Kitu amaizingPerfect niliwah kutumia miaka miwili nyuma, yaan baada ya siku 3 tu nikawa mweupe hatari nikaogopa nikaacha, ina chubua hatari.
Sasa hivi napaka glycerine ya movit, ni nzuri unakuwa naturally, lainii na ngozi inateleza kama ya mtoto.
Hapo ukifanya na scrub ya asili mbona utadamshi?Mi Natumia Vaseline Lotion ile ya rangi ya Ugoro Sabuni Natumia Alovela Soap Nanawia Naacha kama Dakika tano yani Sina Gharama Uso Uko Soft tu Nawashauli vitu vya Bei Ndogo kumbe Ndo Vizuri Jamani Zamani Nilikuwa Natumia Vipodozi Vya Bei Saana hata Uso Unakosa Mvuto Nimejalibu Kukopy ili Nitume Humu Imekataa
Hii ni ya wapi tena?Kwa mfano View attachment 1092593
Huo ni mfano tuu nilikuonyesha ,achana na izo sijui perfect white hazina ubora na mwisho wako unaweza pata michirizi au utango tango kama unapenda ngozi yako ing’ae jitahidi ununue mafuta originally kutoka kwa wauzaji wanao import kutoka Uk au USA au tengeneza mwenyewe kwa kutumia vitu naturalHii ni ya wapi tena?
Wameaminishwa weupe ndio uzuri,
akili zao zimefungwa
Dada angu yaani mara mia ungepaka ata carolight kuliko hiyo lotion mwanzo utang'a a sana kama ulivyo hvo ila subir ukate mwezi utajuta kutumia hyo creme. Kwanza utatoka chunusi kubwa kama majibu, pili white spots zitakujaa miguun, tatu ni creme yenye hydroquinon nyingi sana japo kwenye kopo lake wameandika "with no hydroquinon" .. ushaur wangu achana nayo mara moja tafuta lotion nzuri ambayo haina kemikali.
unataka uoneshwe Draft eeeh? msitiri mwenzakoBila picha huu uzi hatuwezi kuuelewa..picha basi hata ya mikono
hii sabuni ya 6000 uki iweka kichwani inajipaka yenyewe? nadhani kuisha kwake ni after 2month usnambie tofauti pleaseeeeee6000/=
usituambie bwana na wewe unang'aaa..eeheeee mama umekua kama Jua saivi au nyotaaa??Mko poa?
Weekend inaenda poa sana huku nilipo
Mambo yamekua mengi muda mchache
Niliwahi kuleta uzi hapa kuhusu lotion gani nzuri nipake niweze kung'aa yaani ya kung'arisha ngozi
Rejea uzi huu
nilishauriwa sana nikahangaika wee mwisho wa siku nimeipata hii inaitwa Perfect white ni nzuri balaa week moja tu nilianza kuona changes week ya pili nikang'aaJamani nisaidieni ipi lotion au mafuta mazuri ya kung'arisha ngozi
Ipi lotion ya kiume inafaa kwa men?isiwe inachubua na iwe inasoftisha tu ngozi Na pia nataka ya kung'arisha kwa ajili ya demu wangu aka wife mtarajiwawww.jamiiforums.com
Sasa hv nimeitumia km week kadhaa hivi kiukweli nimeng'aa vizur sana rangi nzuri ya maji kunde Nani asiyetaka kupendeza?
Nilishauriwa nijaribu caro light,carotone,dodo lakin nikagundua zimepigwa marufuku na Tfda na pia zina hydroquinine
Kwahiyo sasa hivi napaka hii perfect white tu
ILA:Sitangazi biashara isije ikaambiwa natangaza biashara maana hamkawii kusema nimeleta tu mrejesho baada ya kuuliza sana na kuhangaika sana humu kuuliza ni vizuri tulete mrejesho.
Mambo ni mareshi
Nami nimejiuliza hapa mweeehKwenye ule uxi mbona hakuna comment iliyoandikwa utumie hiyo perfect White.. Wewe wewe wewe wewe endelea na hayo madude yako uwe na ngozi kama chapati