Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Malila, Mama Joe, Maundumula hii habari ya chatu ni kweli kabisa, nilipokuwa dodoma kipindi cha mvua kubwa hawa chatu wadogo na kenge walikuwa wakisombwa na maji kutoka milimani halafu wanakuja kukwama kwenye miti karibu na maeneo yetu sasa kimbembe wakiwa na njaa usiku hapalaliki maana huwa wanalia kwa milio ya aina mbalimbali ili kuwavuta wanyama.. anaweza kulia kama ndama, mbuzi, mbwa au kucheka kama binadamu lakini kwa mzoefu utaigundua ile sauti yake maana huwa ni kali na nyembamba.. anaweza kulia kwa dk 3 kama ndama, dk 3 kama mbuzi etc..
Njia nyingine kujua uwepo wa nyoka, ukiona ng'ombe wamesimamisha masikio na kutoa miguno basi hapo jua mgeni yupo karibu na eneo la tukio
Njia ya asili ya kukabiliana na nyoka wewe fuga bata maji halafu waache wazurule, nyoka anogopa bata vibaya sana maana huwa anachanwa na ule mdomo kama tambala na kuwafanya wakimbie makazi yao
miaka ya 1990s jamaa wa wizara ya afya walikuwa wakipuliza dawa kwenye nyumba za wafanyakazi wa serikali na walikuwa wanatupia vidonge fulani hivi kwenye vichaka na nyoka wote walikuwa wanakimbia makazi
Njia nyingine kujua uwepo wa nyoka, ukiona ng'ombe wamesimamisha masikio na kutoa miguno basi hapo jua mgeni yupo karibu na eneo la tukio
Njia ya asili ya kukabiliana na nyoka wewe fuga bata maji halafu waache wazurule, nyoka anogopa bata vibaya sana maana huwa anachanwa na ule mdomo kama tambala na kuwafanya wakimbie makazi yao
miaka ya 1990s jamaa wa wizara ya afya walikuwa wakipuliza dawa kwenye nyumba za wafanyakazi wa serikali na walikuwa wanatupia vidonge fulani hivi kwenye vichaka na nyoka wote walikuwa wanakimbia makazi
Last edited by a moderator: