MREJESHO: Kinachoendelea Mpaka sasa

MREJESHO: Kinachoendelea Mpaka sasa

Kwanza ulivyoanza moyo umeniuma halafu unataka kurudisha funguo? yani wewe ungekuwa mdogo wangu ungekula sana mbata ,
usirudishe funguo nenda mwambie fundi grill achomelee geti ili hata mtu akivunja kufuli asiweze kuingia labda ang'oe geti.
 
Nimeona Niwape Mwendelezo Wa Kile kilichoendelea na maamuzi niliyofikia mpaka sasa Tangu last time nimepost kueleza kile kinachoendelea kwenye mahusiano yangu and so far na maamuzi niliyochukua mpaka sasa! Nimejitoa kwa mpenzi wangu nimegundua haya. Je, nifanyeje?

Baada ya kupost uzi ule siku ile ya jumanne mchana 12/1 nakumbuka niliamua kuondoka Jioni yake kuelekea Dar bila kutoa taarifa yoyote kwa mama mtoto wangu! niliondoka Arusha Baada ya kutoka ofisini na kukamilisha taratibu za ruhusa mnamo saa 10 Jioni kuelekea Dar. Nikasafiri usiku kucha kwa private nikiwa na lengo la kufika Dar kabla hakujapambazuka kwa ajili ya kutimiza lengo la ambush!

Safari ilikua Poa Na Mungu Ila Baada Ya Kupita Bagamoyo Mwendo Kama Wa Saa 11 Alfajiri Tulipata Changamoto Kidogo kwenye Gari ambayo ilitubidi tuchelewe kidogo kwenye kuitatuta mpaka kunaanza kupambazuka mwendo wa saa 12 kasoro tukawa tumefanikiwa kutatua tatizo. Tukamalizia Safari ambapo mpaka saa 12 na nusu asubuhi nilikua nishafika Eneo La tukio.

Cha Kwanza Wakati nafika sikuingia ndani ya Geti moja kwa moja ikabidi nipite mpaka nyuma ya dirisha kuhakiki kama kuna chochote nitapata. Nilipoona kimya kwa kuwa Geti lilikuwa wazi kwa mda huo nadhani kwa sababu watu walikua washaanza kutoka kuelekea makazini nikaingia Ndani Moja Kwa Moja!

Nikaenda Moja Kwa Moja Mpaka Kwenye Mlango Nikastuka baada ya kuona malapa ya kiume mlangoni! Niilipogeuka kuangalia kwenye kamba nikaona kuna shati la kiume limefuliwa na kuanikwa sambamba na vest white. Moyo Ukaanza Kunienda Mbio Nikahisi Naanza Kukosa Nguvu. Nikapiga Moyo Konde Nikagonga Mlango,Mara ya kwanza,ya pili,ya tatu nikasikia kuna mtu kama Kagusa kitasa cha katoka chumbani na mlango kwa hisia za mbali kama ulifunguliwa akatoka mtu akatulia sebleni pale kwa mda kukawa kimya. Nikagonga tena kama mara 3,Kimya.

Nikapata idea baada ya kuona moja ya dirisha upande wa chumbani (Madirisha ya alminium ya kuslide) Liko wazi Nikaenda mpaka pale kwenye dirisha nikaingiza mkono kusogeza pazia ili niweze kuona ndani chumbani.

Baada ya pazia kunipisha nikawaona watu wawili ndani (Mwanamke wangu na Jamaa) Wameshikwa na kama bumbuwazi wakiwa kama wanajadili wafungue mlango ama lah! Baada ya kuniona jamaa panic ikazidi nikaanza kumshurutisha afungue mlango niingie,jamaa nae akawa ameanza kama kumsihi ''Nenda Tu Kamfungulie''.

Baada Ya argument za mda mchache alikuja mpaka sebuleni na kunifungulia mlango nikaingia moja kwa moja mpaka ndani na kuanza kugomba huku nikiwashurutisha watoke. Nilipandwa na hasira na niliumia sana ila nilimwomba Mungu anipe uvumilivu nisije fanya kitu chenye majuto mda huo. Nikafanikiwa kuwashurutisha wakatoka bila kutokea kwa ugomvi mkubwa zaidi. Baada ya kutoka nikakaa Sebuleni kwa mda kama wa lisaa lizima nikiwaza cha kufanya. Baadae nikaamua nitafunga nyumba na kurudi zangu Arusha.

