MREJESHO: Kinachoendelea Mpaka sasa

MREJESHO: Kinachoendelea Mpaka sasa

Uamuzi uliochukua wa kuishinda hiyo vita bila kupigana wala kufanya chochote huo ndio uamuzi wa kiume,mtu asije kukudanganya kwamba, sijui ungemla-witi mgoni,sijui ungewapiga sana. Hakuna chochote ambacho wewe ungekipata zaidi ungekuwa jera sasa. Hongera sana kwa hilo. Mimi mwenyewe ningefanya hivyo. Kwa sasa fanya mpango kampatie vitu vyake vyote,ksbb kaenda kureport polisi ukifika nenda moja kwa moja hapo polisi,waambie nataka aje achukue vitu vyake na polisi awepo. Vitu vyako ikiwezekana ondoka navyo ksbb upo arusha kikazi funga nenda navyo. Ni rahisi tu namna ya kusafirisha. Unasafirisha kwa malori yapo kariakoo ni bei rahisi sana. Hata mabox ya kufungia mizigo yapo kariakoo. Ukihamishia vitu vyako uliko itakufanya usahau yote ya dar kwa haraka. Huyo ni mke au mpenzi au mchumba?. Nahisi nimedandia tren kwa mbele,kama kuna tred nyingine ilikuwepo,ila mimi nimejibu hii

Hata vibao kidogo angemkandamiza illi akili ziwakae
 
Kabla ya yote ndugu moyo wako unasemaje kumwacha mtu uliempenda sio jambo rahisi ingawa inategemea mtu namtu kunawengine nirahisi shaka yetu inatokana nauzito watukio na msimamo wako kwasasa mara nyingi baadhi yawatu mazingira hayo huwa na chaguo moja kama unaona kunauzito kidogo kuamua tuliza akili unaweza kuteseka mpaka ujute lakini pia siku niliona uzi wako sikuutilia maanan inawezekana ulitaka upate ushahidi kamili ila nijambo lahatari sana kama unavosema unamshukuru mungu kweli mshukuru amekuepusha nabalaa nikupe pole endelea kumwomba mungu upate kuchukua hatua sahihi
Nashukuru Mkuu! Nimeupokea ushauri wako vyema!
 
Mkuu, jamaa anaumia na nina uhakika hapati usingizi since hili sekeseke lilipomkuta. Kama vipi avute muda tu then wayajenge na mzazi mwenzake ili kuirejesha furaha yake. Unadhani kipi bora aendelee kuteseka siku zote au aangalie namna ya kuwa na huyo anayeutesa moyo wake?
Si kweli hawezi kuteseka simu zote... time heals..asiweke ukaribu nae tuu atakua amefaulu.
 
Mkuu, jamaa anaumia na nina uhakika hapati usingizi since hili sekeseke lilipomkuta. Kama vipi avute muda tu then wayajenge na mzazi mwenzake ili kuirejesha furaha yake. Unadhani kipi bora aendelee kuteseka siku zote au aangalie namna ya kuwa na huyo anayeutesa moyo wake?
Si kweli hawezi kuteseka siku zote... time heals..asiweke ukaribu nae tuu atakua amefaulu.
 
Jamaa anaonekana bado anampenda huyo mtu.

Bado hajawa na maamuzi.
Pia jamaa inaonekana anaamini katika Mungu na anafuata msingi ya hekima ya Mungu kitu ambacho nimeona imekuwa msaada sana kwake maana bila Mungu na situation kama hizo basi huu Uzi ungekuwa tofauti.

Jamani tusali sana.

Mkuu huyo Dada rudi mfungulie umpe vitu vyake kisha funga chumba chako kisha muombe Mungu akupe hekima na roho ya ustahimilivu uachane naye. Mwanamke ikifika hatua kukupeleka kwenye vyombo vya sheria (Polisi) na ilihali umemfumania live basi jua analo lake moyoni.

Katika hili kuna mawili, either akuwahi kutekeleza nia yake hovu au wewe umuwahi kufanya maamuzi uachane naye.

