugu na hongera kwa moyo wako mwema hakika Mungu atakulipa kwa njia nyingine.
 
Mimi siku zote huwa nasisitiza hili kuwa, baadhi ya watu ni maskini sabb ya kutokuwa waaminifu. Huwezi kufanikiwa kama si mkweli na mwaminifu
 
Asilimia kubwa ya watanzania iko hivyo, wala sijashangaa....maneno mengi vitendo 0
 
Mkuu mtoa mada wewe ulitimiza Wajibu wako, ulifanya vile moyo wako ulivyo.....
Part yako umemaliza!!!
Usiache kusaidia wenye uhitaji sema badirisha kidogo style ya kusaidia, usije kusaidia watu ambao hawahitaji msaada!!
 


Mkuu Pole sana nitachangia baadae kuna shughuli naimalizia Katika Mchango wangu nitaongezea na Hili suala linalozagaa la watu kuhitaji Mume/Mke kumbe ni waongo ambayop kwa namna moja ama nyingine inafanana na Utapeli wa kupotezeana Muda.

Nitakuja Baadae.
 
ahahaaa pole sana mbona mimi nilimpata wa rafiki yangu juzi ?
 
kumbe ni mwanamke? labda alitaka kufanya biashara na wewe na wewe ukawa huelewi. hebu na mimi naomba unifinance hichi kiproject changu nitakupa location uje anytime
Hahahahahahaha, wewe si nimesikia unamtafutia mchumba rafiki yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…