Nikapumzika siku nzima ndani nikiwa na mawazo na nikiwa nimeumia na kuugua kuliko kawaida, nilichokumbuka ni kupiga magoti kuomba na kumshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea. Baadae jioni nikatafuta fundi wa kuchomelea grill akanisaidia kutengeneza mlango wa nje uliokuwa umechomoka,Nikanunua Kofuli la lile grill,Asubuh na mapema siku inayofuata Nikafunga Nyumba nikapanda Basi Kurudi Arusha.

Mpaka Sasa niko Arusha Sijawahi kumpigia simu wala kuwasiliana nae kwa chochote Tangu Nitoke Huko Last Wednesday,Ila Siku ya Alhamisi last week nilipokea simu toka kituo kimoja cha police Dar wakaniambia kuna mwanamke ameenda kupeleka malalamiko kwamba amepigwa na anataka kufungua mashtaka. Kulingana na maelezo Afande anasema baada ya kumhoji maswali kwa kugundua kwamba ni kesi za kimahusiano ambayo walimshauri aende kwenye dawati la jinsia kujielezea.Baadae wanasema alibadili msimamo na akasema hatati tena kunifungulia kesi anachotaka ni kuchukua vitu vyake na mimi nichukue nyangu tumalizane.

Baada ya pale akaniambia na yeye amenipigia simu kunisikiliza na kuchukua maelezo kwangu pia. Basi nami nikamweleza whole situation ilivyokuwa jamaa nikamwambia yote niliyomwelezea amuulize then atagundua ukweli. Baada ya hapo Akanipa pole kwa yote na kunipatia ushauri personal ni kipi cha kufanya nikaupokea akaahidi atampigia simu kumuita kwa ajili ya maelezo zaidi na kumaliza huu utata.

kesho yake nikampigia Afande simu kumuuliza walipofikia akaniambia alimcheki lakini hakumpata hewani akamuachia ujumbe wa kurudi kituoni na akaahidi chochote kitakachoendelea atanijulisha.

Tangu Siku hiyo mpaka Leo hamna feedback yoyote nimepata toka kwao. Kikubwa nimekua mtu wa maombi sana na kumwomba MUNGU wangu anivushe kwenye hili na kuruhusu amani yake pekee ndio iamue nafsini mwangu.Na Nauhakika kwenye Hili atanipigania na nitalivuka kwa ushindi mkubwa. Nimewaza nimrudishie tu funguo na nikae kimya kusubiri Mungu aamue! Na Siwezi kuwa wa kwanza kushika simu kumtafuta. Naomba Ushauri wa ziada kama upo juu ya hili linaloendelea sasa!!...
Nilichogundua kuwa we jamaaa ni mdhaifu sana kwenye mapenzi, na mapenzi yamekufanya uwe mdhaifu, kwa kifupi unakosa hile hali ya kuwa jasiri kama mwanaume,

Usindekeze sana mapenzi mzee yakakutawala, penda kwa kiasi, mapenzi yapo tu uwe na vipimo hata kama unampenda sana mtu
 
Duh pole sana mkuu..Kama umeshachukua ufunguo fanya umeudishie vitu vyake mkuu inauma San Ila u have to let it go na Kama una kamchepuko kengun itasaidia kukusahaulush mapem mkuu ndo maana real mean hatuwagi na dem au mke mmoja mkuu ..# hata ukipat mwingin hakikish unakua na kengine ka akiba
Mchepuko hauwezi kuwa suluhu ya mapenzi yaliovunjika narudia tena Mchepuko sio dawa haitibu, na wengi mnapenda sana kuitumia hii njia, kutafuta mchepuko ni kuongeza matatizo, swala ni kulikabili tatizo mungu katupa koromeo wanaume la kuhimili kasi kasi
 
Nimeona Niwape Mwendelezo Wa Kile kilichoendelea na maamuzi niliyofikia mpaka sasa Tangu last time nimepost kueleza kile kinachoendelea kwenye mahusiano yangu and so far na maamuzi niliyochukua mpaka sasa! Nimejitoa kwa mpenzi wangu nimegundua haya. Je, nifanyeje?

