kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,010
- 650
Mpeleke elimu ya watu wazima ili angalau ajue kusoma na kuandika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu huyo mzuri sana utakuwa unachat mbele yake bila hata kuficha sm
yaani hata ukisahau sm home wewee tulia tu hakuna madhara.
una bahati sana tafadhali usiiiichezee hiyo bahati
Mkuu hizo nafasi hutokea kwa nadra sana.
hata mchepuko wako aaweza kukutumia msg ukamwabia mkeo bby naomba hiyo sm nisome hiyo msg
ha ha ha ha Mkuu yaani ni shida sana hawa viumbe kupatikanadah natamani hiyo bahati ningekuwa nayo mimi,natamani sana mwanamke asiyejua kusoma
ha ha ha ha Mkuu yaani ni shida sana hawa viumbe kupatikana
Sio kwa comment ile jamanikwanini Mkuu wangu
Mbona nzri tu jamanSio kwa comment ile jamani
Watu wengine fadhila hawana ndo huwa naogopa apoHongera mkuu Mungu akubaariki kwa moyo huo. Hakuna kitu kibaya kama kudharauliwa. Lakini hukumdharau na yeye atakupenda kwa hilo maisha yake yote.
Ina maana wewe na mchumba wako mlikua hamtumiani hata sms mpaka uje ugundue sasa?Siku za nyuma nilileta habari hii; Nahisi mpenzi wangu hajui kusoma
Hatimaye nishaujua ukweli kuhusu mpenzi wangu kuwa hajui kuandika wala kusoma, ilikuwa hivi ilikuwa siku ya jana naenda kuoga nikampa diary na peni aniandikie ujumbe wowote, yani navyorudi nilichokiona ikabidi ninyamaze aliniandikia maandishi 2,3 ila alikosea kidogo kuandika.
Ndipo hapo aliponiambia ukweli kuwa hajui wala sikumdharau wala nini nikamwambia usijali mbona mambo ya kawaida hayo, ila kuna vitu vingine alishawahi kunidanganya ndipo nilipogundua akaniambia ukweli kuwa aliogopa kuniambia ukweli alidhani nitamdharau ila binafsi sina tabia hiyo ya kumdharau mtu pia inachangia kwa sababu nampenda na hatimaye mwezi wa kumi anakuja rasmi kujitambulisha na process zingine ziweze kuendelea.
Hakuna shida, ataweka dole gumba.ubarikiwe sana kwa maamuz yako la msing anza kumfundsha wewe sasa abcd za kusoma na kuandika.... naamin utafanikiwa kwenye hilo jitahd mapema maana kuna kuweka sign cheti cha ndoa mkuu.