Lodge anafanya nini sasa, huoni ushahidi wa kimazingira unamfunga. Unajuaje kama ndio alikuwa katoka kumwagiwa michuzi na baharia kijicho masofa.???Jinga wewe..... Kesi hiyo mpaka atoe talaka ni lazima ashuhudie mashine inaingia na kutoka kwa step.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake Lodge peke yake katoa talaka huoni kwamba jamaa kayumba??? Hivi tukihoji kwa nini katoa talaka atajibu nini,? Kwamba kamfumania? Na nani akiwa anafanya nini!?
Jinga wewe..... Kesi hiyo mpaka atoe talaka ni lazima ashuhudie mashine inaingia na kutoka kwa step.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake Lodge peke yake katoa talaka huoni kwamba jamaa kayumba??? Hivi tukihoji kwa nini katoa talaka atajibu nini,? Kwamba kamfumania? Na nani akiwa anafanya nini!?
Ushahidi wa kimazingira nini??? Lodge alikuwa na mishe zake binafsi, labda bibie anafanya kazi ya ukachero hataki mume ajue?? Anachukuwa room Kutoa data zake na kukamilisha mambo mengine ya kazi kisha anarudi home..... Mimi sikubaliani na namna talaka ilivyotolewa.... Na sisi waislamu kesi hiyo ni lazima uwe umewaona wale watu wakijamiiana tena uwe na mashahidi wanne ndipo huyo mwanamke aachwe na kupigwa mawe mpaka afe.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake kitandani oooh talaka... Ni ujinga huoLodge anafanya nini sasa, huoni ushahidi wa kimazingira unamfunga. Unajuaje kama ndio alikuwa katoka kumwagiwa michuzi na baharia kijicho masofa.???
We una kwako, unakutwa Lodge unafanya nini?
Naungana nawewe asililimia 100 Usaliti katika ndoa haufai,Ila binafsi ningemtegua kiuno nakumwacha
Atakuwa alitoa talaka kwa kutumia reference ya kifungu cha sharia 127:1 ibara ya 6 inayosema
Ukiona manyoya ujue kuku kashaliwa
Ahahahaha kwahio jamaa aendelee kugongewa hadi amuone kwa macho anayemgongea. We mama wa Nyumbani na ukachero wapi na wapi.Ushahidi wa kimazingira nini??? Lodge alikuwa na mishe zake binafsi, labda bibie anafanya kazi ya ukachero hataki mume ajue?? Anachukuwa room Kutoa data zake na kukamilisha mambo mengine ya kazi kisha anarudi home..... Mimi sikubaliani na namna talaka ilivyotolewa.... Na sisi waislamu kesi hiyo ni lazima uwe umewaona wale watu wakijamiiana tena uwe na mashahidi wanne ndipo huyo mwanamke aachwe na kupigwa mawe mpaka afe.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake kitandani oooh talaka... Ni ujinga huo
Yeees mpaka aone kwa macho, apate kale ka mshtuko jinsi jamaa anavyokandamiza kibabe..... Sio anatoa toa tu talakaAhahahaha kwahio jamaa aendelee kugongewa hadi amuone kwa macho anayemgongea. We mama wa Nyumbani na ukachero wapi na wapi.
Mke hana kazi, sasa anaendaje guest kufanya nini?
Hio ilikuwa kizamani isitoshe hao ni wakristo. So mazingira ya fumanizi yanatosha tu kumpiga chini.Yeees mpaka aone kwa macho, apate kale ka mshtuko jinsi jamaa anavyokandamiza kibabe..... Sio anatoa toa tu talaka
Nasma gani mkristo?Hio ilikuwa kizamani isitoshe hao ni wakristo. So mazingira ya fumanizi yanatosha tu kumpiga chini.
Hata ingekuwa mimi nakukuta guest maelezo hayaeleweki we ni msaliti tu.
Na sisi waislamu kesi hiyo ni lazima uwe umewaona wale watu wakijamiiana tena uwe na mashahidi wanne ndipo huyo mwanamke aachwe na kupigwa mawe mpaka afe.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake kitandani oooh talaka... Ni ujinga huo
Bibie naona unachanganya hukumu ya mzinifu aliye kwenye ndoa na talaka,talaka mazingira yake hata ukifanya utani tu ukamwambia mkeo "Wewe nimekuacha hiyo inahesabika ni talaka" ndio maana hutakiwi mtu kuleta mzaha katika suala la kuacha.
Kwa minajili hiyo suala la kutoa talaka halihitaji mpaka watimie mashahidi wanne wanaume wenye akili timamu.
Sababu unazozitoa sio sababu kwa sababu unajenga dhana na hakuna ushahidi wa dhana,kwani wahusika wanamjua mama Nasma kuliko wewe.
Je nikikuuliza kama mwenyewe mama Nasma alikiri ya kuwa yeye ni mzinifu ? Utakataa ?
Pili,muislamu hutakiwi kuwafanya wenzako wakudhanie vibaya,kawaida guest hufahamika kama ni nyumba ya wageni na hasa watu wanaenda kuzini na ni mara chache sana kutumika kwa kazi nyingine. Je mama Nasma ni mgeni ?
Tuko pamoja,ukipata muda rejea tena katika vitabu vya Hadithi na Fiqhi ya Uislam katika mlango wa Talaka utafaidika pakubwa hasa rejea kitabu cha shaykha al Fawzan kinaitwa "al Mulakhaswi al Fiqihiya" na kitabu cha imaam Nawawi na Imam Ibn Qudammah Allah awarehemu.