Baada ya kupost uzi ule siku ile ya jumanne mchana 12/1 nakumbuka niliamua kuondoka Jioni yake kuelekea Dar bila kutoa taarifa yoyote kwa mama mtoto wangu! niliondoka Arusha Baada ya kutoka ofisini na kukamilisha taratibu za ruhusa mnamo saa 10 Jioni kuelekea Dar. Nikasafiri usiku kucha kwa private nikiwa na lengo la kufika Dar kabla hakujapambazuka kwa ajili ya kutimiza lengo la ambush!

Safari ilikua Poa Na Mungu Ila Baada Ya Kupita Bagamoyo Mwendo Kama Wa Saa 11 Alfajiri Tulipata Changamoto Kidogo kwenye Gari ambayo ilitubidi tuchelewe kidogo kwenye kuitatuta mpaka kunaanza kupambazuka mwendo wa saa 12 kasoro tukawa tumefanikiwa kutatua tatizo. Tukamalizia Safari ambapo mpaka saa 12 na nusu asubuhi nilikua nishafika Eneo La tukio.

Cha Kwanza Wakati nafika sikuingia ndani ya Geti moja kwa moja ikabidi nipite mpaka nyuma ya dirisha kuhakiki kama kuna chochote nitapata. Nilipoona kimya kwa kuwa Geti lilikuwa wazi kwa mda huo nadhani kwa sababu watu walikua washaanza kutoka kuelekea makazini nikaingia Ndani Moja Kwa Moja!

Nikaenda Moja Kwa Moja Mpaka Kwenye Mlango Nikastuka baada ya kuona malapa ya kiume mlangoni! Niilipogeuka kuangalia kwenye kamba nikaona kuna shati la kiume limefuliwa na kuanikwa sambamba na vest white. Moyo Ukaanza Kunienda Mbio Nikahisi Naanza Kukosa Nguvu. Nikapiga Moyo Konde Nikagonga Mlango,Mara ya kwanza,ya pili,ya tatu nikasikia kuna mtu kama Kagusa kitasa cha katoka chumbani na mlango kwa hisia za mbali kama ulifunguliwa akatoka mtu akatulia sebleni pale kwa mda kukawa kimya. Nikagonga tena kama mara 3,Kimya.

Nikapata idea baada ya kuona moja ya dirisha upande wa chumbani (Madirisha ya alminium ya kuslide) Liko wazi Nikaenda mpaka pale kwenye dirisha nikaingiza mkono kusogeza pazia ili niweze kuona ndani chumbani.

Baada ya pazia kunipisha nikawaona watu wawili ndani (Mwanamke wangu na Jamaa) Wameshikwa na kama bumbuwazi wakiwa kama wanajadili wafungue mlango ama lah! Baada ya kuniona jamaa panic ikazidi nikaanza kumshurutisha afungue mlango niingie,jamaa nae akawa ameanza kama kumsihi ''Nenda Tu Kamfungulie''.

Baada Ya argument za mda mchache alikuja mpaka sebuleni na kunifungulia mlango nikaingia moja kwa moja mpaka ndani na kuanza kugomba huku nikiwashurutisha watoke. Nilipandwa na hasira na niliumia sana ila nilimwomba Mungu anipe uvumilivu nisije fanya kitu chenye majuto mda huo. Nikafanikiwa kuwashurutisha wakatoka bila kutokea kwa ugomvi mkubwa zaidi. Baada ya kutoka nikakaa Sebuleni kwa mda kama wa lisaa lizima nikiwaza cha kufanya. Baadae nikaamua nitafunga nyumba na kurudi zangu Arusha.

Nikapumzika siku nzima ndani nikiwa na mawazo na nikiwa nimeumia na kuugua kuliko kawaida, nilichokumbuka ni kupiga magoti kuomba na kumshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea. Baadae jioni nikatafuta fundi wa kuchomelea grill akanisaidia kutengeneza mlango wa nje uliokuwa umechomoka,Nikanunua Kofuli la lile grill,Asubuh na mapema siku inayofuata Nikafunga Nyumba nikapanda Basi Kurudi Arusha.