Endelea kumtegemea Mungu mkuu, wanaume kama wewe wapo wachache.
 
Nashukuru Mkuu! Nimeupokea ushauri wako vyema!
Nashukuru ndugu tulia usifanye pupa usimhukumu sana mazingira ya kuishi mbali mwanamke yeyote inawezakutokea hivo nimefanya utafiti kidogo japo sio wakitaalam naona wanawake wengi ikitokea akajenga mazingira yaukaribu sana namwanaume lolote linawekutokea sinahakika kama nisahihi kila mwanamke akichepuka tumwone malaya hapana sinahakika kwenye uumbaji wao kuna nn ila mahitaji yao kwamwanaume nimengi sana yapo yanayojulikana nayasiyojulikana sina maana umrudie lakini angalia tu kama kunamazingira yakujutia weka mizani yako upime wanaume wanambinu zaajabu sio rahisi sana kumkataa hata ukimwacha huyo kuchepuka kupo toka zamani
 


[Chorus]
Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I've traveled the world and the seven seas
Everybody's lookin' for something

[Pre-Chorus]
Some of them want to use you
Some of them want to get used by you
Some of them want to abuse you
Some of them want to be abused

[Chorus]
Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I've traveled the world and the seven seas
Everybody's lookin' for something

[Bridge]
Hold your head up
Keep your head up, movin' on
Hold your head up, movin' on
Keep your head up, movin' on
Hold your head up, movin' on
Keep your head up, movin' on
Hold your head up, movin' on
Keep your head up

[Pre-Chorus]
Some of them want to use you
Some of them want to get used by you
Some of them want to abuse you
Some of them want to be abused

[Chorus]
Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I've traveled the world and the seven seas
Everybody's lookin' for something
Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I've traveled the world and the seven seas
Everybody's lookin' for something
Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I've traveled the world and the seven seas
Everybody's lookin' for something
Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I've traveled the world and the seven seas
Everybody's lookin' for something
Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I've traveled the world and the seven seas
Everybody's lookin' for something
Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I've traveled the world and the seven seas
Everybody's lookin' for something
 
Una mpenda bado akikubembeleza hapo unamkubalia kurudiana naye
 
Halafu kwa sasa hivi akili yako haipo sawa kabisa. Kwa sasa moyo ndio unaokuongoza. Nadhani kila ukifumba macho unamuona anavyovutia na umbo lake akiwa uchi, unayaona makalio yake yanavyovutia, kisha unapiga picha kuna jamaa mwingine anapendwa kuliko wewe na anayashika hayo makalio kadri anavyojisikia, ...hicho ndio kinakuumiza jomba. Okay fanya hivi jikaze kama miezi miwili hivi bila kumtafuta. Nina uhakika yeye na huyo jamaa hawezi kudumu zaidi ya miezi miwili, wataachana tu. Baada ya miezi miwili mtafute kupima upepo, ukikuta bado yupo na jamaa basi jiambie nafsini mwako kuwa huyo sio wako tena, na uweke nadhiri ya kuachana naye. Ila ukimkuta washamwagana na jamaa basi mrudie ili usiendelee kuumia. Huyo demu unampenda mpaka basi hivyo wewe ufuate moyo wako baada ya hiyo miezi 2 provided hayuko na jamaa.
Ukitumia moyo kupenda ndiyo mateso yake haya! acheni huu utopolo
 
Pole sana kiongozi umetumia hekima ya hali ya juu mno mungu akupe faraja kwa hili
 
Ndugu wengi yametukuta na mazito zaidi ya haya ya kwako lakini kwa busara na hekima tuliweza kushinda mfano mimi ndyomaana naweza hata kuandika now , but chakufanya hakikisha unaweka mazingira ya kiusalama umkabidhi vitu vyake umuache aende zake haijalishi unampenda kiasi gani utazowe tu , mimi niliachwa na watoto wadogo mno kisa ex wa mke wangu katoka nje kimasomo lakini nisha settle .
Nawasilisha
Dah hii mbaya sana mkuu
 
Back
Top Bottom