Dharau lazima akuoneshe mpumbavu weweSIONI KABISA ilimradi asigongewe ndani kwangu na ratiba yake ya kurudi home iwe pale pale..dharau asinionyeshe heshima ikae pale pale...
Kwanza kabla ya kusema lolote ningependa kujipa hongera Mimi mwenyewe kwa kumuokoa mwanaume mwenzangu (baba Nasma) kutoka katika ndoa yake ambayo kwa asilimia kubwa alikuwa anasalitiwa na mke wake na yule fundi sofa, Deus au 'kijicho'.
Pili ningependa sana kuishukuru jamii forum kwa kutuunganisha pamoja kiasi kwamba nimeweza kutumia jukwaa hili kumpasha habari Baba Nasma ambaye ni memba wa jamii forum ambaye ID yake inaanza na 'M' juu ya usaliti wa mke wake na ujumbe umemfikia.
KILICHOTOKEA BAADA YA MIMI KUPOST HABARI HILE:
Baba Nasma alichelewa kidogo kuisoma habari ile humu jukwaani na mtu wa kwanza kuisoma habari yangu alikuwa bwana Salum Mwankenja ambaye ni baba mdogo wa Baba Nasma ambaye humu jukwaani anatumia ID inayoanza na herufi 'T'.
Bwana Salum alinifuata PM na kujitambulisha kwangu na akawa anataka nimuelekeze Rashka Lodge ilipo na akataka nimuhakikishie kama post yangu inaukweli. Na akawa ananishawishi nijitambulishe kwake kuwa mimi ni nani na ninaishi wapi. Mimi nilimjibu bwana Salumu kuwa amtafute Shadya (kuwadi wa mama Nasma) anajua Rashka lodge ilipo na pia anamjua kijicho.
Ila nilichomsaidia bwana Salum kule PM ni kumpa majina ambayo mama Nasma na bwana kijicho waliyoyaandike kwenye daftari la wageni pale Rashka Lodge, ambapo:-
Deus 'kijicho' aliandika kama RICHARD TOBERT na alikuwa jina namba 9 kwenye daftari.
Wakati mama Nasma aliandika kama HAPPYNESS JOHN na lilikuwa jina namba 14 kwenye daftari la pale Lodge. Wote waliandika majina ya uongo.
Ilipofika mida ya saa kumi na moja asubuhi, muhudumu wa Rashka Lodge, Dada Tamali maalufu kama 'mnyamwezi' alinipigia simu na kunitaarifu kuwa Baba Nasma alienda pale akiongozana na watu sita ambapo wanawake wakiwa watatu kwa lengo la kufumania.
Ila cha ajabu walipofika pale Rashka Lodge chumba kinachoitwa 'Tabora' walimkuta mama Nasma peke yake bila ya kuwepo bwana kijicho. Hata sijui jamaa alistukiaje au sijui nani alimtonya na Hata sijui ilikuwaje jamaa akasepa. Yule anamungu sana.
Mama Nasma alipoteza muelekeo bakisa na kuonesha kwamba hakutegea kumuona mume wake na watu wale pale Lodge. baada ya marumbano ya muda mrefu, kuna mzee mmoja anayeitwa Babu Shabani alishauri waondoke pale wakaongelee nyumbani.
Mpaka naandika Uzi huu mama Nasma kapigwa chini na sasa anaishi kijitonyama kwa Dada yake anayeitwa mama Nuru mkaanga samaki. Na bwana kijicho hajaonakana pale kazini kwake mpaka muda huu na hajulikani halipo.
Kumbe mama nasma nae yupo JFPoa... nenda ukaolewe wewe sasa baada ya mama nasma kupigwa chini.
Yaani unasimulia story kama vile huyo mama nasma alikuibia mume
Mbona baada ya usaliti hapawi na ndoa tena , mama nasma Alisha vunja ndoa siku ya kwanza kuvua chupi kwa bwana ki jichoNani asiyejua maradhi swala ni umeamua kuvujisha vitu visivyokuhusu,unajisikia raha sana ndoa yao kuvunjika? Unafaidika na nini haswa
Tena mbolea ya samadi kabisa ambayo haijachakachuliwa na mashineMleta mada umefanya jambo la mbolea sana
Dunia ilipofikia kuna muda najikuta namkosea hata Mungu kwa kuona haina haja ya dunia kuendelea tena ikiwa ishafikia hatua za Watu kushangilia dhambi kiasi hiki.Naskitishwa sana kuona watu ninaowaamini na kuwaheshimu humu jukwaani waki-like comment za KIJINGA zinazomshambulia mtoa mada.
Yaani watu walitaka mtoa mada anyamaze kimya tu juu ya usaliti na unyama anaofanyiwa mtu mwengine?? Mna tofauti gani na wale waliokwenda kwenye ajali ya lori wakaanza kuchota mafuta na kuacha kumuokoa dereva na abiria?? Shame on you!
Mtume (s.a.w) ametuelekeza kwamba "utakapouona uovu wowote basi uondoshe kwa mkono wako, kama ukishindwa basi uondoshe kwa mdomo wako (uukemee) na ukishindwa basi uchukie ndani ya nafsi yako, na huko kuchukia ni udhaifu wa imani"
Mtoa mada ameuona uovu na kuamua kuuondoa, ajabu iliyoje GREAT THINKERS wanamshambulia. Halafu cha kuskitisha, wale ninaowaona ma-genius humu wamekaa wana-support hali hii??
I need to learn more and more really.