Mpaka Sasa niko Arusha Sijawahi kumpigia simu wala kuwasiliana nae kwa chochote Tangu Nitoke Huko Last Wednesday,Ila Siku ya Alhamisi last week nilipokea simu toka kituo kimoja cha police Dar wakaniambia kuna mwanamke ameenda kupeleka malalamiko kwamba amepigwa na anataka kufungua mashtaka. Kulingana na maelezo Afande anasema baada ya kumhoji maswali kwa kugundua kwamba ni kesi za kimahusiano ambayo walimshauri aende kwenye dawati la jinsia kujielezea.Baadae wanasema alibadili msimamo na akasema hatati tena kunifungulia kesi anachotaka ni kuchukua vitu vyake na mimi nichukue nyangu tumalizane.

Baada ya pale akaniambia na yeye amenipigia simu kunisikiliza na kuchukua maelezo kwangu pia. Basi nami nikamweleza whole situation ilivyokuwa jamaa nikamwambia yote niliyomwelezea amuulize then atagundua ukweli. Baada ya hapo Akanipa pole kwa yote na kunipatia ushauri personal ni kipi cha kufanya nikaupokea akaahidi atampigia simu kumuita kwa ajili ya maelezo zaidi na kumaliza huu utata.

kesho yake nikampigia Afande simu kumuuliza walipofikia akaniambia alimcheki lakini hakumpata hewani akamuachia ujumbe wa kurudi kituoni na akaahidi chochote kitakachoendelea atanijulisha.

Tangu Siku hiyo mpaka Leo hamna feedback yoyote nimepata toka kwao. Kikubwa nimekua mtu wa maombi sana na kumwomba MUNGU wangu anivushe kwenye hili na kuruhusu amani yake pekee ndio iamue nafsini mwangu.Na Nauhakika kwenye Hili atanipigania na nitalivuka kwa ushindi mkubwa. Nimewaza nimrudishie tu funguo na nikae kimya kusubiri Mungu aamue! Na Siwezi kuwa wa kwanza kushika simu kumtafuta. Naomba Ushauri wa ziada kama upo juu ya hili linaloendelea sasa!!...
Halafu mkuu unaendaje kufanya fumanizi huna hata balozi wa mtaa, mtendaji wa kijiji au basi hata mwenyekiti wa mtaa mbona unachanganyikiwa sana ukasahau vitu muhimu hivyo? Ungekua na hao watu mngeyamaliza yote pale pale na kila mtu angechukua vitu vyake, hiyo ndiyo sababu ya kutumia hisia kuliko akili ya kawaida
 
aisee pole sana kumbe mara ya kwanza akiwa na mtoto alikukuvunjia heshima yakuwa na mtu mwingine tena na hii unaipokea ila mimi nadhani unatakiwa uwe na amani ya akili kwa muda huu maishani

Kama unaona hakuna positive outcomes ni bora ujijenge maana kama una 30's chukua muda kwa ajili yako kuna matatizo mengi unaweza pata kwasababu ya mtu asiekuheshimu

mapenzi sikatai ni mazuri hasa ukifikiria moments ila isiwe kikwazo cha wewe kutofikiri tena juu yako pekee yako

Unahitaji maendeleo yako mwenyewe na haya maisha ni yako na wewe umekamilika hauhitaji nusu nyingine kutoka kwa mtu mwingine ili uwe kitu kimoja au duara moja

Your life is fully you don't need other half from another person to make it full

Mental healthy ni muhimu sana zingatiaa!
 
Na Nianze Kumtafuta mwenyewe juu ya kutekeleza hilo?
Usikosee tena sasa, umpigie simu wewe tena sio jukumu lako tena, nenda kwa mtendaji au mwenyekiti wa mtaa ampigie simu aje pale mgawane vilivyovyenu kimaandishi ili kila mtu achukue hamsini zake pasu kwa pasu
 
mkuu pole sana, ila sikushauri kumrudishia funguo huyo mwanamke.... ila inaonekana umempenda sana na kujisahaulisha kua hii dunia ina watu almost 7billion.
 
Ndugu wengi yametukuta na mazito zaidi ya haya ya kwako lakini kwa busara na hekima tuliweza kushinda mfano mimi ndyomaana naweza hata kuandika now , but chakufanya hakikisha unaweka mazingira ya kiusalama umkabidhi vitu vyake umuache aende zake haijalishi unampenda kiasi gani utazowe tu , mimi niliachwa na watoto wadogo mno kisa ex wa mke wangu katoka nje kimasomo lakini nisha settle .
Nawasilisha
Siku fungua thread mzee tujifunzd
 
Halafu mkuu unaendaje kufanya fumanizi huna hata balozi wa mtaa, mtendaji wa kijiji au basi hata mwenyekiti wa mtaa mbona unachanganyikiwa sana ukasahau vitu muhimu hivyo? Ungekua na hao watu mngeyamaliza yote pale pale na kila mtu angechukua vitu vyake, hiyo ndiyo sababu ya kutumia hisia kuliko akili ya kawaida
alienda kwa kubahatisha mkuu hakua na uhakika kama angemkuta mkewe
 
mkuu pole sana, ila sikushauri kumrudishia funguo huyo mwanamke.... ila inaonekana umempenda sana na kujisahaulisha kua hii dunia ina watu almost 7billion.
binafsi nilishakula kiapo staki mahusiano yaniendeshe ikitokea yakanizid nguvu natafuta kisingizio tutemane
 
alienda kwa kubahatisha mkuu hakua na uhakika kama angemkuta mkewe
Hata kama ilikua nikubahatisha, bali kuwabeba wale viongozi wakijiji ingekua vizuri kwasababu angesema tu huyu binti naachana nae na vitu vyake achukue ilikua ni kamalizana
 
Let her go!! Weka imani Mungu anakuepusha na jambo mbaya mbeleni! Najua umeumia na bado unaumia, but kumbuka it is just a phase utasahau na maisha yataendelea! Wewe sio kwanza kuumia na hautakuwa wa mwisho! Usilazimisha utaishia kuwa mtumwa! Let her go, wacha dunia imfunze!
 
Kabla ya yote ndugu moyo wako unasemaje kumwacha mtu uliempenda sio jambo rahisi ingawa inategemea mtu namtu kunawengine nirahisi shaka yetu inatokana nauzito watukio na msimamo wako kwasasa mara nyingi baadhi yawatu mazingira hayo huwa na chaguo moja kama unaona kunauzito kidogo kuamua tuliza akili unaweza kuteseka mpaka ujute lakini pia siku niliona uzi wako sikuutilia maanan inawezekana ulitaka upate ushahidi kamili ila nijambo lahatari sana kama unavosema unamshukuru mungu kweli mshukuru amekuepusha nabalaa nikupe pole endelea kumwomba mungu upate kuchukua hatua sahihi
 
Utapata shida sana na huyo mwanamke, endelea kijifanya king'anga'anizi
 
Uamuzi uliochukua wa kuishinda hiyo vita bila kupigana wala kufanya chochote huo ndio uamuzi wa kiume,mtu asije kukudanganya kwamba, sijui ungemla-witi mgoni,sijui ungewapiga sana. Hakuna chochote ambacho wewe ungekipata zaidi ungekuwa jera sasa. Hongera sana kwa hilo. Mimi mwenyewe ningefanya hivyo. Kwa sasa fanya mpango kampatie vitu vyake vyote,ksbb kaenda kureport polisi ukifika nenda moja kwa moja hapo polisi,waambie nataka aje achukue vitu vyake na polisi awepo. Vitu vyako ikiwezekana ondoka navyo ksbb upo arusha kikazi funga nenda navyo. Ni rahisi tu namna ya kusafirisha. Unasafirisha kwa malori yapo kariakoo ni bei rahisi sana. Hata mabox ya kufungia mizigo yapo kariakoo. Ukihamishia vitu vyako uliko itakufanya usahau yote ya dar kwa haraka. Huyo ni mke au mpenzi au mchumba?. Nahisi nimedandia tren kwa mbele,kama kuna tred nyingine ilikuwepo,ila mimi nimejibu hii
👍
 
Back
Top Bottom